Mtanzania, wekeza na kufanya biashara Comoro

Mtanzania, wekeza na kufanya biashara Comoro

Fursa za Biashara ziliopo Moroni nchini Comoro

Hivi karibuni nilifanya ziara ya kwenda nchini Comoro kufanya visual assessment ya fursa ziliopo kule lakini vile vile kuzungumza na wafanyabiashara wanaokuja Tanzania kununua bidhaa na kufanya biashara nchini.
Ushuru ukoje na njia ya kufika huko ni ipi? Ndege au meli na inagharimu kiasi gani?
 
Fursa za Biashara ziliopo Moroni nchini Comoro

Hivi karibuni nilifanya ziara ya kwenda nchini Comoro kufanya visual assessment ya fursa ziliopo kule lakini vile vile kuzungumza na wafanyabiashara wanaokuja Tanzania kununua bidhaa na kufanya biashara nchini.
Kwa idadi ya watu takriban laki nane,(800,000)sione fursa ya midium bussiness structure.

hiyo market base ni ndogo sana labda kazi za umachinga, na wajasiliamali wa dogo wadogo wenye mtaji ($500 -$10,000 )Tz kuna fursa mara kumi kuliko Comoros na hazija fanyiwa kazi, matharani Mkoa wa Geita tu kuna watu zaidi 1.5m, kuna kila aina ya fursa, ma dini, kilimo uvuvi, usafirishaji mighahawa hotel elimu nk, na mzunguko wa pesa uko juu sanaa.

Na kùna mikoa mingine hapa Tz yenye fursa kuliko au kuzidi. Geita kuna Fursa kuliki Comoros, Tz mungu alitupa kila kitu ila katunyima maarifa na viongozi bora tu. Niende comoros kufanya nini? Niache Market structure ya watu 60m. nikibilie laki nane hiyo ni economic madness.

Wale ambao hawajawahi kufanya biashara nje ya nchi mni samehe bure huenda hamjui usumbufu kufanya biashara kwenye nchi za watu.
 
Biashara ya comoro ina wenyewe pale bandarini...........

Kwanza kabisa wacomoro hawafanyi biashara na mtu tofauti na mcomoro mwenzao so wapo wacomoro kibao mjini hapa ndio wanaosafirisha bidhaa huko kwao sijaona mbongo pale bandarini
 
Kuna uhitaji mkubwa wa mbao( hardwoord na softwood) pia cement, Nondo, kwa sasa Pia mchele wa Tanzania unatakiwa sana
 
Kwa sasa hakuna Ng’ombe kabisa na matokeo yake hakuna nyama ya Ng’ombe Mji wote wa Moroni. Mayai na vinywaji Kama juice za Azam hasa energy zinahitajika sana pia maji ya kunywa pia zina uhitaji mkubwa
 
Watu wasikurupuke kule comoro kuna changamoto za usalama wa watu na mali pia!!! Si huko ndiko hivi karibuni ofisi zilivunjwa na ATCL ikapoteza mamiloni ya fedha?
Ni hukohuko mkuu.
 
Nineiona fursa ya udalali hapo, kwa sababu wengi tupo gizani wanatakiwa madali wa unganishe wafanyabiashara wa huku na comoro, atapigs pesa sana.
 
Wakenya na wanaijeria wakiona huu uzi watakazana sana huko.

Nasikitika sababu sisi tutaenda wakati nafasi zimeisha,watu wasioenda na muda au wazee wa kulalamika.

Mleta mada hongera sana
Wale hawahitaji kuambiwa au kusoma sehemu kama hapa. Kama fursa zipo basi walishakuwepo. Na nakukuhakikishia kama hawapo basi siyo sehemu nzuri. Sehemu yenye wakazi around laki nane mzunguko wake wa fedha siyo mkubwa sana hasa kwa nchi za dunia ya tatu.
 
Kwa idadi ya watu takriban laki nane,(800,000)sione fursa ya midium bussiness structure.

hiyo market base ni ndogo sana labda kazi za umachinga, na wajasiliamali wa dogo wadogo wenye mtaji ($500 -$10,000 )Tz kuna fursa mara kumi kuliko Comoros na hazija fanyiwa kazi, matharani Mkoa wa Geita tu kuna watu zaidi 1.5m, kuna kila aina ya fursa, ma dini, kilimo uvuvi, usafirishaji mighahawa hotel elimu nk, na mzunguko wa pesa uko juu sanaa. Na kùna mikoa mingine hapa Tz yenye fursa kuliko au kuzidi. Geita kuna Fursa kuliki Comoros, Tz mungu alitupa kila kitu ila katunyima maarifa na viongozi bora tu. Niende comoros kufanya nini? Niache Market structure ya watu 60m. nikibilie laki nane hiyo ni economic madness.
Wale ambao hawajawahi kufanya biashara nje ya nchi mni samehe bure huenda hamjui usumbufu kufanya biashara kwenye nchi za watu.
Absolutely true , unajua watu wengi wanapenda muhemuko wa kifra. Kuwekeza inaitaji utulivu wa kutosha na siyo emotional issue.

Kwa hapa Tz tuna fursa kibao
 
Wakenya na wanaijeria wakiona huu uzi watakazana sana huko.

Nasikitika sababu sisi tutaenda wakati nafasi zimeisha,watu wasioenda na muda au wazee wa kulalamika.

Mleta mada hongera sana
Sasa si utangulie mkuu, shida iko wapi
 
Back
Top Bottom