Mtazamo mpya wa dunia kuhusu Corona ni kuwa dunia imefikia breaking point; vizuizi vitaondolewa, watakaokufa watakufa, watakaopona watapona

Kwa sasa dunia imetopea kwa maovu ya kila namna hadi mengine hayaelezeki, mfano, wanaume kuoana na kuingiliana wao kwa wao, chuki, fitina, majungu, mauaji, dhuluma, ushirikina, uchawi, ulozi, roho mbaya, husda, tamaa mbaya, uasherati, wizi, ufisadi, kutomwabudu Mungu nk. nk. Sasa utaona ni kitu gani korona inajaribu kufanya.....kuisafisha dunia kutokana na uovu na watenda maovu, matukio yaliyoelezwa kwenye kitabu cha ufunuo kama alivyoeleza mdau hapo juu yameshaanza ni swala la muda, kufumba na kufumbua dunia inaweza kuingia katika hali mbaya sana ya machafuko.....kitu cha muhimu ni kuwa waangalifu tusije kuangamia na watenda maovu.
 
Mmmh! Lakini Mkuu, Corona inaua hata walio wema na wasio mashoga! Sasa sijui hapo utasemaje.
 
Wewe una wazimu
Umejiona eeh, usivyo na maana! Umeumbuka sana na point zako zisizo na mshiko. Eti sijapanda ndege watu wakivaa mask kwenye ndege watakulaje. Unawaza kula tu saa zote! Ulifurahia sana chakula cha kwenye ndege eeh!

Halafu mie sio ligi yako kwenye kupanda ndege - angalia hizi link

Nimeshuhudia muujiza wa ajabu nchini Germany!


Tumepanda Airbus 380 kwa ngazi!


Wakuu nilikuwa Ujerumani ikabidi tupandishwe Airbus 380, ile ndege ya double decker kwa ngazi. Nadhani kulikuwa nahitilafu kwenye zile bridges za kupandia

View attachment 69442
 
Mmmh! Lakini Mkuu, Corona inaua hata walio wema na wasio mashoga! Sasa sijui hapo utasemaje.
Mkuu watu wema wewe unawatambua? imeandikwa hakuna atendaye mema kwenye hii dunia, wote wametenda dhambi......sema rehema au tuseme neema inafanya kazi kwa baadhi ya watu..
 
Hapo kwenye sentensi ya mwisho fafanua kidogo mkuu maana weupe ndio wako hoi halafu inakuaje afrika inufaike na hilo
 
Wewe tatizo lako your reading a different page.Hata hiyo unayoisoma unashindwa kuchuja pumba na scintific evidence based facts
 
Hapo kwenye sentensi ya mwisho fafanua kidogo mkuu maana weupe ndio wako hoi halafu inakuaje afrika inufaike na hilo
Assumption ni kwamba Africa na nchi masikini kwa ujumla, huduma zetu za afya ziko chini sana, na mijini tunabanana mno. Katika nyumba (household) tunajazana mno. Nyumba moja inayokaliwa na watu wanne au watano ulaya sie kwetu tunafika hadi ishirini. Ukienda mjini, city centres, watu wamejaazana kama kumbikumbi - na hii ni kweli city centres za ulaya haziko crowded

Kwa hiyo ilitazwamiwa kwamba Corona virus ikitugonga tutakufa mno na idadi ya watu katika nchi zetu kupungua. Hivyo matumizi ya serikali kwa huduma za jamii, kama maji, hospitali, chakula nk, yangepingua na fedha nyingi kuelekezwa kwenye miradi ya maendeleo badala ya kuhudumia watu
 
Wewe tatizo lako your reading a different page.Hata hiyo unayoisoma unashindwa kuchuja pumba na scintific evidence based facts
Okay. Labda tatizo ni kwamba ulianza kwa kusema wewe muongo, hujapanda ndege. The rest sikuona tena.
 
Mkuu watu wema wewe unawatambua? imeandikwa hakuna atendaye mema kwenye hii dunia, wote wametenda dhambi......sema rehema au tuseme neema inafanya kazi kwa baadhi ya watu..
Mkuu, tofautisha kati ya dhambi za matendo, maneno na mawazo na dhambi ya asili.Japo hakuna anaeweza kusema hatendi dhambi, dunia hii ina mashahidi wengi wa wanaotenda mema - righteous people.
 
Mwanzo kabisa nilijua ugonjwa huu utaisha kabla ya mwisho wa mwezi May,niliwafariji marafiki zangu na ninaofanya nai kazi nikiwaamisha kwamba tuatarejea makazini mapema ila kwa sasa naona hali haipo hivyo,tahadhari dah.
WHO hawana suluhisho,WHO wamekata tamaa,hawasemi njia mbadala ya kuzima gonjwa hili.
 
Una flying hours ngapi?
Flying hours ni ma-pilot. Mie sio pilot. Lets just say kwenye frequent flier programme niliyonayo niko level ya Platinum. Na sasa hatujui kama airline itatushusha kwa kuwa mwaka there was litle travelling na sio kosa letu, tatizo la Corona limezuia ku-maintain status zetu.
 
Dunia itamuomba radhi Rais Magufuli.

Magufuli amewashangaza wanadunia kwa msimamo wake.

Watu watagundua kuwa kumbe tunaweza kuishi kwa tahadhari dhidi ya ugonjwa kuliko kukaa ndani tukisubiri ugonjwa uishe.

Magufuli katika hii vita amekuwa mshindi namba moja duniani.

Alikaa kimya sana,hakuwa anaongea ongea lakini alikuwa akiangalia namna gani afanye ili kunusuru uchumi na watu wake shughuli ziende.

Nampongeza sana magufuli katika hii vita,kujificha ndani ni sawa na kumkimbia adui vitani na upo uwanjani,ingia uwanjani chukua tahadhari.

Sidhani kama mtu akidumu na barakoa yake na akavaa gloves na akazingatia umbali baina ya mtu na mtu ati ataambukizwa ama tutaambukizana kwa kasi.

Muhimu tahadhari.
 
Huu ugonjwa ulitengenezwa kuua wagonja sugu na hawafi,

Mfano kama una ngoma ukupitie ili kubalance na kupunguza wagonjwa duniani wa maradhi mbalimbali.

Naunga hoja mweshimiwa mwenyekiti.

Sent using ubishi.com
 
Wengi wanaotaka lovkdown ni watoto wa mama kula kulala na hawana kazi hivyo wanataka tulingane kuchacha.....na kishinda home[emoji2]

Sent using ubishi.com
 

Mumiani wana roho ngumu sana labda kuliko roho za paka.

Ngoja tusubirie pigo la 10.

Uliyoyaandika hapa yana apply Uganda, Rwanda au hata Kenya? Je china, UK, USA, italy, Germany, Spain, Australia, New Zealand nk?

Msitake kutuhalalishia vifo mumiani nyie.
 
kwa hiyo Uganda ugonjwa umeisha wote?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…