Una uhakika na hili ulilosema mkuu?Wahindi wote dunia nzima wanaingia India bila visa na wanaruhusiwa kumiliki ardhi bila vikwazo vyovyote kwa sababu tu ya Uasili wao India.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika na hili ulilosema mkuu?Wahindi wote dunia nzima wanaingia India bila visa na wanaruhusiwa kumiliki ardhi bila vikwazo vyovyote kwa sababu tu ya Uasili wao India.
Ndio ni mtanzania,
Labda useme huelewi Mtanzania ni Mtu gani?
Nina uhakikaUna uhakika na hili ulilosema mkuu?
Inna li Llahi wa inna Ilayhi rajiun.
Mtanzania Mansoor Daya amefariki dunia jijini Dar es Salaam. Daya alikuwa mtu wa kwanza nchini kufungua kiwanda cha madawa Tanzania na Afrika Mashariki mwaka 1962 akianza kwa kuziuzia nchi jirani na baadae akaanza kuuza kwenye soko la ndani.
Mpaka anafariki dunia alikuwa mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya 'Mansoor Daya Chemicals Limited. Kiwanda chake kimekuwa kinazalisha madawa kwa miaka 60 na sasa kina uwezo wa kuzalisha tembe milioni 3 kwa shift moja.
Wateja wake wakubwa ni MSD, mahospitali na cliniki mbalimbali Tanzania na kinachagiza juhudi za kufikia mpango wa Serikali kuhakikisha Tanzania inaagiza chini ya 50% ya dawa zote zinazotumika nchini kufikia mwaka 2030.
Tanzania hatuna. Ila Canada na Uingereza wanao. Hivyohuwezi kuwa Mtanzania, Ukawa Mwingereza na Ukawa Mcanada. Mifumo itakuumbua.Hakuna duo citizenship hapa Tanzania. Tusikariri tu kuwa Ili uwe mtanzania lazima uwe mweusi.
Jirekebishe!Ushawahi kumsikia mtu mmoja anaitwa Azim Premji? Nina imani unamjua Jenerali Ulimwengu,hawa walizaliwa hapahapa Tanzania mmoja kazaliwa Dodoma na mwingine kazaliwa Kagera walizaliwa miaka mingi tu iliyopita kabla uhuru yaani walikuwepo kwa zaidi ya hiyo miaka 5 unayosema lakini kufika miaka ya 1990's ilibainika sio Watanzania na ikabidi waombe uraia wa Tanzania.
Nirekebishe wewe kama unaona kuna sehemu nimekosea.Jirekebishe!
Mtanzania 🙄
Ni kwel mkuu.Kwahiyo angekua mweusi ila ni mganda au mkenya ungesemaje! Utakuta huyo ni raia wa asili zaidi yako
Huyo ni Mtanzania?
Mimi naona ni mtanzania mzalendo, mwenye asili ya mababu zake wahindiHuyo ni Mtanzania?
Sema huyo Mhindi sijui alisalimika vipi lakini Nyerere hao wahindi ndiyo aliwakomesha kweli kwa uchache tu pale Buguruni kwa Bakhressa kiwanda kilikuwa cha Mhindi.Nyerere alikuwa anataifisha mali za weusi wenzake tu kwa kisingizio cha ujamaa
Utafikiri ni Mtu mweusi mwenye Pua pana, nywele ngumu nyeusi na lips pana🤣Mtanzania 🙄
Huyo ni kaburu mkuu .Utafikiri ni Mtu mweusi mwenye Pua pana, nywele ngumu nyeusi na lips pana🤣
Kwani Elon Musk kwa asili ni wa wapi mbona ndio anayeibeba USA kwa sasa? Au Rishi Sunak yule waziri mkuu wa uingereza ana asili ya wapi?tuache kuishi kama hatukwenda shule,na kupinga kila kitu...Tunapenda kujinadi na kujisifu kwa kutumia watu wenye asili ya Asia, eti Mtanzania!
Ndio, sio MbantuHuyo ni kaburu mkuu .