Mtazamo mpya wa dunia kuhusu Corona ni kuwa dunia imefikia breaking point; vizuizi vitaondolewa, watakaokufa watakufa, watakaopona watapona

Watetea lockdown mna shida kweli,!

Sikia bwana mdogo, duniani huko wameonaa lockdown ni upuuzi ndio maana leo wanaondoa, watu wanarudi makazini pamoja na visa vya mambukizi kuripotiwa kila siku...
Huyu haelewi athari za muda mrefu lockdown kwa uchumi duniani. Watu wamesaamua haiwezekani kuendelea ku-lockdown. Watu wataishije? Shughuli duniani zitafanywaje? Wameshaamua kwamba it is inevitable watu wengi watakufa, lakini sasa maisha yataendelea kwa wanaobaki

Halafu Trump anaona kama hizi lockdown zinawanufaisha China peke yao kiuchumi, na wanazidi kumkaribia USA kwa economic strength baada ya kumpita Japan. Hilo USA hawawezi kulikubali hata siku moja, wako tayari kufanya lolote kwa China ili wa-maintain position yao ya kwanza kama biggest world economy. Hii G-5 tu ya mawasiliano USA wamewafanyizia China ili kuwstop hadi wakaweza kufanikisha ya kwao!
 
Ukiwa lockdown una maadui wawili unaopambana nao, NJAA na CORONA lakini bila lockdown adui ni mmoja, NJAA!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu watu watakufa ndio na hakuna jinsi, lakini sio lazima awe Raisi wa Tanzania atakaekufa😅
So tutegemee ataendelea kuwa Chato kwa miezi mingi zaidi?Arudi ikulu kupiga kazi ili aache natural selection ifanye kazi yake!
 

Huo ni msimamo wa Magufuli wala si serikali wala CCM achilia mbali dunia.

Dunia unaijua? Unayoiongelea hata china wamo? Na hawa je?

How Australia and New Zealand are emerging from the coronavirus crisis
 
Bila source ni propaganda
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu upo sahii
 
Kwa taarifa yako wewe uliyepanda ndege. Usiwe unakurupuka kuita watu waongo wakati wewe ndio hujui kinachoendelea




 
Kila MTU atakufa , usitake kumuombea mabaya raisi wetu.
Cha msingi tuendelee kumuomba mungu atuepushe na balaa hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Balaa lipo tu, uombe usiombe

Revelation 6:7-8; When he opened the fourth seal, I heard the voice of the fourth living creature say, “Come!” 8 And I looked, and behold, a pale horse! And its rider's name was Death, and Hades followed him. And they were given authority over a fourth of the earth, to kill with sword and with famine and with pestilence and by wild beasts of the earth.

Kulingana na Revelation, 25% ya watu duniani wanakufa = watu karibu bilioni 2!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…