Mtanzania, wekeza na kufanya biashara Comoro

Ni kweli ila cha muhimu chukua changamoto za watu zigeuze fursa utaona matokea ila population sio tatizo ikitegemea unawekeza nn
 
Wewe kuna yoyote unayoifanya katika hizo?
 
Mkuu Buji buji huu uzi niliwahi kuuleta May 28 mwaka 2018 Atleast unge acknowledge hata kama ulienda hoja zangu zote umepita nazo kama zilivyo.
Link hii hapa.
 
Usipokuwa ndezi utatoboa, kule kutapeliwa ni swala la kawaida sana. Wengi waliokurupuka, walifirisika.
mm ni miongini mwa waliopoteza pesa zao huko..... my dears msikimbilie tu fursa izo.... Fanyeni kwanza uchanganuzi.... kupoteza pesa yako n very easy kule.......
 
Asante sana kwa uzi huu, umetupa mwanga wa fursa. Kuna haja ya kuangazia fursa hizi.!
 
mm ni miongini mwa waliopoteza pesa zao huko..... my dears msikimbilie tu fursa izo.... Fanyeni kwanza uchanganuzi.... kupoteza pesa yako n very easy kule.......
Sure, ilikuwaje mkuu
 
πŸ€”πŸ€—
 
Watu wasikurupuke kule comoro kuna changamoto za usalama wa watu na mali pia!!! Si huko ndiko hivi karibuni ofisi zilivunjwa na ATCL ikapoteza mamiloni ya fedha?
Oooooops, isn't it? Mbona hakuna amani tena
 
Pesa yao nyingi inatoka nchi za ulaya,haswa ufaransa,wengi wao wanafanya Kazi uko,kisha wanawekeza kwenye nchi yao,waliobakia wanafanya biashara kwa sana,unaweza shusha Mzigo mahali usipate ata vijana wabebaji,deiwaka ,kama bongo
Sasa wanawekeza kwenye nini kama hata garage hakuna wala hotel za kisasa? Au nao wanawekeza kununuwa majini.
 
mm ni miongini mwa waliopoteza pesa zao huko..... my dears msikimbilie tu fursa izo.... Fanyeni kwanza uchanganuzi.... kupoteza pesa yako n very easy kule.......
Mkuu tuelezee kiundani pesa zako ulipoteza kwenye mazingira gani au ulipoteza kivipi au kwa staili gani?
 
Kumbe buji buji kajifunguia geto kwake mburahati amepest uzi [emoji16]

Sent from my SM-G998B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…