Ryan The King
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 2,788
- 2,690
- Thread starter
- #21
Unapokuwa hai ndipo unapoandaa maisha utakayoishi baada ya kifo.
Sasa subiria Ukifa ndipo utayajua haya uyasemayo na nadharia zote utazikuta huko.
Yeah mkuu!!
Huenda upo kwenye mawazo ya mtu Fulani bila wewe kujua sema wewe unajiona unaishi halisi. Utakuwa huru siku huyu mwenye kuwaza atakapokoma kufikiria habari zako.
Be blessed