Membe uteuzi wake ungetegemea kuwa kisiasa zaidi ; huyu mama Msuya uteuzi wake sio wa kisiasa na sio mwanasiasa ni mtendaji!!! Hata hivyo she will be well advised kujitahidi kuwapa nafasi watanzania wenzie pale nafasi zinapojitokeza; asije akawa kama AshaRose Migiro alipokuwa huko ambapo hakufanya jitihada zozote za kuwapatia nafasi Watanzania kama wafanyavyo mataifa mengine!!! Hongera zako mama.Khaaa, Nenda kamuulize Mzee Membe na Ukatibu mkuu wa Jumuiya ya Madola
Hujui kitu wewe kaaa kimyaMembe uteuzi wake ungetegemea kuwa kisiasa zaidi ; huyu mama Msuya uteuzi wake sio wa kisiasa na sio mwanasiasa ni mtendaji!!! Hata hivyo she will be well advised kujitahidi kuwapa nafasi watanzania wenzie pale nafasi zinapojitokeza; asije akawa kama AshaRose Migiro alipokuwa huko ambapo hakufanya jitihada zozote za kuwapatia nafasi Watanzania kama wafanyavyo mataifa mengine!!! Hongera zako mama.
Hujui kitu wewe kaaa kimya
Mkuu you have a big heart aiseeBasi mpe sifa za kinafiki upata kitu ya kutia tumboni... Apigiwe makofi kwa kumwezesha Bi Msuya.
Understood, thanksStuxnet,
..hii sio lateral movement ndani ya UN? hebu angalia hapo chini.
Nafasi ya zamani:-
Assistant Secretary-General and Deputy Executive Director of the United Nations Environment Programme in Nairobi, Kenya.
Nafasi mpya:-
Assistant Secretary-General for Humanitarian Affairs and Deputy Emergency Relief Coordinator in the Office for the Coordination of Humanitarian Affairs.
Haziko sawa. Ila hakuwa junior UN staff. Mtu aliyekuwa Assistant Secretary-General and Deputy Executive Director wa UNEP, huwezi kumwita junior staff mzee.Buyengwa unaona kuwa nafas aliyekuwa nayo Nairobi dhidi ya hii mpya anayokwenda ziko sawa? Think twice
hako UN hakunaga kulogana huko===
Rais Samia Suluhu Hassan ampongeza Bi Joyce Msuya kwa kuaminiwa kwake na kuteuliwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ( UN ) Bw Antonio Guterres,
Bw Guterres amemteua kuwa Naibu katibu mkuu wake anayeshughulikia maswala ya Kibinadamu na Naibu mratibu wa misaada ya dharula Duniani,
View attachment 2045922
===
Naona Watanzania chini ya Mhe Rais Samia Suluhu Hassan tumeanza kuaminika tena Kimataifa,
View attachment 2047344
Hakika hakuna mwenye Upepo mzuri kama Mhe Rais Samia Suluhu Hassan,
Hongera Sana Bi Joyce Msuya kwa heshima hii kubwa kwako na kwa Taifa la Tanzania,View attachment 2047347
#Uteuzi huu umeipaisha sana Tanzania Kimataifa,Kaziiendelee Kimataifa
Umeumbuka jombaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Daaah CHADOMO
Alalamike nini wakati ni wewe taulo limeanguka ukiwa sokoni? [emoji12][emoji12]Sasa unalalamika nini mkuu Wang?
Yote ni ubatili mtupuShida hii hapa:
View attachment 2048127
"Kama Katiba ingeruhusu Mhe Samia Suluhu Hassan hakupashwa kuwa Rais wa mihula miwuli pekee,===
Rais Samia Suluhu Hassan ampongeza Bi Joyce Msuya kwa kuaminiwa kwake na kuteuliwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ( UN ) Bw Antonio Guterres,
Bw Guterres amemteua kuwa Naibu katibu mkuu wake anayeshughulikia maswala ya Kibinadamu na Naibu mratibu wa misaada ya dharula Duniani,
View attachment 2045922
===
Naona Watanzania chini ya Mhe Rais Samia Suluhu Hassan tumeanza kuaminika tena Kimataifa,
View attachment 2047344
Hakika hakuna mwenye Upepo mzuri kama Mhe Rais Samia Suluhu Hassan,
Hongera Sana Bi Joyce Msuya kwa heshima hii kubwa kwako na kwa Taifa la Tanzania,View attachment 2047347
#Uteuzi huu umeipaisha sana Tanzania Kimataifa,Kaziiendelee Kimataifa
Mkuu Salary Slip kwa machache mazuri kama haya tuipongeze Serikali ya awamu ya 6.
Mwaka Jana wakati wa Magufuli Liberata Mulamula na Cervasicus Likwelile walipata kazi za kwenda kuwa wa kuu wa Commission mbili tofauti kule African Union. Lakini Magufuli alikataa ku endorse waende na nafasi zikapewa nchi zingine
She is beautiful===
Rais Samia Suluhu Hassan ampongeza Bi Joyce Msuya kwa kuaminiwa kwake na kuteuliwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ( UN ) Bw Antonio Guterres,
Bw Guterres amemteua kuwa Naibu katibu mkuu wake anayeshughulikia maswala ya Kibinadamu na Naibu mratibu wa misaada ya dharula Duniani,
View attachment 2045922
===
Naona Watanzania chini ya Mhe Rais Samia Suluhu Hassan tumeanza kuaminika tena Kimataifa,
View attachment 2047344
Hakika hakuna mwenye Upepo mzuri kama Mhe Rais Samia Suluhu Hassan,
Hongera Sana Bi Joyce Msuya kwa heshima hii kubwa kwako na kwa Taifa la Tanzania,View attachment 2047347
#Uteuzi huu umeipaisha sana Tanzania Kimataifa,Kaziiendelee Kimataifa
Kwa hiyo sifa apewe SSH