change formula
JF-Expert Member
- Sep 8, 2020
- 729
- 1,559
Ukitaka kumficha kitu mbongo tumia maandishi tu!!Acha uongo wewe uwakili kaupata mwaka huu hizo kesi atakua alikua anashinda chumbani kwake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukitaka kumficha kitu mbongo tumia maandishi tu!!Acha uongo wewe uwakili kaupata mwaka huu hizo kesi atakua alikua anashinda chumbani kwake.
Kipindi cha jiwe alikuwa anamponda sna jiwe kimachale mara ghafla akafuta post zote za kumponda jiwe kuuu kule instaMtatiro ni mwanasheria nguli,uwa ashindwi kesi uyo mkurya, ndie mwanasheria anaeongoza kwa kushinda kesi nyingi Africa nzima,anajua sheria mpaka mataifa ya nje uwa yanamtumia kushinda kesi zao, yaani kwa kifupi sio kanjanja na hana njaa,hata icho cheo chake cha mkuu wa wilaya walifanya kumbembeleza mno alikuwa hataki kabisa,nchi hii ina ujinga sana
Yanga imesajiliwa kama kampuni/club cha mpira. Yote yaliyofanyika jana yalikuwa chini ya mwanvuli huo wa usajili wa Yanga labda kama kuna usajiri wa aina nyingine.Huyu jamaa ni genius sana halafu si kala bachelor degree ya sheria juzijuzi tu? hii nchi ina wasomi wakali sana wa sheria
View attachment 2316817