Mtazamo: Tundu Lissu atafanikisha Godbless Lema kuondoka nchini Kenya na kupata hifadhi katika nchi mojawapo ya Ulaya au Marekani

Lema atarudi bongo kabla ya mwezi wa sita mwakani.
 
Impact gani wakati.kakuta kuna wabunge yeye kawafuta na kupata mmoja?
Sikunakirudi.tena watu watakuwa na hasira nae wasipo mdunda watahama chama wote wamuachie chama yeye mwenyewe.
Wabunge wamefutwa na yale mabegi meusi, msidanganyane kama watoto.
 
Jamaa ameweka heshima hata Nyerere hajawahi kusindikizwa na balozi yeyeto
Wamemsindikiza au wamemfurumsha? Just leave us alone, Mr; nothing to which you come close ever survives! Look at Mr Mbowe and his CHADEMA, now! All because of your uncontrolled, dirty words & untamed, rushy feet!
 
Duh!!!
 
πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½ Thank you πŸ™πŸ½
 
Aiseeee !!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…