fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
ndio kachukua uraia wa tanzania,ni vibaya? mbona kibu denis ni mtanzania,mwenye asili ya congo,au kwa vile ni mweusi?Tunapenda kujinadi na kujisifu kwa kutumia watu wenye asili ya Asia, eti Mtanzania!
Hakika mkuu ukitaka kujua hili angalia watu weusi wenye fedha na madaraka ya juu utapata picha.Ukisikia Obama kawa Rais huko Marekani unakata hadi mauno kushangilia. Nikiwaambiwa hakuna race inaongoza kwa ubaguzi hapa duniani kupita mtu mweusi mnanibishia.
Mtu mweusi angekuwa na uchumi mzuri hakuna rangi race nyingine wangeacha kuona.
Mtanzania 🙄
Kanjibai
Mtanzania Mansoor Daya amefariki dunia jijini Dar es Salaam. Daya alikuwa mtu wa kwanza nchini kufungua kiwanda cha madawa Tanzania na Afrika Mashariki mwaka 1962 akianza kwa kuziuzia nchi jirani na baadae akaanza kuuza kwenye soko la ndani.
Mpaka anafariki dunia alikuwa mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya 'Mansoor Daya Chemicals Limited. Kiwanda chake kimekuwa kinazalisha madawa kwa miaka 60 na sasa kina uwezo wa kuzalisha tembe milioni 3 kwa shift moja.
Wateja wake wakubwa ni MSD, mahospitali na cliniki mbalimbali Tanzania na kinachagiza juhudi za kufikia mpango wa Serikali kuhakikisha Tanzania inaagiza chini ya 50% ya dawa zote zinazotumika nchini kufikia mwaka 2030.
Aliwakomesha?Sema huyo Mhindi sijui alisalimika vipi lakini Nyerere hao wahindi ndiyo aliwakomesha kweli kwa uchache tu pale Buguruni kwa Bakhressa kiwanda kilikuwa cha Mhindi.
Halafu kiwanda cha mabati kilikuwa cha Mhindi na Maghorofa yote yale ya kizamani kuanzia Kariakoo, Upanga na Kisutu kote alitaifisha zilikuwa za Wahindi.
Kwahiyo Mtanzania ni nani?Tutasema na yeye si mtanzania.
Mwafrika mtanzania anachojua ni uwizi tu na ufisadiAliwakomesha?
Majengo ya NHC yameoza, hao wahindi wamejenga makubwa zaidi tena.
Viwanda alivotaifisha Nyerere vimekufa, wahindi wame bounce back, wamejenga viwanda vikubwa zaidi.
Huwezi kuua resilience ya wahindi!
Unaweza kumpa rais au waziri mkuu mtu usiyejivunia naye?Yaani Marekani na Uingereza wajivunie Obama na Muhindi!
Anaweza kupewa na akawa kama katuni tu ili kuionesha dunia kama wao wanawachukulia watu wote sawa.Unaweza kumpa rais au waziri mkuu mtu usiyejivunia naye?
Inawezekana walipoteza uTanzania wao kwa kuwa raia wa nchi nyingine.Ushawahi kumsikia mtu mmoja anaitwa Azim Premji? Nina imani unamjua Jenerali Ulimwengu, hawa walizaliwa hapahapa Tanzania mmoja kazaliwa Dodoma na mwingine kazaliwa Kagera walizaliwa miaka mingi tu iliyopita kabla uhuru yaani walikuwepo kwa zaidi ya hiyo miaka 5 unayosema lakini kufika miaka ya 1990's ilibainika sio Watanzania na ikabidi waombe uraia wa Tanzania.
Ni KiwandaNina chereani mbili, za butterfly 🦋 mkuu.
Siyo kama walipoteza uTanzania wao bali hawakuwahi kuwa Watanzania kabisa kwa sababu baada ya uhuru wageni wote walitangaziwa ama wawe na vibali vya ukaazi ama waukane uraia wa nchi zao walikotoka ili wawe Watanganyika lakini hao wazazi wao hawakuwahi kuukana uraia wao ili wawe Watanganyika wala hawakuchukua vibali vya ukaazi hivyo wakawa ni wahamiaji haramu hivyo na hao watoto wao automatically hawakuwa Watanzania.Inawezekana walipoteza uTanzania wao kwa kuwa raia wa nchi nyingine.