Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani bro naomba nielekeze jinsi unavyoweza kutag uzi ndani ya uziMbingu saba, siri na nguvu ya namba saba
Ikiwa katika mfuatano wa namba msingi yani 0-9/1-9, namba saba inaonekana ni namba ya kawaida kabisa, lakini kwa taarifa yako hii ndio namba ya ukamilifu inayoendesha dunia na ndio namba yenye tafsiri zinazoshabihiana kwenye imani zote Nina hakika ulianza kuitambua hii namba upekee wake kwenye...www.jamiiforums.com
Mtaalamu, kumbukumbu zikionesha ukiupinga utawala wa jiwe na kuupigia yowe utawala wa Samia, ukiwa na utashi wa hayo maneno niliyo-bold, utawala wa JPM ulikubalika kiroho? Alipata kibali cha kuongoza hii nchi kiroho na kimwili?"Ulimwengu wa roho ni timilifu na mambo yake huenda na kufanyika juu ya uwezo na utashi wa kawaida wa binadamu."
Kama atakuwa na utashi wa kiroho nia na hamu ya kuwa rais wa kuchaguliwa kisha nguvu ya kiroho ikamkubali basi atakuwa..Shida ni kwamba nyumba anamoishi ilishapata nyufa tangu 2015 na ilipofika 2020 ikaondolewa vitu vingi muhimu....
Hapa nazungumzia kuhusu awamu na si kukubalika kwa mtu asante!Mtaalamu, kumbukumbu zikionesha ukiupinga utawala wa jiwe na kuupigia yowe utawala wa Samia, ukiwa na utashi wa hayo maneno niliyo-bold, utawala wa JPM ulikubalika kiroho? Alipata kibali cha kuongoza hii nchi kiroho na kimwili?
Utawala wa mama hauna kibali hicho kwa mujibu wa utashi huo? Kwa utashi huo, wewe ulikuwa tayari kuunga mkono serikali yenye au isiyo na kibali hicho?
Asante.
Nyerere alitawala zaidi ya 15yrs.Unachosema ni kuwa atakaye peperusha bendera ya 2025-2030 kiroho ndo atakuwa ameanza mzunguko wake halali wa kwamza maana huyu wa sasa kadandia wa mwenzake aliyelala, sasa akichaguliwa samia na akashinda akawa raisi ina maana kiroho atadaiwa kipindi kimoja tena cha kuongoza yaani 2030-2035 maana hii si awamu yake kiroho yaani.
What a lucky one ikitokea akachaguliwa, yaani kiroho atakuwa raisi wa kwanza mwanamke na raisi wa kwanza kuwepo madarakani 15years.
Hata hivyo Tanzania si nchi ya kiroho ingawa watu wake wana imani.
Nyerere hakuwa mwanamke. Nilitaka kumaanisha raisi wa kwanza mwanamke kutawala 15
Ina maana upande wa pili hujaona mtu yeyote ?Sioni shida utawala wa ccm kufikia kikomo, bali ni nani atasimama baada yake?
Mkuu kwa katiba hizi za kiAfrika, lolote lawezekana.Kikatiba hakuna mwenye uwezo wa kuongoza zaidi ya miaka 10. Hata akigombea 2025 akashinda mwisho wake ni 2030 tu. Kipindi hiki cha kwanza they triumph together with magufuli, kwahiyo kinahesabika ni kipindi chake cha kwanza.
Mkuu kwa katiba hizi za kiAfrika, lolote lawezekana.
Kwani katiba ya Uganda kuhusu ukomo wa rais ilikuwaje na ikawaje Museven kuwepo madar
Dume hawajisikii poa kuongozwa na ke mfumo dume ni shida watulie tu hakuna namna maana anaweza ongoza awamu mbili mfululizo labda yy mwenyewe asitake wapiga kura wengi ke labbda waibiane kura wenyewe kwa wenyewe😀😀😀
Na iwe hivyo, make atatuua huyu kuzidi hata yule 😂😂Ataishia tu kukitamani na kukivizia trust me!