Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha eti unaficha wakati kuna hadi uzi wao humu enzi hizoMiaka ya 2000 kuna wabongo walipiga hela kwenye kampuni ya kompyuta ya hewlett Packard almaarufu HP.wengine walidakwa wengine wakafanikiwa kusepa,mmoja namjua kawa don hapa mjini,kuna story nyingi za wabongo kupiga hela huko kwa wazungu,sema huwa hazitangazwi sababu huwa wanasepa kabla ya kukamatwa.unaambiwa hapa afrika baada ya wanaijeria wanafuatia wabongo kwa utapeli wa kimataifa labda na wakongo.
Asa nimeficha wapi mkuu mbona unataka kunionea?.Kumbe kuna uzi wao humu ngoja nikaucheki.Ha ha eti unaficha wakati kuna hadi uzi wao humu enzi hizo
Kuna lijamaa lipo luthuli RINA DIRRR NA WANYONGE, RINAWAPIGA HERA BARAAAHuyu ndo kidume
Umeficha jinaAsa nimeficha wapi mkuu mbona unataka kunionea?.Kumbe kuna uzi wao humu ngoja nikaucheki.
Ikawaje mkuu tupe bsi link ya thread ya hyo storyHa ha eti unaficha wakati kuna hadi uzi wao humu enzi hizo
Ngoja niusakeIkawaje mkuu tupe bsi link ya thread ya hyo story
Search tu jina Othamn Njaidi humu Jf utapata zaidi hii storyIkawaje mkuu tupe bsi link ya thread ya hyo story