TANZIA Mtanzania Mansoor Daya Afariki Dunia, alianzisha kiwanda cha kwanza cha Madawa Afrika Mashariki 1962

TANZIA Mtanzania Mansoor Daya Afariki Dunia, alianzisha kiwanda cha kwanza cha Madawa Afrika Mashariki 1962


Mtanzania Mansoor Daya amefariki dunia jijini Dar es Salaam. Daya alikuwa mtu wa kwanza nchini kufungua kiwanda cha madawa Tanzania na Afrika Mashariki mwaka 1962 akianza kwa kuziuzia nchi jirani na baadae akaanza kuuza kwenye soko la ndani.

Mpaka anafariki dunia alikuwa mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya 'Mansoor Daya Chemicals Limited. Kiwanda chake kimekuwa kinazalisha madawa kwa miaka 60 na sasa kina uwezo wa kuzalisha tembe milioni 3 kwa shift moja.

Wateja wake wakubwa ni MSD, mahospitali na cliniki mbalimbali Tanzania na kinachagiza juhudi za kufikia mpango wa Serikali kuhakikisha Tanzania inaagiza chini ya 50% ya dawa zote zinazotumika nchini kufikia mwaka 2030.
Tunawahitaji Wahindi sana tu
 
Kafe India leo uone kama utaitwa Muhindi.
Hawatoniita kwa sababu ni kweli mimi sio mzawa wa India wala sio raia wao kabisa.
naamini Mtanzania ni mweusi hao
Kwahiyo kuwa mweusi tu basi wewe ni mtanzania? Mtu mweusi gani ni mwenyeji halisi hapa Tanzania? Mbantu au? Maana wabantu asili yao inasemekana ni Afrika Magharibi. Wasomali waliozaliwa hapa pia wanaingia? Au wao sio weusi?
huwezi sema ni Watanzania pure.
Mtanzania "pure" ni nani? Ukisema mtu mweusi, mweusi yupi? Unawazungumzia vipi waliochanganya damu? Kama wa kuja sio "pure" makabila mengi hapa ni wakuja pia. Tena wengine wapo hapa kuanzia karne ya 19 tu sikuambii ya 20. Kuna wahindi wazee wao wapo hapa kabla hata mjerumani hajaja. Yaani kuna watanzania "pure" wamewakuta hapa. Kuna washirazi wapo hapa kabla hata wareno akina Vasco Da Gama hawajaja. Kuna washirazi walikimbia Iran huko kuja Kilwa waliwakimbia mashia wa Safavid tokea karne ya 16 huko mwanzoni. Na wakaja kuchanganyika na waliowakuta . Kama ni utanzania pure wao ni watanzania pure kuliko wengi wetu
 
Kwani Elon Musk kwa asili ni wa wapi mbona ndio anayeibeba USA kwa sasa?au Rishi Sunak yule waziri mkuu wa uingereza ana asili ya wapi?tuache kuishi kama hatukwenda shule,na kupinga kila kitu...
Mhindi ni mtu wa fursa yeye anaishi kokote hata kama moyo wake haupo hapo ili mradi afanikishe lake lakini kaa ukijua huyo siyo mwenzako, ukimuona mhindi ni mzalendo wa kweli ujue huyo ni chotara wa mzazi mmoja mwafrika na hana historia ya familia yake ya uhindini hata hivyo huwa wanabaguliwa sana na wahindi original.
Hakuna mhindi pure na tajiri anayejivunia Utanzania.
 
Mhindi ni mtu wa fursa yeye anaishi kokote hata kama moyo wake haupo hapo ili mradi afanikishe lake lakini kaa ukijua huyo siyo mwenzako,ukimuona mhindi ni mzalendo wa kweli ujue huyo ni chotara wa mzazi mmoja mwafrika na hana historia ya familia yake ya uhindini hata hivyo uwa wanabaguliwa sana na wahindi original.
Hakuna mhindi pure na tajiri anayejivunia Utanzania.
Kuna mhindi alikua fundi kushona kariakoo,akaenda marekani akawa na kiwanda Cha nguo,akawa na pesa nyingi,siku akaipa serikali ya Nyerere mamilioni ya Dola,akisema yeye hazihitaji,huyu na daudi balali, Andrew chenge,mkapa nani anaipenda Tanzania!?
 
