Inatia mpaka kinyaa!Mtoza tozo anatumia first class na akiwa barabarani anaving'ora.
Asubiri mkono utapoandika ukutani"mene mene tekeli na peresi"Mwigulu Nchemba ni chukizo mbele ya wanadamu na mbele ya Mungu pua
Yule lazima angechukua first classUnataka kusema angekuwa yule mchunga Ng'ombe hali ingekuwaje?
Au Private Jet!!Yule lazima angechukua first class
Ni laana kubwa kwa kila kizazi kilichoshuhudia kipindi cha uwaziri wake.Mwigulu Nchemba ni chukizo mbele ya wanadamu na mbele ya Mungu pua
Na angebeba familia yake yote.Yule lazima angechukua first class
Mi nadhani ccm yote ni chukizoMwigulu Nchemba ni chukizo mbele ya wanadamu na mbele ya Mungu pua