Ryan The King
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 2,788
- 2,690
- Thread starter
-
- #21
Unapokuwa hai ndipo unapoandaa maisha utakayoishi baada ya kifo.
Sasa subiria Ukifa ndipo utayajua haya uyasemayo na nadharia zote utazikuta huko.
Yeah naafikiana na wewe juu ya hilo la kutomuona Mungu ila nimejaribu kueleza msimamo wangu juu ya uwepo wake na malipo yake kwa waja wakeHutakuja kumuona Mungu Mkuu hata ufufuke. Mungu haonekani mkuu.
Hivyo hata atakayepewa Mamlaka ya kuhukumu ni mwingine lakini hutokuja kumuona Mungu. Ndio maana dai la Yesu ni Mungu huweza kupata Mashiko zaidi. Japo na yeye sio Mungu bali amepewa Mamlaka na Mungu
Inawezekana.maana binadamu ndo kiumbe wa mwisho kuumbwa.mungu alishaumba vitu vyoote.wanyama,mimea,majini,miti,n.k.Ahsante Kwa Kutupa Aya.
Hata Mimi naamini kila kitu kiliumbwa Kwa amri ya mwenyezi Mungu. Lakini kuna vilivyoumbwa na viumbe wenye akili na utashi mkubwa walioumbwa na Mungu. Ni kama vile binadamu anavyounda gari na Marobot lakini anatumia akili aliyoikuta.
Huenda binadamu naye aliumbwa hivyo hivyo
Kweli mkuu.Yeah naafikiana na wewe juu ya hilo la kutomuona Mungu ila nimejaribu kueleza msimamo wangu juu ya uwepo wake na malipo yake kwa waja wake
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Mkuu charmilton anga zako hizii
Zote ni nadharia mkuu.Inawezekana.maana binadamu ndo kiumbe wa mwisho kuumbwa.mungu alishaumba vitu vyoote.wanyama,mimea,majini,miti,n.k.
Na wakati mungu anamuumba adam kwa udongo.ibilisi alikuwa anamuona adam akiwa amelala.akawa anamchezea kama mdoli.alipopuliziwa adam roho na kuwa kiumbe kamili.mungu akawaambia malaika na viumbe vilivyopo mbinguni wamtukuze adam.ibilisi akakataa.ndipo akalaanika.
Funguka Mkuu.Laiti mngejua!!!!
Kande ni chakula mkuumtu akishashiba kande
Vipi kiongoziAiser
Zote ni nadharia mkuu.
Hakuna hata mmoja mwenye uthibitisho wa kile anachokisimulia. Ndio maana inaitwa imani yaani kuwa na uhakika ya mambo yatarijiwayo
Kweli mkuu Mungu hasemi uongo
MUNGU HASEMI UONGO.
Viumbe gani wenye akili na utashi?Ahsante Kwa Kutupa Aya.
Hata Mimi naamini kila kitu kiliumbwa Kwa amri ya mwenyezi Mungu. Lakini kuna vilivyoumbwa na viumbe wenye akili na utashi mkubwa walioumbwa na Mungu. Ni kama vile binadamu anavyounda gari na Marobot lakini anatumia akili aliyoikuta.
Huenda binadamu naye aliumbwa hivyo hivyo
Karibu kwenye uislam.Kweli mkuu Mungu hasemi uongo
Siwezi kuwa muislam hata Kwa kuota.Karibu kwenye uislam.