TANZIA Mtanzania Mansoor Daya Afariki Dunia, alianzisha kiwanda cha kwanza cha Madawa Afrika Mashariki 1962

Ukisikia Obama kawa Rais huko Marekani unakata hadi mauno kushangilia. Nikiwaambiwa hakuna race inaongoza kwa ubaguzi hapa duniani kupita mtu mweusi mnanibishia.

Mtu mweusi angekuwa na uchumi mzuri hakuna rangi race nyingine wangeacha kuona.
Hakika mkuu ukitaka kujua hili angalia watu weusi wenye fedha na madaraka ya juu utapata picha.
 
Mtanzania 🙄

Kanjibai
 
Aliwakomesha?
Majengo ya NHC yameoza, hao wahindi wamejenga makubwa zaidi tena.
Viwanda alivotaifisha Nyerere vimekufa, wahindi wame bounce back, wamejenga viwanda vikubwa zaidi.
Huwezi kuua resilience ya wahindi!
 
Aliwakomesha?
Majengo ya NHC yameoza, hao wahindi wamejenga makubwa zaidi tena.
Viwanda alivotaifisha Nyerere vimekufa, wahindi wame bounce back, wamejenga viwanda vikubwa zaidi.
Huwezi kuua resilience ya wahindi!
Mwafrika mtanzania anachojua ni uwizi tu na ufisadi
Anaiba mihela mingiii anakula yeye na familia yake na vimada zake

Ova
 
Inawezekana walipoteza uTanzania wao kwa kuwa raia wa nchi nyingine.
 
Inawezekana walipoteza uTanzania wao kwa kuwa raia wa nchi nyingine.
Siyo kama walipoteza uTanzania wao bali hawakuwahi kuwa Watanzania kabisa kwa sababu baada ya uhuru wageni wote walitangaziwa ama wawe na vibali vya ukaazi ama waukane uraia wa nchi zao walikotoka ili wawe Watanganyika lakini hao wazazi wao hawakuwahi kuukana uraia wao ili wawe Watanganyika wala hawakuchukua vibali vya ukaazi hivyo wakawa ni wahamiaji haramu hivyo na hao watoto wao automatically hawakuwa Watanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…