Mtanzania Raia wa Marekani anaweza kurithi mali zilizopo Tanzania?

Mtanzania Raia wa Marekani anaweza kurithi mali zilizopo Tanzania?

Hawezi kurithi kitu chochote Tanzania. Ksbb huyo sio raia wa Tanzania.
Swet-R, kuna sheria ya mirathi unayoifahamu inayokataza? Katika urithi wa Mzee wangu,mwakilishi wangu alisimama mahakamani katika kugawa mirathi ya Mzee wangu, nilitambulishwa niko nje na ni raia wa Marekani, nilipata changu,sio mimi na ndugu zangu ambao ni raia wa nchi nyingine.
 
Swet-R, kuna sheria ya mirathi unayoifahamu inayokataza? Katika urithi wa Mzee wangu,mwakilishi wangu alisimama mahakamani katika kugawa mirathi ya Mzee wangu, nilitambulishwa niko nje na ni raia wa Marekani, nilipata changu,sio mimi na ndugu zangu ambao ni raia wa nchi nyingine.
Na kwa kauli za msimamizi wa mirathi tuliweza badili hati.
 
Hili jambo inabidi liangaliwe kwa makini. Bado tunawapenda ndugu zetu walioko ughaibuni
 
Hawezi kurithi kitu chochote Tanzania. Ksbb huyo sio raia wa Tanzania.
Sasa mbona Membe amegombea mpaka Urais? Si Mcanada huyu?

Msipende kila jambo kulifanya kisheria, CIA na Mossad huwa wanatengeneza fake passport za nchi nyingine ili kutekeleza oparesheni zao bila kutambulika original yao.

Mjifunze kujiongeza kama tumeongozwa na Rais Mrundi wewe Mtanzania pure unajifungia vipi milango?
 
Hili jambo inabidi liangaliwe kwa makini. Bado tunawapenda ndugu zetu walioko ughaibuni
Na wao waache shobo, kuna classmate wangu ana miaka 22 USA, ameshapata uraia anatumia American passport, kuna likizo alikuja tukaenda Zanzibar, ile hotel tuliyofikia yeye akajitambulisha ni Mmarekani na akawapa passport.

Unajuwa kilichotokea? Siku tunacheck out bill yake ilikuwa kubwa sana kuliko yangu, mimi nilihudumiwa kwa bei za citizen na yeye alihudumiwa kama foreigner wakati jitu limesoma Tambaza.

Kilichompoza ni sifa za kijinga tu kwamba pale hotelini atambulike kama Mmarekani.

Yani ilibidi tusubili mpaka awasiliane na mke wake Marekani ampe access ya pesa kwenye joint account yao.

Wahindi kibao tu wana passport za Canada na Tanzania na hawana shobo.
 
Na wao waache shobo, kuna classmate wangu ana miaka 22 USA, ameshapata uraia anatumia American passport, kuna likizo alikuja tukaenda Zanzibar, ile hotel tuliyofikia yeye akajitambulisha ni Mmarekani na akawapa passport.

Unajuwa kilichotokea? Siku tunacheck out bill yake ilikuwa kubwa sana kuliko yangu, mimi nilihudumiwa kwa bei za citizen na yeye alihudumiwa kama foreigner wakati jitu limesoma Tambaza.

Kilichompoza ni sifa za kijinga tu kwamba pale hotelini atambulike kama Mmarekani.

Yani ilibidi tusubili mpaka awasiliane na mke wake Marekani ampe access ya pesa kwenye joint account yao.

Wahindi kibao tu wana passport za Canada na Tanzania na hawana shobo.
Pamoja na shobo zao bado ni ndugu zetu si ndiyo mkuu?
 
Sasa mbona Membe amegombea mpaka Urais? Si Mcanada huyu?

Msipende kila jambo kulifanya kisheria, CIA na Mossad huwa wanatengeneza fake passport za nchi nyingine ili kutekeleza oparesheni zao bila kutambulika original yao.

Mjifunze kujiongeza kama tumeongozwa na Rais Mrundi wewe Mtanzania pure unajifungia vipi milango?
Kuna watu mnaongea vitu havieleweki. Sasa CIA na Mossad kama wanaweza kutengeneza fake passport ili atambulike ni raia wa nchi aitakayo kuifanyia upelelezi HICHO NI KITU KINGINE,uelewe. Hata huyu akitaka kuwa raia wa Tanzania ili aupate urithi avunje sheria atengeneze ufake wa uraia. Na hicho ujue hicho kitakuwa kitu kingine,tayari ameforge hata kama mamlaka hazitatambua hiyo forgery yake. Na forgery siku zote ni za mashaka,ipo siku anaweza kutiwa nguvuni. Hata hao CIA kuna muda wanadakwa.
 
Back
Top Bottom