Abuu Said
JF-Expert Member
- Jul 5, 2015
- 4,010
- 4,763
Habarini wanajf, karibuni tujadili hili kwa kina ikizingatiwa tupo katika wakati wa Kombe la Dunia.
Kwa mtazamo wangu Ufaransa ndio timu itakayochukua Ubingwa na sababu kubwa ni kikosi walichokiandaa kilichosheheni wachezaji wenye uzoefu wakicheza ligi mbalimbali Duniani, pia Kocha Deschamps ameweza kukipangilia kikosi na kinacheza kiufundi zaidi bila kuangalia umaarufu wa mchezaji mmojammoja.
NAWASILISHA
Kwa mtazamo wangu Ufaransa ndio timu itakayochukua Ubingwa na sababu kubwa ni kikosi walichokiandaa kilichosheheni wachezaji wenye uzoefu wakicheza ligi mbalimbali Duniani, pia Kocha Deschamps ameweza kukipangilia kikosi na kinacheza kiufundi zaidi bila kuangalia umaarufu wa mchezaji mmojammoja.
NAWASILISHA