Mtanzania usijiroge kwenda kutafuta maisha nje ya nchi. Tanzania kuna maisha yote

Mtanzania usijiroge kwenda kutafuta maisha nje ya nchi. Tanzania kuna maisha yote

Hii mada inawahusu ma expert na wale wrnzangu na Mimi, Yaani wale ambao hawana elimu au elimu yako sio dili katika soko la ajira ulimwenguni.

Tanzania ukilipwa mshahara hata millioni Moja na nusu unainjoi kuliko anayelipwa mamilioni huko nje.

South Africa vijana wa kitanzania wanakufa kama nzi.

Huko nje utabaguliwa sana, na maisha ya upweke yana faida gani huku bongo fursa nyingi?

Naona kazi kuendelea kuandika.

Nendeni mkale bata huko ulaya .
Haya ni maamuzi ya mtu binafsi. Hata zamani wazee wengi walikuwa wanaambia vijana wasiende mjini kwani kuna maisha ya tabu lakini siku hizi huo msemo huusikii tena.
 
...unataka wengine tusifike ulaya[emoji23] muishie kwenda ulaya nyie tu? ... Ukienda kichwa kichwa kwel inakula kwako...
 
Sera mbovu hizi ndio zinahatarisha hata usalama wa mtu kurudi nyumbani kuishi.

Ndio maana wengi wakienda Ughaibuni hawarudi.
Hawarudi sababu ya different cultures ukizoea sana mambo ya Nje labda ukija huku njoo kula pesa yako na sio kuwekeza Watanzania wa sasa sio wa zamani Sound nyingi na uongo mwingi na wala hawajali muda na hawapo serious kwahio ukishazoea life ya nje ukija huku utaona watu wanakuzingua..., labda kama unakuja kula bata na sio kutafuta pesa
 
Hii mada inawahusu ma expert na wale wrnzangu na Mimi, Yaani wale ambao hawana elimu au elimu yako sio dili katika soko la ajira ulimwenguni.

Tanzania ukilipwa mshahara hata millioni Moja na nusu unainjoi kuliko anayelipwa mamilioni huko nje.

South Africa vijana wa kitanzania wanakufa kama nzi.

Huko nje utabaguliwa sana, na maisha ya upweke yana faida gani huku bongo fursa nyingi?

Naona kazi kuendelea kuandika.

Nendeni mkale bata huko ulaya .
Elimu yako ni ya ngazi ipi mkuu ?
 
Hii mada inawahusu ma expert na wale wrnzangu na Mimi, Yaani wale ambao hawana elimu au elimu yako sio dili katika soko la ajira ulimwenguni.

Tanzania ukilipwa mshahara hata millioni Moja na nusu unainjoi kuliko anayelipwa mamilioni huko nje.

South Africa vijana wa kitanzania wanakufa kama nzi.

Huko nje utabaguliwa sana, na maisha ya upweke yana faida gani huku bongo fursa nyingi?

Naona kazi kuendelea kuandika.

Nendeni mkale bata huko ulaya .
Mkuu npo Dodoma nataka kwenda Goma huko vp life
 
Wewe ndio laana. Pumbv!
Unajibu kwa mihemko tu.

Huna exposure yeyote ndio maana una povu.

Tembea duniani wewe, You are not a tree.

Haya ndio madhara ya kuishi Tanzania yenye laana, muda mrefu, unakuwa na hasira hovyo...😂😂😂

Umeme shida, maji shida,hela huna,life kitaa gumu, serikali wezi,kodi unalipa na bado maendeleo ya tabu.

Uta acha kulaanika kweli?

Life la Tanzania lime kuchapa haswa 🤣🤣🤣
 
Hii mada inawahusu ma expert na wale wrnzangu na Mimi, Yaani wale ambao hawana elimu au elimu yako sio dili katika soko la ajira ulimwenguni.

Tanzania ukilipwa mshahara hata millioni Moja na nusu unainjoi kuliko anayelipwa mamilioni huko nje.

South Africa vijana wa kitanzania wanakufa kama nzi.

Huko nje utabaguliwa sana, na maisha ya upweke yana faida gani huku bongo fursa nyingi?

Naona kazi kuendelea kuandika.

