Mtazamo: Kuhusu MCC kusitisha msaada wa MCC 2 na shughuli zake Tanzania

Mtazamo: Kuhusu MCC kusitisha msaada wa MCC 2 na shughuli zake Tanzania

Polepole ndugu yangu hata mie ni CCM kama wewe, lakini ukweli suala la ukandamizaji wa demokrasia Zanzibar ni suala ambalo ni gumu sana kulitetea kwa kutumia akili timamu, let us be honest! utazunguka kote huko! na ni ujinga kudhani kuwa MCC haitaharibu uhusiano wetu na USA
Mkuu kasingo nakupongeza kwa kuwa mkweli kwenye jambo la kitaifa,hongera
 
Nimemdharau sana polepole kweli njaa ya akili ni mbaya sana kuliko njaa zote , hawa ndio wale wenye elimu wanaotubu, tatizo ni ajira mpaka uwezo wa kichwa unapotea -
 
Hoja ya kujaribu kujitegemea ni nzuri na ina mashiko.

Lakini katika upande mwingine wa shilingi tumenyimwa hii fedha kwa sababu zetu wenyewe.Ni watanzania wachache wanaoamini kuwa uchaguzi wa Jecha ulikuwa wa huru na haki.Kwa nchi changa za Afrika kama kutakuwa hakuna chombo kingine cha nje ambacho kitakuwa kinatutupia macho basi demokrosia yetu itaendelea kubakwa sana.Angalia Tanzania, Uganda, Burundi, Rwanda nk.
 
Well said brother.

Hizi ni double standard za Mabeberu wa nchi za Magharibi.

Nani mwenye demokrasia kati ya Tanzania na Misri.
Mtaisoma namba na hapo bado hadi wahisani wote wapige pini misaada yao yote na bajeti yenu ndio inahitaji 40% ya fedha za kigeni ( wafadhili )sijui mtaishi vipi,kisa sheni?
 
Tangu lini muajiriwa wa kitengo akaipinga serikali yake?? Je tunafahamu umuhimu wa fedha za kigeni kwenye mzunguko?? Je unafahamu mataifa ya nje yakiacha kutoa nsaada thamani ya shilingi itashuka dhidi ya dola?? Je unafahamu uwezo wa nchi yetu kuuza nje ili kupata fedha za kigeni upo chini sana kiasi kwamba misaada ya wahisani ndio inaongeza fedha za kigeni kwenye mzunguko wetu, je unafahamu hali hii ikiendelea ya kukosa misaada ya wahisani bidhaa za nje zitakuwa ni ghali sana kiasi cha watanzania wengi kushindwa kuzipata?
Je wajua asilimia 50+ ya bajeti inahitaji fedha za wahisani, je wajua kukiwa na mdororo wa kiuchumi hayo makusanyo yatashuka hadi aibu? Yapo mengi ila ngoja nichangie taifa hapa kwa kunywa castle lager ya baridi
Nakuona kuwadi
 
Wakati mnaenda kuuomba mlikuwa mnafikiria ni nini kwani na leo hii mnasema , "....wakati wa kubembeleza misaada ume.......!!??"
nani aliomba?
Usihemke japo humpendi Polepole lakini hoja yake ni nzito kuliko za kina Kabwe ambao wapo bungeni na walipiga kura kupitisha moja ya hayo mapoungufu
 
Wakati mnaenda kuuomba mlikuwa mnafikiria ni nini kwani na leo hii mnasema , "....wakati wa kubembeleza misaada ume.......!!??"
Mkuu kama ulisoma std one miaka ya 80 utakumbuka kulikuwa na kitabu cha jifunze kusoma na kuandika kilikuwa na hadithi ya sungura isemayo SIZITAKI MBICHI HIZI
 
m

msingi wa MCC NI UTAWALA BORA. ukielewa ni nini utaona sababu ya kusitishwa kwa msaada huo. ni sawa na AMRI YA UPENDO KWA WAKRISTU kila kitu chema chahusika. MIMI NASIKITIKA KUUKOSa.JE HAWAELEWI ZANZIBAR NI ZANZIBAR NA TANGANYIKA NINTANGANYIKA.
Lkn amiri jeshi ni mmoja tu
 
Tukifanikiwa kufanya exportation zaidi kwa bidhaa zetu Na tukazuia importation za bidhaa kama sticks Na bidhaa nyingine ambazo tu naweza tengeneza hapa basi haya yote yasingetokea umaskini mmbaya sana ila siungi mkono hoja ya Polepole kuwa MCC kutotoa Pesa ni hasara kwa mashirika binafsi lazima itakula kwetu tu uwe ccm cuf au chadema hili ni pigo heavy tu.
 
Mhh.... Ukiangalia coment za hapa unagundua kwqmaba mzungu kashafanikiwa kututawala kiaakili mpaka sasa hivi.
.
 
