Mtanzania Tarimo Nemes Raymond, afariki akiwapigania Wagner wa Urusi, kule Ukraine

Kumbe hapa Serikali inafanya makosa,Kwa nini wanaacha watu Wetu wanatumikishwa?

Urafiki wa kisenge kama huu hapana.
 
wangewapo wafungwa adhabu ya kifo tujue moja
 
Kalazimishwa na nani wewe paka
 
Mchagha fala huyo wenzake wanafia kwenye wizi wa bunduki kwenye ma-bank yeye kaenda kufa anapora ardhi ya watu tena anapigania watu wanaomuona kama mbwa!

Hiyo ilikuwa hasara kwa taifa na familia acha aondoke.
Huyu anaenda kuzikwa mbeya
Mama yake mnyakyusa,na mama yake mzazi alishafarikigi miaka 8 iliyopita
Msiba uko jirani jirani na bochi hospital

Ova
 
Umesahau hata wakenya waliokuwa Wanalipua wekenya wenzao dini,siasa na ukabila?

Sent using Jamii Forums mobile app

Ukishaitwa Abdul...Abdala na mengineyo hauna taifa tena, wewe ni zombi la kulipukia watu mabomu ukapewe mabikira...
Hata ndugu wako wa damu akishaitwa hayo majina anakua useless.... Hapo muda wowote anaweza akatumika kumlipukia hata mama yenu mzazi, akili huwa zimechukuliwa.
 
Huyu jamaa nimesomanae shule ya msingi
Familia yake naifahamu upande wa mama yake ni watu wa mbeya,
Kisa chake alinigusia ndugu yake mmoja kama wiki 2,zilizopita
Aise pole sana ......

Ova
 
Huyu anaenda kuzikwa mbeya
Mama yake mnyakyusa,na mama yake mzazi alishafarikigi miaka 8 iliyopita
Msiba uko jirani jirani na bochi hospital

Ova
Ila kwa mahojiano ni kuwa Mama yake alifariki alipokuwa akijiunga na form 1

Ukipiga muda hadi kwenda Urusi 2016 inapita miaka 8
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…