macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Haya ni maamuzi ya mtu binafsi. Hata zamani wazee wengi walikuwa wanaambia vijana wasiende mjini kwani kuna maisha ya tabu lakini siku hizi huo msemo huusikii tena.Hii mada inawahusu ma expert na wale wrnzangu na Mimi, Yaani wale ambao hawana elimu au elimu yako sio dili katika soko la ajira ulimwenguni.
Tanzania ukilipwa mshahara hata millioni Moja na nusu unainjoi kuliko anayelipwa mamilioni huko nje.
South Africa vijana wa kitanzania wanakufa kama nzi.
Huko nje utabaguliwa sana, na maisha ya upweke yana faida gani huku bongo fursa nyingi?
Naona kazi kuendelea kuandika.
Nendeni mkale bata huko ulaya .
Hawarudi sababu ya different cultures ukizoea sana mambo ya Nje labda ukija huku njoo kula pesa yako na sio kuwekeza Watanzania wa sasa sio wa zamani Sound nyingi na uongo mwingi na wala hawajali muda na hawapo serious kwahio ukishazoea life ya nje ukija huku utaona watu wanakuzingua..., labda kama unakuja kula bata na sio kutafuta pesaSera mbovu hizi ndio zinahatarisha hata usalama wa mtu kurudi nyumbani kuishi.
Ndio maana wengi wakienda Ughaibuni hawarudi.
Wewe ndio laana. Pumbv!Lack of exposure
Mleta mada tembea uone.
Ukitembea duniani, utaona kwamba ulikuwa na mawazo ya kishamba sana.
Uafrika hasa utanzania ni laana.
Acha vijana wakimbie nchi, kuepuka laana.
Elimu yako ni ya ngazi ipi mkuu ?Hii mada inawahusu ma expert na wale wrnzangu na Mimi, Yaani wale ambao hawana elimu au elimu yako sio dili katika soko la ajira ulimwenguni.
Tanzania ukilipwa mshahara hata millioni Moja na nusu unainjoi kuliko anayelipwa mamilioni huko nje.
South Africa vijana wa kitanzania wanakufa kama nzi.
Huko nje utabaguliwa sana, na maisha ya upweke yana faida gani huku bongo fursa nyingi?
Naona kazi kuendelea kuandika.
Nendeni mkale bata huko ulaya .
Mkuu npo Dodoma nataka kwenda Goma huko vp lifeHii mada inawahusu ma expert na wale wrnzangu na Mimi, Yaani wale ambao hawana elimu au elimu yako sio dili katika soko la ajira ulimwenguni.
Tanzania ukilipwa mshahara hata millioni Moja na nusu unainjoi kuliko anayelipwa mamilioni huko nje.
South Africa vijana wa kitanzania wanakufa kama nzi.
Huko nje utabaguliwa sana, na maisha ya upweke yana faida gani huku bongo fursa nyingi?
Naona kazi kuendelea kuandika.
Nendeni mkale bata huko ulaya .
yaani kama mbwa koko kabisa.. hapana kwa kweliBongo ukipigika umepigika kweli kweli...
Unajibu kwa mihemko tu.Wewe ndio laana. Pumbv!
Ukiwa Tanzania, hauna tofauti na kuwa shimoni.Hii mada inawahusu ma expert na wale wrnzangu na Mimi, Yaani wale ambao hawana elimu au elimu yako sio dili katika soko la ajira ulimwenguni.
Tanzania ukilipwa mshahara hata millioni Moja na nusu unainjoi kuliko anayelipwa mamilioni huko nje.
South Africa vijana wa kitanzania wanakufa kama nzi.
Huko nje utabaguliwa sana, na maisha ya upweke yana faida gani huku bongo fursa nyingi?
Naona kazi kuendelea kuandika.
Nendeni mkale bata huko ulaya .
Utakuwa chawa au kupe wa CCM.Hii mada inawahusu ma expert na wale wrnzangu na Mimi, Yaani wale ambao hawana elimu au elimu yako sio dili katika soko la ajira ulimwenguni.
Tanzania ukilipwa mshahara hata millioni Moja na nusu unainjoi kuliko anayelipwa mamilioni huko nje.
South Africa vijana wa kitanzania wanakufa kama nzi.
Huko nje utabaguliwa sana, na maisha ya upweke yana faida gani huku bongo fursa nyingi?
Naona kazi kuendelea kuandika.
Nendeni mkale bata huko ulaya .
huko huko Germany Kuna waliotoboa, wanaishi vizuri na home wame invest. Mbona huwataji hao? Kama mifano ya kuigwa? Kuna wengine nawajua hapo hapo Germany especially wakenya….wengine wameenda kama house girls..leo wamejiendeleza wana taaluma nzuri tuu. Some of them ni madaktari. I know them.Mimi nipo Ujerumani ninakubaliana na wewe lakini kwa asilimia 50. Ni vizuri kuja nje na ni vizuri zaidi kama umekuja kusoma na kufanya kazi. Lakini ushauri wangu ni kuwa usibweteke ukafocus kwenye kuhamia nje moja kwa moja. Fanya kazi, save hela then rudi nyumbani. Exposure ulioipata huku itakusaidia sana nyumbani, kuna watu wana miaka ishirini Ujerumani lakini hawana nyumba wala investement yoyote. Yaani mtu anaona aibu kurudi nyumbani. Lakini waliorudi nyumbani wamepiga hatua kubwa sana. Nje ukikaa sana ufanye kazi miaka mitano maximum excluding miaka ya kusoma.
Kimbia kabisa mkuu.Ukiwa Tanzania, hauna tofauti na kuwa shimoni.
Mimi mwenyewe nipo kwenye mipango ya kujilipua nje. Wewe huoni watu wanakufa baharini kwasababu ya kwenda kwenye nchi ya mabeberu?
Ubaguzi inategemeana na unachokifanya kule nje, Muafrika ukifanya mambo ya kuwashangaza wazungu, hutabaguliwa, watakuheshimu ila kinafiki.Hii mada inawahusu ma expert na wale wrnzangu na Mimi, Yaani wale ambao hawana elimu au elimu yako sio dili katika soko la ajira ulimwenguni.
Tanzania ukilipwa mshahara hata millioni Moja na nusu unainjoi kuliko anayelipwa mamilioni huko nje.
South Africa vijana wa kitanzania wanakufa kama nzi.
Huko nje utabaguliwa sana, na maisha ya upweke yana faida gani huku bongo fursa nyingi?
Naona kazi kuendelea kuandika.
Nendeni mkale bata huko ulaya .
Mimi soon najilipua kujaribu maisha nje, Tanzania ndo nchi pekee duniani mwenye digrii hana tofauti na WA darasa la saba.Hii mada inawahusu ma expert na wale wrnzangu na Mimi, Yaani wale ambao hawana elimu au elimu yako sio dili katika soko la ajira ulimwenguni.
Tanzania ukilipwa mshahara hata millioni Moja na nusu unainjoi kuliko anayelipwa mamilioni huko nje.
South Africa vijana wa kitanzania wanakufa kama nzi.
Huko nje utabaguliwa sana, na maisha ya upweke yana faida gani huku bongo fursa nyingi?
Naona kazi kuendelea kuandika.
Nendeni mkale bata huko ulaya .