Tetesi: Mtanzania Mbaroni Kwa kuiibia Serikali ya Marekani Bilioni 8!

Huyu sio John Ndunguru alikuwa mchezaji wa Simba Sports Club enzi za Said Elmaamry na FAT?
 
Miaka ya 2000 kuna wabongo walipiga hela kwenye kampuni ya kompyuta ya hewlett Packard almaarufu HP.wengine walidakwa wengine wakafanikiwa kusepa,mmoja namjua kawa don hapa mjini,kuna story nyingi za wabongo kupiga hela huko kwa wazungu,sema huwa hazitangazwi sababu huwa wanasepa kabla ya kukamatwa.unaambiwa hapa afrika baada ya wanaijeria wanafuatia wabongo kwa utapeli wa kimataifa labda na wakongo.
 
Ha ha eti unaficha wakati kuna hadi uzi wao humu enzi hizo
 
Alaf gereza za ulaya officer wa kike ni wazuri balaa, sjui wanawachagua kwa maksudi au, yaani watoto wakaaliii anakuja room yako anakagua huku anakuuliza viswaliswali vya uchokozi, yaani kuna mshkaj alikua Jirani yangu room Jirani, ananiambia kua kashawatombaga maofficer wawili, sikuamini, yaani dem anakuja kulock room yako anakukonyeza dadek.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…