Mtanzania Joyce Msuya ateuliwa kuwa Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa Mataifa Mazingira

Mtanzania Joyce Msuya ateuliwa kuwa Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa Mataifa Mazingira

Naaam, kitu cha Kipare hicho, Siku Malaika Mkuu akifika UN atamtimua.... Sijui lini?
 
Ulaya bana..! Mtu yupo na masters of science in microbiology amekuwa world bank special representative ukija bongo kuwa bank teller tu wanataka uwe na degree ya accountant..! [emoji25] [emoji25] [emoji25]
Degree ya account mshahara laki sita,bora nchi za wenzetu na makampuni makubwa wanangalia uwezo wako wanakupa nafasi.Kuna Dr mmoja alisoma Chemical Engineering marekani huku tz alifanya kazi kama mkuu wa masuala ya fedha na mipango kwenye Tasisi moja kubwa,nilichogundua wenzetu awangalii micheti wanangalia uwezo wako.
 
Hivi serikali ya Kenya haiwezi kumnyima kibali cha kufanya kazi akiwa Kenya?
Coz serikali ya Tanzania ilimnyima kibali yule wa vodacom katoka Kenya.
Ameshafanya kazi pia hapo Kenya kwa muda mrefu akiwa Benki ya Dunia
 
View attachment 783013

Hongera sana Ms Joyce Msuya kwa nafasi hiyo ya Deputy Executive Director of UN Environment.

Naona watanzania sasa wanakamata nafasi za kimataifa tena wakina mama hongereni sana.

New York, 21 May 2018 – United Nations Secretary-General António Guterres today announced the appointment of Joyce Msuya of Tanzania as Deputy Executive Director of the United Nations Environment Programme in Nairobi, Kenya.

She will succeed Ibrahim Thiaw of Mauritania to whom the Secretary-General is grateful for his leadership and dedicated service during his tenure.

Ms. Msuya has since 2017 served as Adviser to the World Bank Vice President, East Asia and Pacific Region in Washington, D.C. She brings to the position more than 20 years of extensive experience in the field of international development spanning corporate, strategy, operations, knowledge management and partnerships, with diverse assignments in Africa, Latin America and Asia regions.

She previously served as the World Bank Special Representative and Head of the World Bank Group Office in the Republic of Korea, as well as Regional Coordinator at the World Bank Institute covering East Asia and Pacific Region, based in China, and Principal Strategy Officer at the International Finance Corporation’s Manufacturing, Agribusiness & Services Department. Earlier in her career, she held numerous prestigious positions at the World Bank Group.

Ms. Msuya holds a Master of Science in Microbiology and Immunology from the University of Ottawa, Canada, and a Bachelor of Science in Biochemistry and Immunology from the University of Strathclyde, Scotland. She is married and has two children.
Source: Joyce Msuya of Tanzania Named Assistant Secretary-General, Deputy Executive Director at United Nations Environment Programme
c.c tatum
Huyu ni mtanzania kwa majina na asili tu,
Lakini kiuhalisia maisha yake yote amekuwa nje ya nchi tu ivyo huenda hata hana taarifa kuwa Tanzania ya leo tumefikia hatua ya kutawaliwa na."Jiwe"
 
View attachment 783013

Hongera sana Ms Joyce Msuya kwa nafasi hiyo ya Deputy Executive Director of UN Environment.

Naona watanzania sasa wanakamata nafasi za kimataifa tena wakina mama hongereni sana.

New York, 21 May 2018 – United Nations Secretary-General António Guterres today announced the appointment of Joyce Msuya of Tanzania as Deputy Executive Director of the United Nations Environment Programme in Nairobi, Kenya.

She will succeed Ibrahim Thiaw of Mauritania to whom the Secretary-General is grateful for his leadership and dedicated service during his tenure.

Ms. Msuya has since 2017 served as Adviser to the World Bank Vice President, East Asia and Pacific Region in Washington, D.C. She brings to the position more than 20 years of extensive experience in the field of international development spanning corporate, strategy, operations, knowledge management and partnerships, with diverse assignments in Africa, Latin America and Asia regions.

She previously served as the World Bank Special Representative and Head of the World Bank Group Office in the Republic of Korea, as well as Regional Coordinator at the World Bank Institute covering East Asia and Pacific Region, based in China, and Principal Strategy Officer at the International Finance Corporation’s Manufacturing, Agribusiness & Services Department. Earlier in her career, she held numerous prestigious positions at the World Bank Group.

Ms. Msuya holds a Master of Science in Microbiology and Immunology from the University of Ottawa, Canada, and a Bachelor of Science in Biochemistry and Immunology from the University of Strathclyde, Scotland. She is married and has two children.
Source: Joyce Msuya of Tanzania Named Assistant Secretary-General, Deputy Executive Director at United Nations Environment Programme
c.c tatum
Inashangaza kwamba hajawahi kufanya kazi Tanzania.Is it an oversight?Ila nadhani hajapitia kwenye mifumo ya elimu ya Tanzania,nadhani "ni mtu wao".Hata hivyo hongera zake
 
Tuna kichwa pale wizara ya fedha Mr. Mpango alikua huko World bank. Mpaka leo hatuoni matunda ya mipango yake. Bila Sera na utawala bora hata umlete nani sujui nae atakua Mipangoless.
Kumbe Mipango naye alikuwa World Bank.Kwa hiyo yuko hapo kulinda maslahi ya World Bank?Dah,hawa jamaa noma.
 
Ni yule aliyesoma Weruweru sec miaka ya nyuma au mwingine? Hongera kwa kuiwakilisha Tz
 
ms. msuya alaf married tena au lugha nimeelewa vibaya.
 
Hivi bila kujua Kingereza, hii position angeipata ..!!

Hii ya kujua Kingereza siyo kuelimika. ... awadanganye wengine!!
Kwa dunia ya leo hususan kwa nyanja za kimataifa kama taasisi za UN, kiingereza fasaha ni muhimu sana , ukiona mtu anakwambia lugha za kimataifa si muhimu, I can say he is not thinking beyond our borders, na lugha zinazotambulika rasmi kwa taasisi za UN ni kiingereza na kifaransa ukiwa na ufahamu na lugha nyingine zaidi ya hizo ni added an advantage kulingana na sehemu husika unayokwenda kufanyia kazi, ila baada ya kuona CV yake nikajiridhisha siyo zao la shule za kata na vyuo vyetu hivi vya baadhi ya Wahadhiri kutishia kuwala vichwa wanafunzi, na hii ni ishara ya kwamba kwa elimu yetu hii ya hapa nchini, we still have a long way to go, thnx and I concur with you!
 
immunology na Fedha wapi na wapi, au unadhan kujua kiingereza ndo kuujua uchumi?
Soma habari kwa utulivu uone posts alizowahi kushika katika nyanja za kimataifa usikurupuke tu. Utajisaidia chini kwa haraka zako wakati choo kipo mbele yako!
 
Back
Top Bottom