MTAZAMO: Mwanadamu hakuumbwa na Mungu.

MTAZAMO: Mwanadamu hakuumbwa na Mungu.

AKILI ZA MUNGU HAZICHUNGUZIKI!!!

NA KIWANGO CHA BINADAM CHA MWISHO CHA MAARIFA AMBACHO NDICHO KINAIPA FAHARI DUNIA HII KWA MUNGU NI UJINGA!!!

UTAFUTENI UFALME WA MBINGUNI MAANA SAA YA KUREJEA KWAKE IMEKARIBIA, MCHENI NA KUMTUKUZA MAANA YEYE NI MUNGU!!!

Ikiwa kuna mmoja miongoni mwa binadam haamini basi na atende yale yaliyo mema machoni pake mwenyewe!
Ila akumbuke, siku inakuja kila goti litapigwa na kila kinywa kinakili kuwa yeye ni MUNGU.
 
Siwezi kuwa muislam hata Kwa kuota.

Ukristo wenyewe ulinishinda
[emoji15] [emoji15] [emoji15] .
94b7e3744b178d12b1a0cee6e6cbca3c.jpg
 
mungu akisema "tulimuumba mwanadam"haina maana kwamba wako wengi isipokuwa anajipa ukubwa kwa wingi wake
 
mungu akisema "tulimuumba mwanadam"haina maana kwamba wako wengi isipokuwa anajipa ukubwa kwa wingi wake
ni kweli asome vizuri vitabu vya Mungu sehemu nyingi ametumia maneno hayo tumeumba tumeshusha tumeiipamba tulimtuma n.k
hata katika kiingereza pronoun 'WE' yaweza kutumiwa na mtu mmoja badala ya "I' ili kuonyesha nguvu ya mtu, ikiwa mtu huyo ana mamlaka ama nguvu fulani kv malkia mfalme n.k
 
najua mtoa mada wewe sio mjinga mpaka umeandika hv... kuna uliyoyaona... nimesoma na kama great thinker na scientist acha nisitie kwanza neno lolote... nipo kufatilia.. halaf nitarudi..!!!!
 
mungu akisema "tulimuumba mwanadam"haina maana kwamba wako wengi isipokuwa anajipa ukubwa kwa wingi wake
Lipi andiko linalosema anajipa ukubwa Kwa wingi wake.

Au unaongeza maneno
 
umejiuliza swali sahihi mkuu ni sawa
lakini cornerstone ya point yako umeeleza Mungu alisema natuumbe mtu kwa mfano wetu
kwa uelewa wa maandiko Mungu aliposema natuumbe haimaniishi kwamba hakuwa peke yake
neno tuumbe=sisi laweza kutumika kuonyesha nguvu na mamlaka ya mtu japokuwa ni mmoja
kwa hiyo hata raisi anaweza kusema tunamfuta kazi bashite sababu ana vyeti feki
yawezekana yeye ndo kamfuta kazi lakini anaposema sisi tunamfuta ana maana ya mamlaka yake alonayo katika serikali
kwa hiyo Mungu aliposema tunaumba haimaanishi kuwa waumbaji walikuwa wengi
Hapa ndipo utakapoona utatu mtakatifu( Trinity)
 
Inawezekana.maana binadamu ndo kiumbe wa mwisho kuumbwa.mungu alishaumba vitu vyoote.wanyama,mimea,majini,miti,n.k.
Na wakati mungu anamuumba adam kwa udongo.ibilisi alikuwa anamuona adam akiwa amelala.akawa anamchezea kama mdoli.alipopuliziwa adam roho na kuwa kiumbe kamili.mungu akawaambia malaika na viumbe vilivyopo mbinguni wamtukuze adam.ibilisi akakataa.ndipo akalaanika.
Kwa mujibu wa kitabu gani haya?
 
Ahsante Kwa Kutupa Aya.

Hata Mimi naamini kila kitu kiliumbwa Kwa amri ya mwenyezi Mungu. Lakini kuna vilivyoumbwa na viumbe wenye akili na utashi mkubwa walioumbwa na Mungu. Ni kama vile binadamu anavyounda gari na Marobot lakini anatumia akili aliyoikuta.

Huenda binadamu naye aliumbwa hivyo hivyo
Ulikuwa hujijui kabla ya kuzaliwa Leo kwa ajil ya kaelimu kako et unamkosoa mungu,ila jeur yako itaisha ucku wa kwanza kaburin ucjali
 
Kwa haya Maandko mnayoyaleta ya kutokuwa na Imani na Mungu aliye Hai nia yenu ni OVU tu. Mnataka Tuamini Mungu Hayupo. Mshindwe na Mpotee.
 
Ahsante Kwa Kutupa Aya.

Hata Mimi naamini kila kitu kiliumbwa Kwa amri ya mwenyezi Mungu. Lakini kuna vilivyoumbwa na viumbe wenye akili na utashi mkubwa walioumbwa na Mungu. Ni kama vile binadamu anavyounda gari na Marobot lakini anatumia akili aliyoikuta.

Huenda binadamu naye aliumbwa hivyo hivyo
Mkuu binaadamu alitengeneza magari na vitu vingine ili kujiongezea kipato kwaiyo hao unao wafikiria labda kuna faida wanapata kutokana na uwepo wetu au tukijamba mkuu tunawapa product ya biogas!!!!!
 
Back
Top Bottom