Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
YATAKAYOJIRI HOTUBA YA JK KESHO
Sehemu ya I
Hali ya taharauki imetanda Dodoma. Wabunge wakitishiwa kwa kamera 13 ndani ya ukumbi na viongozi 4 wa kundi linalompinga Sitta kukiuka taratibu wamehojiwa na vyombo vya usalma.
Tishia ya kamera imewalenga wana CCM ili kupunguza nguvu ya wapinzani.
Usalama wa taifa ni kutishia wabunge.
Hakuna sheria inayoweza kumtia hatiani yoyote atakayezomea au kupiga kelele
Mkakati uliotumika ni mbovu sana. Badala ya kulifanya Jambo liwe dogo akina Sitta na Usalama wa taifa wameliwekea hamira . Wananchi wa kawaida watachunguza kila kitu na hapo wanazidi kumu expose Rais .
TARATIBU KUKIUKWA
Kukiukwa ka taratibu kulilenga kutoa nafasi kwa Rais kupitia hoja za Warioba na kuja na counter attack. Ni mkakati mbaya unaomweka Rais katika wakati mgumu kuliko ilivyotarajiwa. Kikwete anakwenda Dodoma kama Rais wan chi, siyo mwenyekiti wa chama.
Kazi yake ni kuzindua bunge si kujadili agenda za bunge.
Alichopaswa kufanya ni kuzindua bunge ambapo nafasi yake ingekuwa kubwa sana kusikilizwa kama Rais tofauti na ilivyo sasa anapoonekana kama mpizani wa Warioba
Kwasasa nafasi yake ni kumjibu Warioba ili kukidhi mkakati aliopangiwa na wasaidizi na wale wa bunge (anakuwa mpinzani), huku akitakiwa kuchukua nafasi ya Urais kwa To strike the balance ni kitu kigumu na siyo sifa ya uongozi au kiongozi.
CHANGAMOTO ZINAZOMKABILI KIKWETE
Kikwete anakwenda Dodoma akikabiliwa na changamoto nyingi.
Sehemu ya I
Hali ya taharauki imetanda Dodoma. Wabunge wakitishiwa kwa kamera 13 ndani ya ukumbi na viongozi 4 wa kundi linalompinga Sitta kukiuka taratibu wamehojiwa na vyombo vya usalma.
Tishia ya kamera imewalenga wana CCM ili kupunguza nguvu ya wapinzani.
Usalama wa taifa ni kutishia wabunge.
Hakuna sheria inayoweza kumtia hatiani yoyote atakayezomea au kupiga kelele
Mkakati uliotumika ni mbovu sana. Badala ya kulifanya Jambo liwe dogo akina Sitta na Usalama wa taifa wameliwekea hamira . Wananchi wa kawaida watachunguza kila kitu na hapo wanazidi kumu expose Rais .
TARATIBU KUKIUKWA
Kukiukwa ka taratibu kulilenga kutoa nafasi kwa Rais kupitia hoja za Warioba na kuja na counter attack. Ni mkakati mbaya unaomweka Rais katika wakati mgumu kuliko ilivyotarajiwa. Kikwete anakwenda Dodoma kama Rais wan chi, siyo mwenyekiti wa chama.
Kazi yake ni kuzindua bunge si kujadili agenda za bunge.
Alichopaswa kufanya ni kuzindua bunge ambapo nafasi yake ingekuwa kubwa sana kusikilizwa kama Rais tofauti na ilivyo sasa anapoonekana kama mpizani wa Warioba
Kwasasa nafasi yake ni kumjibu Warioba ili kukidhi mkakati aliopangiwa na wasaidizi na wale wa bunge (anakuwa mpinzani), huku akitakiwa kuchukua nafasi ya Urais kwa To strike the balance ni kitu kigumu na siyo sifa ya uongozi au kiongozi.
CHANGAMOTO ZINAZOMKABILI KIKWETE
Kikwete anakwenda Dodoma akikabiliwa na changamoto nyingi.
- Kwenda kuthibitishia umma kuwa alikuwa na nia njema na mchakato(Rais)
- Kwenda akitakiwa kuwaridhisha wahafidhina wa CCM wasiotaka mabadiliko
- Kwenda akitakiwa kukabiliana na CCM wanaotaka mweleko mpya wa nchi
- Kuzuia kuparaganyika kwa CCM ya mivutano ya Warioba Vs wahafidhina
- Kukabaliana na wazanzibar waliogawanyika kwa siri na kwa wazi
- Kuwashawishi wazanzbar kuhusu chanzo cha matatizo waliyosababisha
- Kukabiliana na wabunge huru wanaoitakia mema nchi hii
- Kukabiliana na hoja za tume ya Warioba ili kuzuia mabadiliko
- Kuepusha kuvunjika kwa muungano nusu uliobaki mikononi mwake
- Kuwaleta wabunge wote kwa ajili ya muafaka wa kitaifa.