#COVID19 Mtazamo hasi juu ya chanjo ya Korona ni matokeo ya kivuli cha Hayati Magufuli kinachoishi

Nisahihi kabisa. Serikali navyama vyasiasa inajambo kubwa lakujifunza kupitia hili.

Watakiwa kuwa makini Sana kwenye kuwapa watu waaina ya magu na kinagwaijima nafasi Kamaza urais ubunge au udiwani. Watu waaina hii wanaweza kuleta madhara makubwa sana kwenye jamii naserikali.

Hakuna dawa au chanjo ambayo ina zero side effects, hata dawa za uzazi wampango zinamadhara yake lakin kma nchi tutaamua kutofata mambo yauzazi wa mpango madhara yatakua nimakubwa zaid. Aina hii ya watu wanaweza kuliasababishia taifa madahara makubwa kwa muda mrefu sana
 
Kama tunavyoshukuru gaidi kukaa mahabusu.

Inatakiwa mkafanyie party kabisa hapo ikulu chini ya Mama wa kambo, lakini hadi tunayozungumza dhalimu yuko motoni.
 
Inatakiwa mkafanyie party kabisa hapo ikulu chini ya Mama wa kambo, lakini hadi tunayozungumza dhalimu yuko motoni.
Yuko motoni halafu mnaoteseka ni nyinyi nyumbu.
 
Huyu hapa daktari bingwa mwenye CV ya kueleweka na yeye alilishwa sumu na JPM?? Timu chanjo inaweweseka!! Imeishiwa hoja!! Zaidi ya asilimia 50 ya wamarekani wamegomea chanjo ya aina yoyote, mpaka Biden amelazimika kuahidi hongo ya dola 100 kwa kila atakayekubali kuchanjwa, hao nao walilishwa sumu na JPM??
 
Yuko motoni halafu mnaoteseka ni nyinyi nyumbu.
Tuteseke kwani tulikuwa tunamtegemea? Nyie mliokuwa kwenye kundi lake la watu wasiojulikana ndio mnalazimisha kumsafisha yule dhalimu.
 
Aisee local contents unachanganya na international contents!? Una tabu pahala

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Inatakiwa majibu ya kitaalamu ili kuwaondoa watu shaka, na hii ni Dunia nzima.
 
Ilikuvusha ww uliyekuwa hai, lakini iliua watu kadhaa kama ifanyavyo sasa. Kilichofanyika kipindi cha utawala wa yule mtu muovu ni kuficha data fullstop.
Tupe data za jana basi angalau tujue trend.Chuki zenu kwa Magufuli zitawatafuna sana.RIP Nabii
 
Biashara ya chanjo Tanzania imebuma!! Kwa tahadhari tu, cha Biden hakiliwi bure! Mjipange mtakavyotapika hicho kitu kidogo!! Anatunguaga kwa drone huyo, ohoo!!!!
 

we shoga issue ya chanjo kukataa, kusita, kuuliza ni dunia nzima
 
Teknolojia ya mRNA iliyotumika kutengeneza chanjo ndo yenye utata hasa ukizingatia madhara yaliyokwisha jitokeza na ambayo yanatarajiwa katika muda wa angalau miaka 10 ijayo, hii imesababisha hata chanjo zinazotumia teknolojia tofauti kama Sputnvik ya urusi na Sinovac ya china nazo kutiliwa mashaka.....tangu historia ya chanjo duniani, hii ya covid-19 imetiliwa mashaka sana kutoana na aina ya teknolojia ya kuingiza vinasaba kwenye mwili wa binadamu ili vitumike kutengeneza vichocheo vya kinga ya mwili jambo ambalo linaonekana kama kujaribu kuingilia maumbile asili ya binadamu (genetic manipulations) na jinsi mwili unavyotakiwa kutambua chembe chembe za virusi vya magonjwa na kuvitofautisha na seli za mwili wa binadamu......
 
Imefikia watoto shuleni wakiona gari la msalaba mwekundu wanaruka kutokea madirishani hi ni hatari.
 
Ilikuvusha ww uliyekuwa hai, lakini iliua watu kadhaa kama ifanyavyo sasa. Kilichofanyika kipindi cha utawala wa yule mtu muovu ni kuficha data fullstop.
Kuficha data au laa ukiacha ushabiki wa kisiasa na chuki binafsi utaelewa ninachokielezea. Kwa msongamano wa kwenye madaladala, sokoni. Mashuleni bila kinga wala tahadhari ukilinganisha na idadi ya vifo utakuwa hujielewi kutambua kuwa herd immunity ndio iliyotuvusha.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
BIOLOGY TEST.

Jibu swali lifuatalo

1. Ukipata chanjo unaweza kupata corona? = Ndiyo

2. Ukipata chanjo unaweza pia kufa kwa corona? = Ndiyo

3. Ukipata chanjo unaweza kutembea bila barakoa? = Hapana

SWALI:
Kwanini upate chanjo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…