Mtazamo: Kwanini Ufaransa atachukua ubingwa

Mtazamo: Kwanini Ufaransa atachukua ubingwa

Habarini wanajf, karibuni tujadili hili kwa kina ikizingatiwa tupo katika wakati wa Kombe la Dunia.
Kwa mtazamo wangu Ufaransa ndio timu itakayochukua Ubingwa na sababu kubwa ni kikosi walichokiandaa kilichosheheni wachezaji wenye uzoefu wakicheza ligi mbalimbali Duniani, pia Kocha Deschamps ameweza kukipangilia kikosi na kinacheza kiufundi zaidi bila kuangalia umaarufu wa mchezaji mmojammoja.
NAWASILISHA

Abui timu yenye maniga wengi ni ngumu kubeba ndoo...kwanza hiyo france sijaona wameonyesha mpira wa maana..yani wamepita kibahati bahati sana...siku wamekutana na albiceleste walikuwa wanafanya mashambulizi ya kushitukiza..yaya nkoi..wanatoka amini maneno yangu.
 
Abui timu yenye maniga wengi ni ngumu kubeba ndoo...kwanza hiyo france sijaona wameonyesha mpira wa maana..yani wamepita kibahati bahati sana...siku wamekutana na albiceleste walikuwa wanafanya mashambulizi ya kushitukiza..yaya nkoi..wanatoka amini maneno yangu.
Toa utaalam wako wa kiufundi kwani Maniga wanazuia nini France wasichukue ubingwa, kucheza mipira ya kushtukiza hiyo ni mbinu ktk mpira mnapokutana na timu inayojua kuuchezea mpira walipokutana na Argentina wasingeweza kufunguka kwa kumuhofia Messi na wenzake waliopo mbele pale ambao wanajua kucheza na mpira
 
Back
Top Bottom