Mtazamo wa kiroho: Kwanini Rais Samia hawezi kuwa Rais kwa vipindi viwili

Mtazamo wa kiroho: Kwanini Rais Samia hawezi kuwa Rais kwa vipindi viwili

 
Samahani bro naomba nielekeze jinsi unavyoweza kutag uzi ndani ya uzi
 
"Ulimwengu wa roho ni timilifu na mambo yake huenda na kufanyika juu ya uwezo na utashi wa kawaida wa binadamu."

Kama atakuwa na utashi wa kiroho nia na hamu ya kuwa rais wa kuchaguliwa kisha nguvu ya kiroho ikamkubali basi atakuwa..Shida ni kwamba nyumba anamoishi ilishapata nyufa tangu 2015 na ilipofika 2020 ikaondolewa vitu vingi muhimu....
Mtaalamu, kumbukumbu zikionesha ukiupinga utawala wa jiwe na kuupigia yowe utawala wa Samia, ukiwa na utashi wa hayo maneno niliyo-bold, utawala wa JPM ulikubalika kiroho? Alipata kibali cha kuongoza hii nchi kiroho na kimwili?

Utawala wa mama hauna kibali hicho kwa mujibu wa utashi huo? Kwa utashi huo, wewe ulikuwa tayari kuunga mkono serikali yenye au isiyo na kibali hicho?

Asante.
 
Mtaalamu, kumbukumbu zikionesha ukiupinga utawala wa jiwe na kuupigia yowe utawala wa Samia, ukiwa na utashi wa hayo maneno niliyo-bold, utawala wa JPM ulikubalika kiroho? Alipata kibali cha kuongoza hii nchi kiroho na kimwili?

Utawala wa mama hauna kibali hicho kwa mujibu wa utashi huo? Kwa utashi huo, wewe ulikuwa tayari kuunga mkono serikali yenye au isiyo na kibali hicho?

Asante.
Hapa nazungumzia kuhusu awamu na si kukubalika kwa mtu asante!
 
Unachosema ni kuwa atakaye peperusha bendera ya 2025-2030 kiroho ndo atakuwa ameanza mzunguko wake halali wa kwamza maana huyu wa sasa kadandia wa mwenzake aliyelala, sasa akichaguliwa samia na akashinda akawa raisi ina maana kiroho atadaiwa kipindi kimoja tena cha kuongoza yaani 2030-2035 maana hii si awamu yake kiroho yaani.

What a lucky one ikitokea akachaguliwa, yaani kiroho atakuwa raisi wa kwanza mwanamke na raisi wa kwanza kuwepo madarakani 15years.

Hata hivyo Tanzania si nchi ya kiroho ingawa watu wake wana imani.
Nyerere alitawala zaidi ya 15yrs.

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
 
Vipi kwa nchi nyingine zilizofikisha awamu zaidi ya sita ya uongozi,je wakifia ya 7 hua kuna mabadiliko makubwa yanatokea? Au hii ina apply hapa kwetu tu?
 
Kikatiba hakuna mwenye uwezo wa kuongoza zaidi ya miaka 10. Hata akigombea 2025 akashinda mwisho wake ni 2030 tu. Kipindi hiki cha kwanza they triumph together with magufuli, kwahiyo kinahesabika ni kipindi chake cha kwanza.
Mkuu kwa katiba hizi za kiAfrika, lolote lawezekana.

Kwani katiba ya Uganda kuhusu ukomo wa rais ilikuwaje na ikawaje Museven kuwepo madarakani hadi leo?
 
Mkuu kwa katiba hizi za kiAfrika, lolote lawezekana.

Kwani katiba ya Uganda kuhusu ukomo wa rais ilikuwaje na ikawaje Museven kuwepo madar

Dume hawajisikii poa kuongozwa na ke mfumo dume ni shida watulie tu hakuna namna maana anaweza ongoza awamu mbili mfululizo labda yy mwenyewe asitake wapiga kura wengi ke labbda waibiane kura wenyewe kwa wenyewe😀😀😀
 
[emoji848][emoji848][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji2827][emoji2827]
 
Back
Top Bottom