Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 96
Tapika tu. Halafu ukimaliza uje utuweke sawa maana inaelekea unamjua vizuri mhusika! Utufahamishe kashitakiwa kwa kosa gani? Dhamana ilikuwa kiasi gani? Hii itasaidia kuliko kulalama tu! Huyu aliyoiweka hii habari aliileta kwa lengo la kuomba msaada kutoka kwa jamii ya watanzania. Hili nalo unaona kosa?
Mimi siyo cnn mpaka nije nikupe details zake hapa then itakusaidia nini?.utatoa nusu ya hiyo bond yake au?....ooh well nimeshatapika na bado unanitia kichefuchefu