Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa siasa uchwara hapa,watu wanaumiza vichwa kuangalia fursa,wewe nyumbu unawaza kumshabikia mwanaume mwenzako kwenye ulaji wake.Kura yangu kwa Tundu Lissu
Link iko wapi, mbona siioni??Click link hyo then uku tutapata wasaa wakujadili kwakina ..
University of 💶💶 freedomKwa ambae ajapata link PM me now
Channel hii inashughulisha na kupeana connection na fulsa kupitia mfumo wa teknolojia yaan YOU TUBE na nyinginezo.join sasa kupata fulsaStory imekaa vizuri!
Adsense yangu imefungwa juzi, je una sanduku la posta ?
FURSAChannel hii inashughulisha na kupeana connection na fulsa kupitia mfumo wa teknolojia yaan YOU TUBE na nyinginezo.join sasa kupata fulsa
University of financial freedom.
link iko wap mkuu !?Click link hyo then uku tutapata wasaa wakujadili kwakina ..
Mbna hii link ni la groupla Whastup!?
Channel hii inashughulisha na kupeana connection na fulsa kupitia mfumo wa teknolojia yaan YOU TUBE na nyinginezo.join sasa kupata fulsaMbna hii link ni la groupla Whastup!?
Let m tell something wabongo weng wanauelewa mdogo sana juu ya maswala ya mtandao have been doing this almost more than 4 years..iko hivi watu wa Google na TCRA no connections .Vipi mkono wa TCRA unaukwepaje?.
Vipi mkuuu,kama haupost habari za Tanzania, hao TCRA wanaweza kukutambua?.Let m tell something wabongo weng wanauelewa mdogo sana juu ya maswala ya mtandao have been doing this almost more than 4 years..iko hivi watu wa Google na TCRA no connections .
chombo cha TCRA belong to Tanzania so wao wanacho itaji wanakupa mda uweze Ku register channel ako ambao ghalama n laki 5 kwa mwaka ..lakin ni baada ya kukupa mda ww wa kujipanga.
then ugomvi mkubwa na TCRA ni maudhui unayoweka kwenye hyo channel yako!
Nimeeleza pale juu kua nilifungiwa zaid ya mala kazaa kwasabab ya vitu kama hvyo...na mpaka umetiwa mkononi umekamatwa ni kwamba ww umeripot either taharifa ya uongo ama umepost ngono...
Wanakutambua mkuu technology is another thing bro...Vipi mkuuu,kama haupost habari za Tanzania, hao TCRA wanaweza kukutambua?.