Mtazame mzee Hassan Dalali baada ya kupata ajali ya bodaboda, Simba yatoa tamko

Mtazame mzee Hassan Dalali baada ya kupata ajali ya bodaboda, Simba yatoa tamko

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374
1646827138157.png


Uongozi wa Klabu ya Simba umetoa pole kwa aliyewahi kuwa mwenyekiti wa klabu hiyo Hassan Dalali kufuatia ajali aliyoipata Jumatatu Machi 7, 2022 jijini Dar es Salaam.

Dalali alianguka na Bodaboda aneo la Rangi Tatu njia ya kuingilia Chamanzi, polisi ndiyo waliomtambua baada ya kumfikisha kituoni, na baadaye alikimbizwa Hospitali ya Mbagala Zakiem.

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally ametoa pole na kumuombea kheri kiongozi huyo wa zamani.

Ahmed amesema walishutushwa na taarifa za ajali iliyomkuta Hassan Dalali, na wamekua bega kwa bega na familia ya mzee huyo ambaye bado ana mapenzi ya dhati ya klabu ya Simba SC.

“Tupo pamoja na familia ya Mzee Dalali katika kipindi hiki ambacho ni kigumu kwake, tunaamini Mungu atamuwezesha kuwa na afya njema na kurejea katika majukumu yake,” amesema Ahmed Ally.

Mzee Dalali, alipata ajali ya kuangushwa na Bodaboda kwenye korongo, akitokea Uwanja wa Benjamin Mkapa, kushuhudia timu yake ikicheza dhidi ya Dodoma Jiji, Jumatatu (Machi 09).

Source: Wasafi FM
 
Po
Pole sana Mzee wetu, Mungu akufanyie wepesi upone haraka
 
Pole yake Mzee wetu Dalali..Simba bado inakukumbuka.
 
Pole sana Mzee Dalali. Hivi ulipataje kwenye mitihani yako ya kidato cha nne?
 


Uongozi wa Klabu ya Simba umetoa pole kwa aliyewahi kuwa mwenyekiti wa klabu hiyo Hassan Dalali kufuatia ajali aliyoipata Jumatatu Machi 7, 2022 jijini Dar es Salaam.

Dalali alianguka na Bodaboda aneo la Rangi Tatu njia ya kuingilia Chamanzi, polisi ndiyo waliomtambua baada ya kumfikisha kituoni, na baadaye alikimbizwa Hospitali ya Mbagala Zakiem.

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally ametoa pole na kumuombea kheri kiongozi huyo wa zamani.

Ahmed amesema walishutushwa na taarifa za ajali iliyomkuta Hassan Dalali, na wamekua bega kwa bega na familia ya mzee huyo ambaye bado ana mapenzi ya dhati ya klabu ya Simba SC.

“Tupo pamoja na familia ya Mzee Dalali katika kipindi hiki ambacho ni kigumu kwake, tunaamini Mungu atamuwezesha kuwa na afya njema na kurejea katika majukumu yake,” amesema Ahmed Ally.

Mzee Dalali, alipata ajali ya kuangushwa na Bodaboda kwenye korongo, akitokea Uwanja wa Benjamin Mkapa, kushuhudia timu yake ikicheza dhidi ya Dodoma Jiji, Jumatatu (Machi 09).

Source: Wasafi FM
Duh Sasa itakuaje kuhusu ile Dua walio ifanyia yanga
 
mwenyekit mzima unapanda boda unawahi airport ?ugua pole Simba bwana na uongozi wake
 


Uongozi wa Klabu ya Simba umetoa pole kwa aliyewahi kuwa mwenyekiti wa klabu hiyo Hassan Dalali kufuatia ajali aliyoipata Jumatatu Machi 7, 2022 jijini Dar es Salaam.

Dalali alianguka na Bodaboda aneo la Rangi Tatu njia ya kuingilia Chamanzi, polisi ndiyo waliomtambua baada ya kumfikisha kituoni, na baadaye alikimbizwa Hospitali ya Mbagala Zakiem.

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally ametoa pole na kumuombea kheri kiongozi huyo wa zamani.

Ahmed amesema walishutushwa na taarifa za ajali iliyomkuta Hassan Dalali, na wamekua bega kwa bega na familia ya mzee huyo ambaye bado ana mapenzi ya dhati ya klabu ya Simba SC.

“Tupo pamoja na familia ya Mzee Dalali katika kipindi hiki ambacho ni kigumu kwake, tunaamini Mungu atamuwezesha kuwa na afya njema na kurejea katika majukumu yake,” amesema Ahmed Ally.

Mzee Dalali, alipata ajali ya kuangushwa na Bodaboda kwenye korongo, akitokea Uwanja wa Benjamin Mkapa, kushuhudia timu yake ikicheza dhidi ya Dodoma Jiji, Jumatatu (Machi 09).

Source: Wasafi FM
Hilo lilikuwa tego la Kanjbhai.
 
Huyu Mzee alikuwa kiongozi mzito wa Makolo,ina maana hana hata ka Porte au Passo mpaka apande Boda? Pole sana Mzee Dalali
 
Ndizo Faida za Ujanja Ujanja za UDHAMINI WA AZAM MEDIA dhidi ya LIGI YETU mechi zooooooooote muhimu USIKU matokeo yake tunakabwa, tunaibiwa simu, tunakosa usafiri, wa Moro wanakosa kuja Uwanjani nk nk
 
Back
Top Bottom