The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Alikuwa mwanachuoIle ya zambia walipost sana ila hii wamefunga vioo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa mwanachuoIle ya zambia walipost sana ila hii wamefunga vioo
Kumbe hapa Serikali inafanya makosa,Kwa nini wanaacha watu Wetu wanatumikishwa?Alikua masomoni, akafanya makosa, akafungwa urusi, akiwa gerezani Wagner group wakamchukua na kupata mafunzo ya muda mfupi ya kijeshi halafu akapelekwa uwanja wa vita ndio yamemkuta hayo ni ulaghai wa urusi maana iliwalaghai wafungwa kwa kuwaahidi watafutiwa adhabu zao,
Kalazimishwa na nani wewe pakaJameni Urusi watatumalizia vijana wa Afrika walioko huko, wameishiwa wanajeshi sasa wanalazimisha watu kwenda kupigana na kufia huko... Ukraine wanafyeka hawajali nani wala nani.
View attachment 2484316
Federal news agency
The funeral of Tarimo Nemes Raymond, a citizen of Tanzania, who fought near Bakhmut as part of the Wagner PMC and died while performing a combat mission, took place in Goryachiy Klyuch.
The African came to Russia for higher education. Later, he ended up in a colony due to a committed offense. It was there that the man accepted the offer to join the ranks of the “musicians” and went to the NVO zone under the call sign “Mbea” in order to protect the interests of the Russian Federation and the sovereignty of Donbass
Federal news agency.
Tarimo died on October 24 while performing a combat mission, when he came under enemy artillery fire. The command of PMC “Wagner” has repeatedly spoken positively about the skills and heroism of the attack aircraft. For the courage shown in battles, he was awarded the medal “For Courage” and the Trench Cross of the Wagner PMC.
View attachment 2484815
The funeral of the fighter was held in the chapel of the “musicians”, which is located in the Hot Key. Soon his body will be sent home.
Oop Stop
Huyu anaenda kuzikwa mbeyaMchagha fala huyo wenzake wanafia kwenye wizi wa bunduki kwenye ma-bank yeye kaenda kufa anapora ardhi ya watu tena anapigania watu wanaomuona kama mbwa!
Hiyo ilikuwa hasara kwa taifa na familia acha aondoke.
Huyu jamaa nimesomanae shule ya msingiHuyu anaenda kuzikwa mbeya
Mama yake mnyakyusa,na mama yake mzazi alishafarikigi miaka 8 iliyopita
Msiba uko jirani jirani na bochi hospital
Ova
Umesahau hata wakenya waliokuwa Wanalipua wekenya wenzao dini,siasa na ukabila?Ukishaitwa hilo jina unakua zombi, utaifa unakutoka, hukuona Mtanzania kutoka Upareni aliingia Kenya kulipua mabomu Garissa, kisa kasilimu.
Umesahau hata wakenya waliokuwa Wanalipua wekenya wenzao dini,siasa na ukabila?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesoma nae primary tosamaganga, iringa alikua darasa moja nyuma yangu, nimeonana nae mara kadhaa mitaani enzi za olevel.Kutakuwa kuna watu walisoma naye secondary hapa bongo
Tosamaganga boyz home au sio? Jamaa kamaliza mwaka mmoja na wakina walter toziHuyu jamaa nimesomanae shule ya msingi
Jamaa alisoma CBE na amemaliza mwaka 2016. Tarimo wa Aru yule jamaa aligombea Urais.sio yeye.Huyu mchizi mbona kama amesoma pale Aru hebu waliomaza 2012 watujuze.
Familia yake naifahamu upande wa mama yake ni watu wa mbeya,Huyu jamaa nimesomanae shule ya msingi
Ila kwa mahojiano ni kuwa Mama yake alifariki alipokuwa akijiunga na form 1Huyu anaenda kuzikwa mbeya
Mama yake mnyakyusa,na mama yake mzazi alishafarikigi miaka 8 iliyopita
Msiba uko jirani jirani na bochi hospital
Ova
We naye umesoma Tosa?Huyu jamaa nimesomanae shule ya msingi
Ndio mkuu...inaonekana na wewe ndio wale wale watoto wa ng'owoWe naye umesoma Tosa?
Mkuu embu tujuane bhana mimi mwenyewe nimesomanao hao jamaa[emoji16][emoji16]umenikumbusha mbali enzi za braza ng'owoTosamaganga boyz home au sio? Jamaa kamaliza mwaka mmoja na wakina walter tozi
Mjinga sana wewe[emoji23][emoji23][emoji23]Jina la huyo Mkenya ni Abdul, ukishaitwa majina kama hayo unakua huna taifa, unaweza kulipuka mabomu popote...