Mtazamo: Hivi kwanini mtoto huyu anafanana sana na Ivan?

Mtazamo: Hivi kwanini mtoto huyu anafanana sana na Ivan?

DNA ZIPO...DOGO AKAPIME....MSITUMIE MATE ANGEKUWA KASHACHOMOKA MAPEMa...Dogo mwenyewe ni player
 
Nyie Baba Zenu Mnawajua? Mnauhakika Mmefanana Na Baba Zenu? Kwan Watoto Wenu Wote Mmefanana Nao? Hao Ambao Hamna Uhakika Km Mmefanana, Je Mshawah Kwenda Pima DNA? Au Mnajifurahsha Kwa Kumdhalilisha Huyo Mtoto Hapo?
 
Pumzika kwa amani Bro Ivan ila nimepata kujiuliza maswali mengi inakuwaje mtoto huyu wa Diamond kila anavyozidi kukua anakuwa kama analeta picha ya Ivan?
fb8e67dd123c12dabb906346c1ff17bf.jpg
Mkuu ikipita miaka miwili na Mond bado hajapiga mimba nyingine na kwa jins yule mganda anavyopenda kuzaa tutajua kuwa jamaa alikuwa anasaidiwa tu marehemu aliyefia South Africa, msiba wakaomboleza Bongo na mazishi kufanyika kule Uganda (R.I.P) Ivan
 
Hakuna kitu rahisi kama kum.tia mke uliezaa nae watoto watatu...hata kama ameolewa wp
 
uchochezi haujawahi kumuacha mtu salama....hayo ni mambo ya genetics kuyajibu yanahitaji umakini mkubwa....
 
baba ake

hapo ndipo utajua diamond hakai na yule mama kwa mapenzi, nahisi katika baadhi ya mambo zari ana shea
 
Binadamu wote ni sawa
Mwacheni mtoto afanane jamani si baba wa kaka zake huyo?.
Halafu haya mambo ya watoto sio ya kufuatilia sana yanatia presha ati bora kujinyamaziaga tu.
Anaejua baba wa mtoto ni mama pekee.
Wengine tunachangia humu huku moyoni tunawaza wale tuliowaacha home ni wetu kweli?
Basi tu kitanda hakizai haramu tunaleaga tu itajulikana mbinguni

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna ubaya gani akifanana na baba yake? Ivan ndio baba yake. Hata picha huoni?
 
Back
Top Bottom