Mtazameni mgawa fedha mkubwa duniani anavyosafiri nchini mwake

Mtazameni mgawa fedha mkubwa duniani anavyosafiri nchini mwake

Si wqlikuja hapa Africa mkawafukuza kwa kukosa ufahamu.
Kukosa "Ufahamu" au Kuwa na Ufahamu.

Tutaendelea kuwafukuza tu, waje tufanye biashara, warudi kwao. Piriodi! Nukta!

Hata wewe usipojirekebisha tutakurudisha ulipotoka.

Aluta Continua
 
Wazungu wana take easy sana, hapo tozoman angekodi ndege nzima ili aonekane ni kigogo.
Watu wengine hudhani maisha mazuri ni kuishi kifahari kumbe sivyo kabisa !! Unaweza ukaishi kifahari lakini ukawa huna amani moyoni mwako. Huyo mama wa marekani anaonekana ni mwenye amani tele ndani ya moyo wake na ndani ya akili yake. Mentality tumejiaminisha kwamba maisha ya juu ndio maisha ya furaha kumbe ni sivyo kabisa kabisa!
 
Mtoza tozo anatumia first class na akiwa barabarani anaving'ora.
Kwa wanaoitaka furaha nawajulisha kwamba furaha huwa haiji kwa kuishi maisha ya kifahari bali furaha huja kwa kuishi Simple life. Amini usiamini lakini huo ndio UKWELI!
 
Watu wengine hudhani maisha mazuri ni kuishi kifahari kumbe sivyo kabisa !! Unaweza ukaishi kifahari lakini ukawa huna amani moyoni mwako. Huyo mama wa marekani anaonekana ni mwenye amani tele ndani ya moyo wake na ndani ya akili yake. Mentality tumejiaminisha kwamba maisha ya juu ndio maisha ya furaha kumbe ni sivyo kabisa kabisa!
Ukitaka kuwatumikia watu jishushe kwenye hadhi yao, hiki ndo Mwl. Nyerere alikihubiri na kukiishi ndo maana aliishi maisha ya kawaida sana, aliwapenda watanzania na watanzania walimpenda maana walimwona kama mwenzao, hadi tulikuwa tunaitana ndugu, lakini siku hizi tunaitana muheshimiwa.​
 
Ukitaka kuwatumikia watu jishushe kwenye hadhi yao, hiki ndo Mwl. Nyerere alikihubiri na kukiishi ndo maana aliishi maisha ya kawaida sana, aliwapenda watanzania na watanzania walimpenda maana walimwona kama mwenzao, hadi tulikuwa tunaitana ndugu, lakini siku hizi tunaitana muheshimiwa.​
Kweli kabisa !!
 
Yote hiyo ni kutafuta peace of mind! Lakini wapiiii !! Peace of mind mtu hupewa na Mungu kama mtu huyo anafanya yanayompendeza Mungu !! Na si vinginevyo !! Na yanayompendeza Mungu sio kuhudhuria nyumba za ibada pekee na kutoa sadaka ! Hapana kwanza kabisa ni lazima uwe muadilifu na ujishushe !!
 
Sio kila jambo lazima na huku kwetu wafanye, huyo huyo akiwaambia wanaume muoane mnakataa na kumuona kichaa
Ndio maana tunatakiwa tuige vitu vizuri kwa mustakabali wa maisha yetu haitoshi kuiga kuvaa suti na tai pekee !!! Na kula kwa kutumia vijiko na uma tujifunze kuishi maisha ya kawaida hata kama una wadhifa mkubwa maana huo wadhifa haupndoi ukweli kwamba wewe ni binadamu tu kama binadamu wengine !!!
 
Back
Top Bottom