Mtanzania mwenye asili ya Kiarabu ameshinda Nobel Price in Literature

Tony254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2017
Posts
16,017
Reaction score
16,431
Huwa nasema kwamba hawa Waarabu wa Tanzania wanajituma sana. Wana bidii ya mchwa na ni werevu sana. Kuna Mtanzania mwenye asili ya kiarabu aliyeshinda Nobel price in literature. Hawa wabongo wengine weusi wapiga ramli endeleeni kuzubaa tu.
 
Hongera kwake. Kaiweka Tanzania juu.
 
Unadhani ndo anastahili kuliko wote?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…