MTAZAMO: Mwanadamu hakuumbwa na Mungu.

MTAZAMO: Mwanadamu hakuumbwa na Mungu.

Unapokuwa hai ndipo unapoandaa maisha utakayoishi baada ya kifo.
Sasa subiria Ukifa ndipo utayajua haya uyasemayo na nadharia zote utazikuta huko.

Yeah mkuu!!

Huenda upo kwenye mawazo ya mtu Fulani bila wewe kujua sema wewe unajiona unaishi halisi. Utakuwa huru siku huyu mwenye kuwaza atakapokoma kufikiria habari zako.

Be blessed
 
Hutakuja kumuona Mungu Mkuu hata ufufuke. Mungu haonekani mkuu.
Hivyo hata atakayepewa Mamlaka ya kuhukumu ni mwingine lakini hutokuja kumuona Mungu. Ndio maana dai la Yesu ni Mungu huweza kupata Mashiko zaidi. Japo na yeye sio Mungu bali amepewa Mamlaka na Mungu
Yeah naafikiana na wewe juu ya hilo la kutomuona Mungu ila nimejaribu kueleza msimamo wangu juu ya uwepo wake na malipo yake kwa waja wake
 
Ahsante Kwa Kutupa Aya.

Hata Mimi naamini kila kitu kiliumbwa Kwa amri ya mwenyezi Mungu. Lakini kuna vilivyoumbwa na viumbe wenye akili na utashi mkubwa walioumbwa na Mungu. Ni kama vile binadamu anavyounda gari na Marobot lakini anatumia akili aliyoikuta.

Huenda binadamu naye aliumbwa hivyo hivyo
Inawezekana.maana binadamu ndo kiumbe wa mwisho kuumbwa.mungu alishaumba vitu vyoote.wanyama,mimea,majini,miti,n.k.
Na wakati mungu anamuumba adam kwa udongo.ibilisi alikuwa anamuona adam akiwa amelala.akawa anamchezea kama mdoli.alipopuliziwa adam roho na kuwa kiumbe kamili.mungu akawaambia malaika na viumbe vilivyopo mbinguni wamtukuze adam.ibilisi akakataa.ndipo akalaanika.
 
Yeah naafikiana na wewe juu ya hilo la kutomuona Mungu ila nimejaribu kueleza msimamo wangu juu ya uwepo wake na malipo yake kwa waja wake
Kweli mkuu.
Mungu yupo na kuelezea uwezo wake ni kukufuru Kwa maana haulinganishwi na chochote.

Na ndio maana wakati mwingine naamini hata Shetani hamjui Mungu na hajawahi kumuona japo nahisi aliwahi kusikia sauti yake
 
Inawezekana.maana binadamu ndo kiumbe wa mwisho kuumbwa.mungu alishaumba vitu vyoote.wanyama,mimea,majini,miti,n.k.
Na wakati mungu anamuumba adam kwa udongo.ibilisi alikuwa anamuona adam akiwa amelala.akawa anamchezea kama mdoli.alipopuliziwa adam roho na kuwa kiumbe kamili.mungu akawaambia malaika na viumbe vilivyopo mbinguni wamtukuze adam.ibilisi akakataa.ndipo akalaanika.
Zote ni nadharia mkuu.

Hakuna hata mmoja mwenye uthibitisho wa kile anachokisimulia. Ndio maana inaitwa imani yaani kuwa na uhakika ya mambo yatarijiwayo
 
Hiviii ulipasoma na pale palipoandikwa akachukuwa ubavu wa mwanaume akamuumba mwanamke kwa udongo.

Ulielewa ile sehemu anasema "akampulizia pumzi yake ya uhai akawa hai"???

Unajua ni siku ya ngapi Mungu alimuumba mwanadamu?

Someni bwanaaaaaa msituchoshe na mitazamo isiyokamilika.
 
Zote ni nadharia mkuu.

Hakuna hata mmoja mwenye uthibitisho wa kile anachokisimulia. Ndio maana inaitwa imani yaani kuwa na uhakika ya mambo yatarijiwayo
3f51ddcb373b9f03274469474764411e.jpg
30a933155f70e9000e2dc5e5d8d5b108.jpg
6a94ed65b0ec7ebebdb5590da0bebb18.jpg
65ada6ea1c1c5e3ec430547fb7585a78.jpg
304a110b3691eb1984730ce1fc1b43e7.jpg
086494d6172f65965632c7e18c63cc35.jpg

MUNGU HASEMI UONGO.
 
Ahsante Kwa Kutupa Aya.

Hata Mimi naamini kila kitu kiliumbwa Kwa amri ya mwenyezi Mungu. Lakini kuna vilivyoumbwa na viumbe wenye akili na utashi mkubwa walioumbwa na Mungu. Ni kama vile binadamu anavyounda gari na Marobot lakini anatumia akili aliyoikuta.

Huenda binadamu naye aliumbwa hivyo hivyo
Viumbe gani wenye akili na utashi?
 
Back
Top Bottom