Mtazamo: Tundu Lissu atafanikisha Godbless Lema kuondoka nchini Kenya na kupata hifadhi katika nchi mojawapo ya Ulaya au Marekani

Lema alishaandaliwa charge sheet.

1st count: utakatishaji fedha.
2nd count: kumiliki genge la uhalifu
3rd count: ugaidi

Hapo hakuna dhamana, bahati yake amewawahi, angeozea jela.
Unafurahia huu Ujinga eti... Muda utaongea yatamkuta aliyekaribu nawe,....
 
Hahhaa ukiona bado anataka hela ujue nibtabia ya ujasiriamali aliyonayo siyo njaa kama ya kwako. Alishaishinda njaa

kwani hujui kama mbowe ni mchaga kama wachaga wengine???
mimi nina njaa lakini siko tayari kutapeli hisia za mtu.

mtafute kimei,ndio utajua bado hujawajua wachaga.
 

[emoji1][emoji1]leo lema anatafuta pesa sio ukombozi wako tena.

kwani hizi akili zenu ni kama umeme wa tanesco zinakuja na kukata??
 
kwani hujui kama mbowe ni mchaga kama wachaga wengine???
mimi nina njaa lakini siko tayari kutapeli hisia za mtu.

mtafute kimei,ndio utajua bado hujawajua wachaga.
Kimei kavhungulia fursa tu. Na huko Kili hamna jimbo permanent la ccm. Anytime wale jamaa wanapindua meza muulize Kimei kama ni jamaa yako anajua walichomfanya huko vunjo.
 
Kwamba Lissu alipo rudi alikuta Chadema inawabunge 70,lakini baada ya kampeni zake kaondoka kaacha kabunge kamoja tu!!
hapa sasa ndo pakuanzia tathmini ya uchaguzi huu,kama Chadema mnaakili za kutosha.
kama ni kuibiwa kura,atauchaguzi ulipita mliopata wabunge 70 pia mlidai mmeibiwa kura.
 
CCM wanaogopa kushindwa kuliko hata kifo cha kawaida. Hawako tayari au hata kuamini kuwa inaweza kukabidhi chama kingine madaraka.
Hiki ndicho kiini cha matatizo yote haya hadi wengine kukimbia nchi.
Hakuna cha usanii unaosema. Kila rais aliye madarakani ana kazi kubwa na nyeti, kihakikisha ccm haishindwi by any means! Na ujue rais ni amirijeshi mkuu!
Ilifika mahali ishara zikaonyesha kuwepo hatari ya kushindwa au kushinda kwa kura chache.
Hali hii haikuweza kuvumilika come what may. Bora lawama; kikatendeka kilichotokea!
Mifumo ya utawala na uchaguzi ya sasa ni vigumu kwa upinzani kushika dola! Impossinle!
Suluhisho ni kupambana kuweka mifumo rafiki ya kikatiba na kisheria inayoruhusu ushindani sawa kwa vyama vyote, tume huru nk. Short of that hakuna kitu.
Jambo lingine muhimu ni taifa kama taifa kuhakikisha linahusika katika kujenga upinzani imara ili wakati kubadilishana madaraka kusiwe na hofu au hatari ya kubomoa taifa.
Ni jambo baya sana kubomoa upinzani, tena hatari kwa afya ya taifa. Ni ujinga kufikiri kubomoa upinzani ni faida kwa nchi. Kazi ya vyama ni kujenga nchi sio kujenga chama peke yake maana chama si wananchi bali kundi la wananchi wenye itikadi moja.
CHAMA sio nchi na wala nchi sio CHAMA.
 
