Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 8,015
- 10,269
Kwahiyo wanaopinga huko Marekani na Ulaya wooote Magufuli aliwapandikiza ushawishi wake? Basi ana akili zaidi.Wewe ndo umenena sahihi,maana watu wengi wanakzana kuwaona watanzania wabishi au akili wamekopesha kumbe shida ni serikali iliyopita,hata baadhi ya viongozi walioko sasa na wenyewe walikuwa na msimamo huo huo,leo tunalaumu watu haiwezekani