Mtanzania Joyce Msuya ateuliwa kuwa Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa Mataifa Mazingira

Mtanzania Joyce Msuya ateuliwa kuwa Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa Mataifa Mazingira

Angekuwa mKenya kateuliwa kufanya kazi TZ, ungesikia mara oh asipewe kibali cha kufanya kazi kuna waTZ kibao wana uwezo wa kufanya kazi hiyo, oh elimu yake kiwango gani?. Karibu Nairobi dada Joyce, sisi hatuna matata.
hiyo n kaz ya un hazuiwi nchi yoyote ile dunian
 
Wenye pesa hawana longolongo kwenye elimu za watoto wao ndio maana wakigraduate wanapiga box kwenye taasisi za maana.Kajamba nani kufanya kazi halmashauri na salary ya 700,000 hapo bado makato.
yaap Kilimanjaro inapiga kitabu vibaya mno
 
Afadhali leo tumepata kitu positive cha kuzungumzia humu. Maana kila siku humu ni gloomy news kama vile dunia inakwisha kesho!
 
Dah... Ungesema Elimu bora...Ingependeza sana....
kama unaweza kusomesha mtoto nje ya nchi ina maana una uwezo wa kupata elimu bora!
ni nadra sana uweze kumoeleka nje na akapata elimu mbovu!!
 
kama unaweza kusomesha mtoto nje ya nchi ina maana una uwezo wa kupata elimu bora!
ni nadra sana uweze kumoeleka nje na akapata elimu mbovu!!
ni kweli kabisa ...lakini na sisi tujitahidi sasa kuwa na elimu bora kama huko nje
 
Huko hakuna ubaguzi wa ukanda wanaangalia utendaji tuu
 
Hivi serikali ya Kenya haiwezi kumnyima kibali cha kufanya kazi akiwa Kenya?
Coz serikali ya Tanzania ilimnyima kibali yule wa vodacom katoka Kenya.
 
Joyce anakwenda UN kwenye nafasi kubwa ya kushughulikia mazingira,wakat taifa lake linajiandaa kufyeka miti milioni 2.
Hongera JOY
 
Elimu ameipatia kwao hukohuko
 
immunology na Fedha wapi na wapi, au unadhan kujua kiingereza ndo kuujua uchumi?
kumbe una upeo finyu hivi muraa?
kigwangala n daktari,na n wazir wa maliasili vinahusiana?
eng Stella manyanya n mtaalamu wa electricity na yupo wizara ya biashara hebu panua akili
 
Back
Top Bottom