Mtanzania mwenye umri wa miaka 60 akamatwa na Mihadarati Ethiopia

Mtanzania mwenye umri wa miaka 60 akamatwa na Mihadarati Ethiopia

amejaribu... hiyo ni ajari kazini, mimi kijana na mikaptura yangu mikubwa mikubwa sina lolote... nina kazi ya kuiLaumu serikali wakati pesa zipo wazee wanahangaika usiku na mchana kuzichukua....!

Mungu amfanyie wepesi...!​
 
A TANZANIAN NATIONAL ARRESTED AT BOLE AIRPORT WITH 1.34KG OF COCAINE On 18/04/2024 at 19:40 at Transit lounge At Bole International Airport In Addis Ababa Ethiopia Police have arrested a suspicious Passenger SADICK ABRAHAMAN ALLY , Tanzanian, 60 yearS Old, Born and Grew up in Tanga ,Passport number TAE 266469.

The passenger was travelling from Sao Paulo ( GRU ) transiting at Bole International airport to Entebbe International Airport on Flight ET 5O7 and then on flight ET 334 to EBB and took the suspicious passenger to X ray where indicated Positive and on interrogation he admitted to have swallowed about Kg of Cocaine . The passenger is beeing held by Ethiopia police for discharge of the Pellets and further Investigation and Legal action .

Punda amekataa kustaafu kazi yake, mwenye mzazi wake aende rumande za Addis Ababa kumpelekea sabuni na maji

View attachment 2971479View attachment 2971480
Kwa hiyo mzigo ukigoma kutoka wenyewe watamfanyia operation?
 
Daah alichofanya akamatwe ni Nchi aliyotoka ndio maana Polisi wa ET wakaanza kumchunguza mizigo ila inasikitisha sana kwa kweli kwa umri huo bado kutaka kuendelea kuua vijana ili apate fedha aisee hapo ni kama kakamatwa Rwanda ataenda jela..
Na jela za ethiopia ni ngumu kweli kweli

Ova
 
A TANZANIAN NATIONAL ARRESTED AT BOLE AIRPORT WITH 1.34KG OF COCAINE On 18/04/2024 at 19:40 at Transit lounge At Bole International Airport In Addis Ababa Ethiopia Police have arrested a suspicious Passenger SADICK ABRAHAMAN ALLY , Tanzanian, 60 yearS Old, Born and Grew up in Tanga ,Passport number TAE 266469.

The passenger was travelling from Sao Paulo ( GRU ) transiting at Bole International airport to Entebbe International Airport on Flight ET 5O7 and then on flight ET 334 to EBB and took the suspicious passenger to X ray where indicated Positive and on interrogation he admitted to have swallowed about Kg of Cocaine . The passenger is beeing held by Ethiopia police for discharge of the Pellets and further Investigation and Legal action .

Punda amekataa kustaafu kazi yake, mwenye mzazi wake aende rumande za Addis Ababa kumpelekea sabuni na maji

View attachment 2971479View attachment 2971480
Kazi za watu wa Pwani, wavivu.
 
Back
Top Bottom