Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Hili wala si jambo la kushtusha; mtu pekee mwenye kupanga malipo ya hawa Wabunge ni Rais Kikwete. Kama anaona wanastahili laki tatu kwa siku ndiyo hivyo wakimlilia vizuri anaweza kuwakumbuka zaidi...