Mtazamo: Sheria ibadilishwe hukumu ya kesi ya mauaji iwe miaka 15 jela. Kila Mtanzania amiliki bunduki kirahisi

Mtazamo: Sheria ibadilishwe hukumu ya kesi ya mauaji iwe miaka 15 jela. Kila Mtanzania amiliki bunduki kirahisi

TheDreamer Thebeliever

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2018
Posts
2,490
Reaction score
3,584
Habari wadau,

Sheria zetu na mtu anayekutwa na kosa la mauaji nashauri ibadilishwe waweke miaka 15 tu inatosha maana lengo la kumuweka mtu jela ni ajifunze naamini miaka 15 atakuwa amejifunza kumuweka maisha jela ni kuipa mzigo tu serikali usio na tija pia kuharibu maisha ya wategemezi wake.

Pia tuangalie sheria ya kumiliki bunduki au bastora ni vizuri ingefanyiwa mapitio ili kila Mtanzania awe na yake ili kujihakikisha usalama na kupunguza uonevu katika jamii zetu.
 
Kuna nyuzi flani ulidai umesoma Nuclear Science nje. Kwa nyuzi zako za siku hizi napinga ingawa siwezi prove.

Watanzania wana haki za msingi nyingi wanahitaji kuliko kumiliki silaha. Bunduki sio smartphone. Unataka kuitumia kuingiza kipato, kwa njia zipi?
 
Je, wategemezi wa wale aliowaua ama yule aliemuua wao hawajaharibiwa maisha?

Hapo hoja ni mtu akiua na akapatikana na hatia auwawe tu biashara iishe. Kuendelea kumuweka gerezani ni kupoteza rasilimali za nchi kwani hizo hela zitumike kufanya shughuli za uzalishaji na maendeleo.

Ila mbona kama akili yako ina hoja nyepesi nyepesi sana, ni mzima kweli?
 
Kuna nyuzi flani ulidai umesoma Nuclear Science nje. Kwa nyuzi zako za siku hizi napinga ingawa siwezi prove.

Watanzania wana haki za msingi nyingi wanahitaji kuliko kumiliki silaha. Bunduki sio smartphone. Unataka kuitumia kuingiza kipato, kwa njia zipi?
Hao ndio wasomi wa TANZANIA.

NB: Usomi haupimwi kwa wingi wa vyeti Bali Productivity ya hivyo vyeti.
 
Kuna nyuzi flani ulidai umesoma Nuclear Science nje. Kwa nyuzi zako za siku hizi napinga ingawa siwezi prove.

Watanzania wana haki za msingi nyingi wanahitaji kuliko kumiliki silaha. Bunduki sio smartphone. Unataka kuitumia kuingiza kipato, kwa njia zipi?
Ni mtazamo wangu, je wewe una mtazamo gani?
 
Dah Marekani Wana hyo sheria ya kumiliki silaha daily wanauana kama mahayawani wa nyikani, Bora tubaki hivo hivo tulivo na sheria zetu
 
Kuzunguka koote kumbe unapanga kuua[emoji1]
 
Anayeuliwa hana wategemezi? Sasa hivi Sheria ngumu hivi lakini bado mauaji kila siku, wakipunguza unahisi hali itakuwaje?
Pumbavu zako
Jibu unalo kwamba watu hawahitaji bunduki ili wafanye mauaji, hivyo hakuna maana kuweka sheria ngumu ambazo zitawafanya matajiri tu ndio wamiliki bunduki ,je wa hali ya chini masikini hawana haki ya kujilinda?
 
Anayeuliwa hana wategemezi? Sasa hivi Sheria ngumu hivi lakini bado mauaji kila siku, wakipunguza unahisi hali itakuwaje?
Pumbavu zako
Research iliyofanywa na John Lott ilionyesha More Guns,Less crime tafuta kitabu cha huyo mwamba.
 
Kuzunguka koote kumbe unapanga kuua[emoji1]
Nasoma vitabu bro kabla sijashusha uzi .

IMG_20210714_152041.jpg
 
  • Thanks
Reactions: T11
Habari wadau...!

Sheria zetu na mtu anayekutwa na kosa la mauaji nashauri ibadilishwe waweke miaka 15 tu inatosha maana lengo la kumuweka mtu jela ni ajifunze naamini miaka 15 atakuwa amejifunza kumuweka maisha jela ni kuipa mzigo tu serikali usio na tija pia kuharibu maisha ya wategemezi wake.

Pia tuangalie sheria ya kumiliki bunduki au bastora ni vizuri ingefanyiwa mapitio ili kila mtanzania awe na yake ili kujihakikisha usalama na kupunguza uonevu katika jamii zetu.
unaona somalia , sudan, south afrika , syria , marekani watu wanayo uana tua matatizo mengi mkuu haya tuliyonayo yanatosha
 
Back
Top Bottom