FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Daah, hakuongea na mama miaka 26, daah!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pongezi muhimu, ila ni jukumu lao, wasifikiri wanafanya msaada hapo..Ubalozi umefanya jambo la utu sana na unastahili pongezi.
picha ya kwanza imepigwa na google pixel picha ya pili imepigwa na IphoneMbona kama sura mbili tofauti?
Wewe upo msituni ngosha,ndevu sikuhizi kila mtu mwanaume anafuga sio habari za dini tena..na huyo mwenye madevu kama osama ni afisa ubalozi wa bongo?
SA watu wanaishi kwa kuhama hama sana mwaka huu Cape mwakani unamkuta Durban baadae Johannesburg inategemeana na mfumo wake...Ni wa Capetown au huko huko Pretoria?
Kuna mwaka Mtanzania alifariki Watu wakachangishana wakaenda kufata documents za kusafirisha Maiti wao wakafunga ofisi watu wanawaambia waende J3 walikua wapo busy na sherehe yao kilichotokea kwenye sherehe hawaji kusahau...hao jamaa hawana msaada wowote kwa Watanzania waishio SA.Yes. Yani hamna kitu hizi balozi zetu zinafanya. Hapo unakuta wameshauza travel document Ile ya temporary na kutaka mgonjwa apelekewe ili wapate picha ya pamoja ya kudanganyia watu Tanzania
Vijana wengi wanaona kufuga ndevu ni urembo kumbe ni uchafu tu.na huyo mwenye madevu kama osama ni afisa ubalozi wa bongo?
Mkuu wapi Ubalozi wametoa wao pesa?Kwa uzoefu wangu wa ubalozi wa Tz nikiwa nje kwa asilimia kubwa hiyo pesa hawajatowa wao msaada wao ni wa kidplomasia kupata docs za kusafiria, huo ubalonzi hawana fungu la kusaidia watanzania kwa pesa.....
Wapuuzi sana. Mi huwa naona watu pekee wanaosifia hizi balozi ni wale ambao hawajawahi kutoka nje ya bongo.Kuna mwaka Mtanzania alifariki Watu wakachangishana wakaenda kufata documents za kusafirisha Maiti wao wakafunga ofisi watu wanawaambia waende J3 walikua wapo busy na sherehe yao kilichotokea kwenye sherehe hawaji kusahau...hao jamaa hawana msaada wowote kwa Watanzania waishio SA.
Pongezi huenda kwa kila aliyetoa mchango wake ili kufanikisha jambo fulani,mchango unaweza kua pia hata wa kimawazo tu,Chama cha watanzania waishio Africa kusini (mabaharia) ndio wanastahili hizi pongezi. Wao ndio waliomuibua huyo ndugu, waliochanga fedha mpaka kufanikisha zoezi hilo kukamilika. Na sio huyo tu wameshasaidia wengi wenye uhitaji
Duh!kaanza hili tatizo lini?je ni madawa au mahangaiko tu ya kimaisha?Duuh life bhana jamaa alikua mzima kabisa aisee Karim wa Sunny side huyu...SA ni shida...
Mkuu naona umeamua kuwapambania mpaka kwa mifano ambavyo wala halihusiani. Usikute nachat na balozi mwenyewe hapa 😆😆😆Pongezi huenda kwa kila aliyetoa mchango wake ili kufanikisha jambo fulani,mchango unaweza kua pia hata wa kimawazo tu,
Mfano utampongeza Maxence Melo kwa kuanzisha hii JF ila pia ni lazima utawapongeza member wote wa JF ambao ndio wanafanya hii platform kua hivi ilivyo leo,
ndio maana utasikia "Tunatoa shukrani kwa wote waliotoa mchango wao wa hali na mali"
Nadhani itakua mahangaiko ya kimaisha alikua Smart sana nadhani ndio maana watu wanaomfahamu wamefanya hivyo SA kitambo ilikua rahisi kwa Watanzania kufahamiana kwa sababu baada ya mihangaiko tulikua tunakutana eneo moja usiku kama Pretoria Sunny side huko Cape Town Golden Acre na Kwazulu Natal pana mtaa pia Watanzania wanakutana jioni ila kwa sasa hivi imekua tofauti ni mpaka matatizo yatokee watu wanaitana sehemu moja kwa ajili ya kuchangishana tu...Duh!kaanza hili tatizo lini?je ni madawa au mahangaiko tu ya kimaisha?
Balozi yenye nguvu kwa Raia wake ni Nigeria aisee jamaa wanakua kama wapo nyumbani kwao pale..Wapuuzi sana. Mi huwa naona watu pekee wanaosifia hizi balozi ni wale ambao hawajawahi kutoka nje ya bongo.
Ubalozi walitakiwa wajifunze baada ya hilo tukio 😆😆
dah !inawezekana mambo ya depression etcNadhani itakua mahangaiko ya kimaisha alikua Smart sana nadhani ndio maana watu wanaomfahamu wamefanya hivyo SA kitambo ilikua rahisi kwa Watanzania kufahamiana kwa sababu baada ya mihangaiko tulikua tunakutana eneo moja usiku kama Pretoria Sunny side huko Cape Town Golden Acre na Kwazulu Natal pana mtaa pia Watanzania wanakutana jioni ila kwa sasa hivi imekua tofauti ni mpaka matatizo yatokee watu wanaitana sehemu moja kwa ajili ya kuchangishana tu...
Ndio maana Kawa ndimuMiaka 26 hana mawasiliano ya mzazi wako yungali yuko hai?? Inastaajabisha!
Mitungi, Mishisha, Mibange, Misigara na mingada utamkumbuka mama kweliMiaka 26 hana mawasiliano ya mzazi wako yungali yuko hai?? Inastaajabisha!
Mka mfanya mama wa watu ajutie teuziKuna mwaka Mtanzania alifariki Watu wakachangishana wakaenda kufata documents za kusafirisha Maiti wao wakafunga ofisi watu wanawaambia waende J3 walikua wapo busy na sherehe yao kilichotokea kwenye sherehe hawaji kusahau...hao jamaa hawana msaada wowote kwa Watanzania waishio SA.