Nendeni mkale bata huko ulaya .
Ukiwa Tanzania, hauna tofauti na kuwa shimoni.
Mimi mwenyewe nipo kwenye mipango ya kujilipua nje. Wewe huoni watu wanakufa baharini kwasababu ya kwenda kwenye nchi ya mabeberu?
 
Mimi kiu yangu siku zote ni kupata friends toka mataifa around hapa hapa Africa. Sijui nawezaje fanikiwa katika hili.
 
Hii mada inawahusu ma expert na wale wrnzangu na Mimi, Yaani wale ambao hawana elimu au elimu yako sio dili katika soko la ajira ulimwenguni.

Tanzania ukilipwa mshahara hata millioni Moja na nusu unainjoi kuliko anayelipwa mamilioni huko nje.

South Africa vijana wa kitanzania wanakufa kama nzi.

Huko nje utabaguliwa sana, na maisha ya upweke yana faida gani huku bongo fursa nyingi?

Naona kazi kuendelea kuandika.

Nendeni mkale bata huko ulaya .
Utakuwa chawa au kupe wa CCM.
 
Mimi nipo Ujerumani ninakubaliana na wewe lakini kwa asilimia 50. Ni vizuri kuja nje na ni vizuri zaidi kama umekuja kusoma na kufanya kazi. Lakini ushauri wangu ni kuwa usibweteke ukafocus kwenye kuhamia nje moja kwa moja. Fanya kazi, save hela then rudi nyumbani. Exposure ulioipata huku itakusaidia sana nyumbani, kuna watu wana miaka ishirini Ujerumani lakini hawana nyumba wala investement yoyote. Yaani mtu anaona aibu kurudi nyumbani. Lakini waliorudi nyumbani wamepiga hatua kubwa sana. Nje ukikaa sana ufanye kazi miaka mitano maximum excluding miaka ya kusoma.
huko huko Germany Kuna waliotoboa, wanaishi vizuri na home wame invest. Mbona huwataji hao? Kama mifano ya kuigwa? Kuna wengine nawajua hapo hapo Germany especially wakenya….wengine wameenda kama house girls..leo wamejiendeleza wana taaluma nzuri tuu. Some of them ni madaktari. I know them.
Watanzania tuache negativity. Kuishi nje siyo lelemama. Lazima ukomae kweli kweli. Kama ni kilimo..ni kile cha Nyerere cha kufa na kupona!

Na fursa ya kuishi Ulaya, better was expected from you. But wapi!
 
Hii mada inawahusu ma expert na wale wrnzangu na Mimi, Yaani wale ambao hawana elimu au elimu yako sio dili katika soko la ajira ulimwenguni.

Tanzania ukilipwa mshahara hata millioni Moja na nusu unainjoi kuliko anayelipwa mamilioni huko nje.

South Africa vijana wa kitanzania wanakufa kama nzi.

Huko nje utabaguliwa sana, na maisha ya upweke yana faida gani huku bongo fursa nyingi?

Naona kazi kuendelea kuandika.

Nendeni mkale bata huko ulaya .
Ubaguzi inategemeana na unachokifanya kule nje, Muafrika ukifanya mambo ya kuwashangaza wazungu, hutabaguliwa, watakuheshimu ila kinafiki.
 
Hii mada inawahusu ma expert na wale wrnzangu na Mimi, Yaani wale ambao hawana elimu au elimu yako sio dili katika soko la ajira ulimwenguni.

Tanzania ukilipwa mshahara hata millioni Moja na nusu unainjoi kuliko anayelipwa mamilioni huko nje.

South Africa vijana wa kitanzania wanakufa kama nzi.

Huko nje utabaguliwa sana, na maisha ya upweke yana faida gani huku bongo fursa nyingi?

Naona kazi kuendelea kuandika.

Nendeni mkale bata huko ulaya .
Mimi soon najilipua kujaribu maisha nje, Tanzania ndo nchi pekee duniani mwenye digrii hana tofauti na WA darasa la saba.
 
mimi bwana shida yangu kubwa ni hivi videmu vya kibongo aisee.
Ugali majani ya maboga, kisamvu, mchicha nk
 
Back
Top Bottom