Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Hiyo biashara haina kabila wala dini vijana wengi wa makabila tofauti wamepotea huko...Muislamu na dawa za kulevya haviachani
Waxhaga pmj na kupenda fedha Ila dili la madawa ya kulevya humkuti nalo
Aiseee kumbe.Kuanzia mil 120 kuendelea kutegemea na quality na nchi itokako.
EhehheheIna bei kiasi cha kutoana roho.
Kiboko na mke wake je?amesha maliza kifungo chake...!
Mara ya mwisho nilisikia cha ukucha ilikiwa 2000 tena zamani kidogo na sio pure... sasa imagine kilo moja ina nusu kucha ngapi ndani yake? Ile ni starehe ya matajiriHivi cocaine ina thamani kubwa kiasi hichi?
Kg Moja uilipie siti ya ndege, ule, ulale hotelini n.k.
Kg Moja sh.ngapi kwani?
Kiboko na mke wake je?
So what?SADIKI ABRAHAMANI ☪️
Panapitika sana, Mzee alikua na wenge tu...!!!Inaonesha Ethiopia hapapitiki kirahisi na mzigo
Kiboko ni mwingine sio shkuba... Huyo kiboko kambi yake ilikuwa tegetaShikuba mbona yuko nje muda kidogo, kijana wake Tikotiko naye yuko kitaa muda pia.. salama yake ni kwenda kuhukumiwa USA,mkewe hakufungwaga...nadhani ndie alietumika kama chambo kumnasa... !
nadhani muda sio mrefu yule jamaa wa migo migo nae watamuachia au pengine wamesha muachia🤣🤣🤣
vidagaa ndio huwa wanafungwa ila mi papa haifungwagi
Kiboko na mke wake je?
lile takwa la kuwa na wake lukuki limeshakuwa mwibaHayo majina kwa kuuza mihadarati hayo yanaongoza
Alafu ni jf member sijui nimtajeAlikuwa kwenye kutafuta pension,
nimemkumbuka alikamatwaga na gram kama 250 hivi yeye na mkewe... walishaachiwaga kwa mchongo... wewe bwana hufatilii mambo🤣🤣🤣Kiboko ni mwingine sio shkuba... Huyo kiboko kambi yake ilikuwa tegeta
Kwa sababu hauna akili...amejaribu... hiyo ni ajari kazini, mimi kijana na mikaptura yangu mikubwa mikubwa sina lolote... nina kazi ya kuiLaumu serikali wakati pesa zipo wazee wanahangaika usiku na mchana kuzichukua....!
Mungu amfanyie wepesi...!
We binti mtoto wa 2000 maneno gani hayo? Ni bahati mbaya au umekusudia?Na uzee huo jela atakua chakula cha Masela
Nisamehe mkuuWe binti mtoto wa 2000 maneno gani hayo? Ni bahati mbaya au umekusudia?