Mama pretty
JF-Expert Member
- May 1, 2020
- 2,082
- 4,103
Kheer makubwa.. kumbe yanga ni bendi ya muziki? Hakuna kitu hapo amekiuka adhabu yake full stop!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza issue hiyo haina utata wowoteHuyu jamaa ni genius sana halafu si kala bachelor degree ya sheria juzijuzi tu? hii nchi ina wasomi wakali sana wa sheria
View attachment 2316817
Huyu jamaa ni genius sana halafu si kala bachelor degree ya sheria juzijuzi tu? hii nchi ina wasomi wakali sana wa sheria
View attachment 2316817
Usiwe mbishi, ni any related activities, sasa usichoelewa hapo kitu Gani? Au Jana pale walikua wanatambika?Kutambulisha wachezaji siyo shughuli ya soka Uwe mwelewa. Ile ni kama sendoff tu na siyo harusi. Kwani Mario angevua nguo pale jukwaani angeshitakiwa na TFF? Mbona Mtibwa hawajatabulisha wachezaji kama Yanga na Simba, kuna kanuni wamevunja?
Sports club na siyo football clubWachezaji waliotambulishwa na haji pale jana ni wa mchezo gani??
Ngumi? Riadha?Tennis?? Basket? Au hebu nisaidie??
Na tamasha lile lilikua la team ya mchezo upi? Na lilihusisha nn jana, nipe ufahamu nataka kuelewa.
Acha uongo wewe uwakili kaupata mwaka huu hizo kesi atakua alikua anashinda chumbani kwake.Mtatiro ni mwanasheria nguli,uwa ashindwi kesi uyo mkurya, ndie mwanasheria anaeongoza kwa kushinda kesi nyingi Africa nzima,anajua sheria mpaka mataifa ya nje uwa yanamtumia kushinda kesi zao, yaani kwa kifupi sio kanjanja na hana njaa,hata icho cheo chake cha mkuu wa wilaya walifanya kumbembeleza mno alikuwa hataki kabisa,nchi hii ina ujinga sana
Umeshasema kutambulisha 'wachezaji' tayari unamaanisha ni shughuli ya kimpira sio kitchen party.Kutambulisha wachezaji siyo shughuli ya soka Uwe mwelewa. Ile ni kama sendoff tu na siyo harusi. Kwani Mario angevua nguo pale jukwaani angeshitakiwa na TFF? Mbona Mtibwa hawajatabulisha wachezaji kama Yanga na Simba, kuna kanuni wamevunja?
Huyu jamaa ni genius sana halafu si kala bachelor degree ya sheria juzijuzi tu? hii nchi ina wasomi wakali sana wa sheria
View attachment 2316817
Mtatiro huyu Mkuu wa Wilaya au Mtatiro mwingine?Huyu jamaa ni genius sana halafu si kala bachelor degree ya sheria juzijuzi tu? hii nchi ina wasomi wakali sana wa sheria
View attachment 2316817
Alikuwa anatambulisha akina Mandonga? Kwamba sio wanasoka?Kutambulisha wachezaji siyo shughuli ya soka Uwe mwelewa. Ile ni kama sendoff tu na siyo harusi. Kwani Mario angevua nguo pale jukwaani angeshitakiwa na TFF? Mbona Mtibwa hawajatabulisha wachezaji kama Yanga na Simba, kuna kanuni wamevunja?
Ndo akili zilipoishia?? Km huna majibu kaa kimya.Sports club na siyo football club
Kwanini kutazama mpira sio shughuli ya kisoka? Tusubiri wanasheria watufafanulie zaidi.Hukumu aliyo pewa haji ni kuto kujishughulisha na shughuli yoyote ya ki soka ... Bold hapo shughuli yoyote ya soka ,...shughuli iliyo kuwa inaendelea uwanja wa benjamin mkapa ni shughuli ya ki soka mwanzo mwisho
Unless angejitokeza tu kama mtazamaji, lkn kitendo cha ku tekeleza majukumu ni tayari umejishughulisha na shughuli ya soka hapo ni SPANA TU
Alitambulisha wachezaji wa kriketi au soka? Tuanzie hapoKutambulisha wachezaji siyo shughuli ya soka Uwe mwelewa. Ile ni kama sendoff tu na siyo harusi. Kwani Mario angevua nguo pale jukwaani angeshitakiwa na TFF? Mbona Mtibwa hawajatabulisha wachezaji kama Yanga na Simba, kuna kanuni wamevunja?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha uongo wewe uwakili kaupata mwaka huu hizo kesi atakua alikua anashinda chumbani kwake.