NI LENGO LA TUNDU LISSU KUHAKIKISHA KUWA MICHEZO ANAYOIFANYA ULAYA KILA MFUASI WAKE ANAMPELEKA HUKO KUIFANYA. TULISEMA SISI, CDM INAKUFA KIBUDU 2020 HAMKUTUAMINI
 
LEMA NA NYALANDU ACHENI KUKIMBIA MADENI,DAWA YA DENI NI KULIPA
Leo imesambaa taarifa mitandaoni ikiwaonyesha wabunge wa Zamani Godbless Lema na Lazaro Nyalandu ambao imeonekana wakijaribu kuvuka mipaka ya Nchi na kukimbilia nchi jirani ya Kenya kwa Mida na Siku Tofauti Huku wakisema Chanzo ni Kutishiwa maisha yao,Lema amekamatwa jana akivuka mpaka wa Namanga Bila Pasi ya Kusafiria huku Lazaro Nayalandu akikamatwa leo akivuka mpaka huo huo wa Namanga bila Pasi ya kusafiria.
UKWELI NI HUU:
Kwa Mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Spika wa Bunge Job Ndugai,zimethibitisha kuwa Godbless Lema aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini (CHADEMA) Anadaiwa zaidi ya Milioni 330 na ofisi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliyodhaminiwa kwa mshahara wake ambazo alichukua kwa ajili ya kufungulia kiwanda chake jijini Arusha kupitia Benki ya CRDB Jijini Dodoma mwaka 2015,pia alichukua Mkopo mwingine wa dharura wa Tsh 442 Milioni alizochukua toka Benki ya Stanbic Bank Jijini Arusha mwezi julai 2020 kwa ajili ya kampeni za uchaguzi mkuu wa 2020 na mwisho wa mkopo huo ulikuwa mwezi November 2020 ambazo aliahidi angelipa kwa mkopo mwingine wa bunge aliotegemea angechukua endapo angeshinda ubunge Arusha Mjini 2020 ambapo ameshindwa ubunge hivyo imeonyesha wazi hajalipa deni hilo.

Lazaro Nyalandu rekodi za mabenki toka chanzo chetu kinaonyesha Tarehe 20/3/2014 alikopa kiasi cha Tshs 251 milioni toka Benki ya Standard Chartered ya Jijini Dar es Salaam ambapo hadi sasa imefichuka ana deni zaidi ya Tshs 508 Milioni ambazo zimeongezeka kutokana na deni hilo la muda mrefu na linazidii kuongezeka kwani yeye ameshindwa kulipa deni hilo tangu mwaka 2014 alizokopa akiwa mbunge wa Singida Kaskazini kipindi Hicho akiwa CCM Kabla ya kutimkia CHADEMA ambapo mwaka 2020 alikopa Tsh 204 Toka Benki ya Exim ya Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya Kampeni za Ubunge Jimbo la Singida kaskazini ambapo hakushinda.
Kwa Taarifa zilizonaswa imesemekana Kabla ya wanasiasa hao wa Kambi ya Upinzani kujaribu kutoroka kumbia nchini inasemekana walipewa Barua kwa nyakati tofauti za kukumbushia Madeni hayo amabyo inaonekana wamekuwa wakipiga kalenda na ndiyo chanzo cha wao kutaka kutoroka kwa kuvuka mipaka ili watimkie Marekani au Nchi moja ya Ulaya kama ambvyo wameshapanga.
Paulo Motika Laizer
Arusha
9/11/2020
 
Chadema ni walaghai wa kisiasa. Lema ni nani katika nchi hii? wamenyooshwa kweli wameanza kuigiza ngoja tuone movie hii itaishia wapi? na maandamano yapo?
 
Sawa, lakini kumbuka kuwa hawa jamaa ni wasanii tu.....hawajawahi kutishiwa maisha yao isipokuwa wanakimbia Tanzania kwa sababu hawana kazi, wanataka kutunzwa tu na watu/mabeberu.
 
Impact gani wakati.kakuta kuna wabunge yeye kawafuta na kupata mmoja?
Sikunakirudi.tena watu watakuwa na hasira nae wasipo mdunda watahama chama wote wamuachie chama yeye mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…