Jamani tutofautishe maamuzi ya vyama na maamuzi ya nchi yaani nikiwa na maana ya maamuzi ya wananchi
Uchu wa madaraka wa sheni umeliigiz taifa gizani,lawama zote imwendee jechaa na sheni
 
Well said brother.

Hizi ni double standard za Mabeberu wa nchi za Magharibi.

Nani mwenye demokrasia kati ya Tanzania na Misri.

WHAT ABOUT DOUBLE STANDARD YA CCM HAPA HAPA NYUMBANI. KUHUBILI DEMCRASIA NA UHURU LAKINI KUIKANDAMIZA AT THE SAME TIME KAMA ILIVYOKUWA KWA JECHA NA ZANZIBAR? AMA NDIO UZALENDO MNAO ZUNGUMZIA INAWEZEKANA TUNAPISHANA MAANA HAPA!!
 
Umeenda mbali huko kwenye matangazo ya vyoo kutegemea wahisani halafu watu humu wakijidai kuwa tutaweza kwa kutegemea wanyamapori, madini n.k, huu ni Uzuzu kwani hata vita tu ya kupambana na majangili kwa wanyama wetu tunategemea Wahisani, madini waamuzi wa bei ni hao hao wanaoitwa wahisani wakati mwingine watz tuacheni mbwembwe...
Sasa kwanini unabeza wanaosema tukazane ili tujitegemee...
 
tufike sehemu tujikubali,,ipo siku watatuonea wivu,,ndipo misaada yao haitakuwa na mashart makali,,mcc safar njema natambua ipo siku mtarud kwa jina lingine namsipe nafas kirahis kama mlivyo ingia.
Kichwni mwako ni zero kubwaaaaaa
 
Mnawaita wasiofikiri nje ya sanduku wanaoututaka tutafute namna ya kutafuta Maendeleo yetu wenyewe kwa kuwa watoa misaada wanataka tuwapigie magoti,sijaona hata jibu la mmoja wenu kuhusu kinachotokea Misri,Israel( japo mimi ni muumini wa baraka za Waisrael),hakuna aliyejibu chochote kwa mahusiano yaliyovunjika baina yetu na Wajerumani,Waingereza na rafiki zao. Naomba niongezee na kuwakumbusha tena tija ya ushauri na maamuzi ya Marekani kwa Libya,Misri,Syria nk. Je mnaamini tunaweza kuendelea kwa misaada ? mimi siamini hivyo.Naamini tunaweza kuendelea kwa kushirikiana na wengine na wala si kwa kusaidiwa na wengine. Ni kweli tutaumia lakini maumivu yanapaswa kutufikirisha na kutafuta mbinu za kutatua;Vinginevyo ubinadamu wetu una kasoro.

Wanaoshangilia pia wajiulize wao na wanaoamini wameonewa ndipo tukaadhibiwa na miungu hii ya wapenda fedha za bure wanijulishe je mifukoni mwao zitaongezeka?

Tuitetee na tuijenge nchi yetu wenyewe,MUNGU alituumba wakamilifu hatujapungukiwa na chochote walichonacho ngozi nyeupe.
 
Mtizamo wangu pia nikuwa, Tanzania siyo kisiwa, kiasi cha kujifanya tunaweza kujitegemea. Tuwe wakweli juu ya hili. Tusidhani ni hili tu bali litakwenda kutuharibia hata mahusiano yetu mengine. Mimi ninaamini Tanzania tukiingia wenyewe mkataba huo na sasa tumeshindwa masharti hivyo tunastahiki kufanyiwa hivyo wala yusijifari kwa kunakili maneno ya mwakimu ili kutupa public support. Miradi mingi itasimama na sisi hatuna ujanja wa kuiendeleza. Mimi ninamuomba Mh. Rais Magufuli asidanganyike na washauri wasioitakia mema nchi hii . Ajitajihidi kushughulkia suala hili kwa hekima kwakuwa ninajuaana hekima hiyo. Fedha hizo za MCC tunazihitaji sana kipindi hiki kuliko wakati mwingine wowote ule, ukizingatia chama chetu kimeahidi mambo mengi kuwafanyia wananchi. Mwalimu pamoja na kauli zake lakini aliizita nchi hizi ni giant kama hatutashikana nazo sisi wadogo tuta umia. Hivyo huo ndy wito wangu. Tuache kupotosha ukwelu
Ccm hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
mijizi bana..
badala ya kuacha wizi yanajenga hoja..
CCM watalifanya taifa hili,Zimbabwe ya pili.
 
hahahahaa wevwakati wa mapinduzi na juzi aliyepigiwa mizinga 21 ndiye amiri jeshi wa zazibar. mengine ni mazingaumbwe tu.
Umesahau ile hotuba ya magu pale karimjee hall wakati anaongea na wazee wa dsm kuwa yeye ndiye amiri jeshi mkuu na wajibu wake ni kuilinda zenji na atakaye leta fyoko fyoko atakiona cha mtema kuni?
 
Back
Top Bottom