100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
RIP
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Marekani hujivunia watu gani? Obama ni mjaluo na Mzungu.Waziri mkuu wa Uingereza wazazi ni muhindi na wazazi wake walizaliwa Kenya na TanzaniaTunapenda kujinadi na kujisifu kwa kutumia watu wenye asili ya Asia, eti Mtanzania!
Ushawahi kumsikia mtu mmoja anaitwa Azim Premji? Nina imani unamjua Jenerali Ulimwengu, hawa walizaliwa hapahapa Tanzania mmoja kazaliwa Dodoma na mwingine kazaliwa Kagera walizaliwa miaka mingi tu iliyopita kabla uhuru yaani walikuwepo kwa zaidi ya hiyo miaka 5 unayosema lakini kufika miaka ya 1990's ilibainika sio Watanzania na ikabidi waombe uraia wa Tanzania.Nimtu yoyote aliyekuwepo miaka mi5 kabla inchi haijapata uhuru.
Kafe India leo uone kama utaitwa Muhindi.Kwani mtanzania ni nani?
Yaani Marekani na Uingereza wajivunie Obama na Muhindi!Kwani Marekani hujivunia watu gani? Obama ni mjaluo na Mzungu.Waziri mkuu wa Uingereza wazazi ni muhindi na wazazi wake walizaliwa Kenya na Tanzania
Kwa nini una-doubt utanzania wake? Huyu ni mtanzania kuliko watu wengi wanaojifanya ni watanzania. Pengine kizazi cha juzi juzi hakiwezi kujua umuhimu wake. Enzi hizo, Dar, ukitafuta dawa yoyote ukiikosa unaaambiwa nedna kwa Mansoor Daya.Huyo ni Mtanzania?
Kama kuna kitu unakijua eb funguka vzuriMtu toka miaka ya 1960 keshaanza kuwekeza halafu anatokea mtu kwa sababu ya umaskini wa familia yake na roho mbaya ya asili aliyozaliwa nayo anataka kumdhulumu kwa vile tu ana madaraka,lazima ufe kibudu.
Hata ukikumbukwa we uliye kaburini inakusaidia nini? 🤔🤔🤔Wanae wataendeleza mema aliyoyafanya baba yao.Hii inatufundisha kila mtu aache cha maana cha kukumbukwa.
Akiwa tajiri, ila wakijichanganya kwenye siasa utasikia huyu mwarabu, msomali au mhindiMtanzania 🙄
Kwani kiwanda ni nini... Labda tuazie hapa... ✍️✍️Naam Mtanzania wa asili, una kiwanda chochote umeanzisha!😁
Warudi kwao wapi? Kwani wewe una hatimiliki ya Tanzania?Pole yao wanafamilia.
Kweli tuna mabilionea wengi wasio weusi nchi hii.
Siku wakiondoka na kurudi kwao tutarudi nyuma miaka 50.
Huwezi kuwa na uraia wa zaidi ya nchi mbili. Ndiyo maana una itwa 'Duo citizenship' Duo means two. Na sisi Waswahili tukamuita uraia pacha.RIP.
Mcanada, mwingereza.........
Hakuna duo citizenship hapa Tanzania. Tusikariri tu kuwa Ili uwe mtanzania lazima uwe mweusi.RIP.
Mcanada, mwingereza.........