Hawatoniita kwa sababu ni kweli mimi sio mzawa wa India wala sio raia wao kabisa.

Kwahiyo kuwa mweusi tu basi wewe ni mtanzania? Mtu mweusi gani ni mwenyeji halisi hapa Tanzania? Mbantu au? Maana wabantu asili yao inasemekana ni Afrika Magharibi. Wasomali waliozaliwa hapa pia wanaingia? Au wao sio weusi?

Mtanzania "pure" ni nani? Ukisema mtu mweusi, mweusi yupi? Unawazungumzia vipi waliochanganya damu? Kama wa kuja sio "pure" makabila mengi hapa ni wakuja pia. Tena wengine wapo hapa kuanzia karne ya 19 tu sikuambii ya 20. Kuna wahindi wazee wao wapo hapa kabla hata mjerumani hajaja. Yaani kuna watanzania "pure" wamewakuta hapa. Kuna washirazi wapo hapa kabla hata wareno akina Vasco Da Gama hawajaja. Kuna washirazi walikimbia Iran huko kuja Kilwa waliwakimbia mashia wa Safavid tokea karne ya 16 huko mwanzoni. Na wakaja kuchanganyika na waliowakuta . Kama ni utanzania pure wao ni watanzania pure kuliko wengi wetu
Fanya utafiti wako vizuri. Mansoor Daya ni raia wa Canada.
 
Ushawahi kumsikia mtu mmoja anaitwa Azim Premji? Nina imani unamjua Jenerali Ulimwengu,hawa walizaliwa hapahapa Tanzania mmoja kazaliwa Dodoma na mwingine kazaliwa Kagera walizaliwa miaka mingi tu iliyopita kabla uhuru yaani walikuwepo kwa zaidi ya hiyo miaka 5 unayosema lakini kufika miaka ya 1990's ilibainika sio Watanzania na ikabidi waombe uraia wa Tanzania.
Acha uwongo wewe,ulimwengu mtanzania wa ngara,mkapa alimpora uraia 2000s kisa alikua anaanika ufisadi wake,aliuza shirika la ndege kwa thamani ya beberu 11
 

Mtanzania Mansoor Daya amefariki dunia jijini Dar es Salaam. Daya alikuwa mtu wa kwanza nchini kufungua kiwanda cha madawa Tanzania na Afrika Mashariki mwaka 1962 akianza kwa kuziuzia nchi jirani na baadae akaanza kuuza kwenye soko la ndani.

Mpaka anafariki dunia alikuwa mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya 'Mansoor Daya Chemicals Limited. Kiwanda chake kimekuwa kinazalisha madawa kwa miaka 60 na sasa kina uwezo wa kuzalisha tembe milioni 3 kwa shift moja.

Wateja wake wakubwa ni MSD, mahospitali na cliniki mbalimbali Tanzania na kinachagiza juhudi za kufikia mpango wa Serikali kuhakikisha Tanzania inaagiza chini ya 50% ya dawa zote zinazotumika nchini kufikia mwaka 2030.
R.i.p daya

Utakumbuka kwa Brand's zako za dawa Kama..

SEDITON SYRUP YELLOW & GREEN
PIRITON TABS (SEDITION TABS)
EMDELIN SYRUP PEDREATIC
EMDELIN SYRUP ADULT
EMDEMOL SYRUP (PARACETAMOL)
HEMATONE SYRUP
Hizi Ni baadhi Kati ya dawa nyingi sanaa za Mansoor daya
 
M
Kuna mhindi alikua fundi kushona kariakoo,akaenda marekani akawa na kiwanda Cha nguo,akawa na pesa nyingi,siku akaipa serikali ya Nyerere mamilioni ya Dola,akisema yeye hazihitaji,huyu na daudi balali, Andrew chenge,mkapa nani anaipenda Tanzania!?
Muhindi, kwasababu Pesa yake ni ya jasho sio ya Utapeli na Ufisadi

Watu weusi wengi ni jamii ya HOVYO kuliko jamii zote Duniani

Wanajua tu kuzaliana, kuiba na kufanya ujinga ujinga tu
 
Back
Top Bottom