Mtazamo wa kiroho: Kwanini Rais Samia hawezi kuwa Rais kwa vipindi viwili

Mtazamo wa kiroho: Kwanini Rais Samia hawezi kuwa Rais kwa vipindi viwili

Heshima yako kaka mkubwa Mshana Jr! Hivi matambiko makubwa mawili, la Bagamoyo na la Lindi, hivi yalihushisha kafara ya damu? Na je, lengo lake ni nini hayo matambiko?
Lengo lilikuwa kuilinda nchi dhidi ya uasi wowote wa ndani na wa nje...
LA Bagamoyo lilikuwa la kukimbiza moto..la Lindi lilikuwa la damu..

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Awamu ya tano imeishia siku Magufuli alivyokufa, awamu sio miaka bali ni kipindi alichohudumu kiongozi na hata hayo mengine ni upuuzi tu kwani dunia hii hakuna ajuaye zaidi ya mwenyezi Mungu mwenyewe hakuna kiumbe kingine chochote kinachoweza kufanya tofauti na kile alichopanga mwenyezi Mungu.
 
Mwendazake ndio aliharibu kabisa sasa ...maendeleo aliyofanya yalikuwa ni majukumu ya wizara na waziri wa ujenzi..huko ndiko alikotokea na hakuweza kubadilika ...kwingine kote aliharibu vibaya sana kuanzia kiuchumi kijamiii mpaka mgawanyo wa madaraka na majukumu..Na huko kwenye makafara ndio alitibua kabisa.. Ule moshi wa Ruangwa mpaka leo haujawahi kutolewa maelezo ya hakika

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Fafanua kidogo kuhusu Moshi wa Ruangwa
 
Awamu ya tano imeishia siku Magufuli alivyokufa, awamu sio miaka bali ni kipindi alichohudumu kiongozi na hata hayo mengine ni upuuzi tu kwani dunia hii hakuna ajuaye zaidi ya mwenyezi Mungu mwenyewe hakuna kiumbe kingine chochote kinachoweza kufanya tofauti na kile alichopanga mwenyezi Mungu.
Kwahiyo awamu zilipangwa na Mungu[emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Awamu ya tano imeishia siku Magufuli alivyokufa, awamu sio miaka bali ni kipindi alichohudumu kiongozi na hata hayo mengine ni upuuzi tu kwani dunia hii hakuna ajuaye zaidi ya mwenyezi Mungu mwenyewe hakuna kiumbe kingine chochote kinachoweza kufanya tofauti na kile alichopanga mwenyezi Mungu.
Kwahiyo awamu zilipangwa na Mungu[emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Ulimwengu wa roho ni timilifu na mambo yake huenda na kufanyika juu ya uwezo na utashi wa kawaida wa binadamu.

Ukiachana na makafara yanayosemwa kuitaabisha sana nchi. Hapa nazungumzia yale makafara mawili makubwa la Bagamoyo na la Lindi ambayo sasa ni kama uhai wake unafikia tamati. Kuna lile la viongozi muhimu kufa wakiwa madarakani. Hapa tafsiri yake kiroho ni kwamba nyumba inabomolewa.

Kifo cha rais, kiongozi mkuu

Kifo cha katibu mtendaji mkuu

Kifo cha waziri wa sheria, Mtunza kanuni

Kifo cha waziri wa ulinzi, Mlinda kaya.

Kiroho hivi tunaita ni vifo vya kimkakati. Nyumba imeondolewa msingi, imeondolewa paa, imeondolewa mifumo na imeondolewa madirisha na milango.Kwasababu zozote zile mwendazake akawa tena rais kwa awamu ya pili. Chama chake kilishaumba utaratibu wa vipindi viwili viwili. Hili ni roho. Kwahiyo kiroho huyu bado ni rais na ukomo wake 2025.

Kwasababu zilezile za kiroho akataka kukengeuka viapo, maagano na makafara yaliyowekwa! Na akaadhibiwa! Huku kipindi chake cha pili kikimaliziwa na msaidizi wake! Ukiachana na mambo haya ya katiba iliyompa msaidizi nafasi ya juu. Kiroho hakuna mabadiliko.

Aliingia kama msaidizi ndio nafasi yake kiasili na kamwe kiroho hakujiandaa kuwa rais na hakufanya juhudi zozote kuwa rais
Hii tunayoita ni awamu ya sita kiroho ni awamu ileile ya tano kwakuwa mabadiliko ya awamu ni kila baada ya kipindi fulani na kwa utaratibu fulani. Na kikomo chake ni miaka mine ijayo.

Utimilifu wa namba saba na mkanganyiko wa awamu sita(awamu ya sita) Chama dola kingekuwa na nafasi bora ya kutamba kama awamu ya tano ingeisha salama. Lakini kwa unabii ule wa kikomo cha kuwa kikapunyuliwa kwa kuondolewa msingi, mwongozo wa kiutendaji na ulinzi.

Awamu ya sita imejichomeka kwenye tano ili tu kuharakisha(bila kujua na bila utashi) kikomo cha kuwa cha chama dola. Hivyo basi ukombozi wa taifa unakuja. Kwa kile kinachoweza kuonekana kama awamu ya saba! Lakini haitakuwa tena awamu kwakuwa kiroho tamati itakuwa imewadia kwasababu zote zilizotajwa za, kimwili na za kiroho pia

Yanayotokea sasa na yatakayoendelea kutokea mpaka kumaliza awamu ya 5/6 ni unabii ambao hakuna mwenye uwezo wa kuutangua kwa namna yoyote ile. Sio mama wala deep state wala mtu yoyote awaye yote! Mgongano(collision) wa awamu mbili ndani ya moja kiroho ni ajali ambayo madhara yake yataonekana mwisho wa awamu ambayo itakuwa na majeraha makubwa yasiyotibika

Hii ni sawa na kuzaa mtoto mwenye kasoro kimaumbile kwakuwa mjadala wa kuhusu awamu ya tano au sita ulikuwa mkubwa na haujawahi kupatiwa jibu moja la hakika.

Kuna makundi yanajijenga kuwania nafasi ya juu baada ya awamu hii kutamatika. Wanamkosoa mama kwa mengi. Lakini huu ni unabii wa kiroho. Nobody can control it.Wanaweza kufurahishwa sana na hii mada lakini wana safari ngumu na yenye kutatiza sana.

Na wasipokuwa makini watapanguswa ili vumbi litoke!
Hii ya mgongano wa awamu hii...Duuh!

Ningekuwa niko karibu sana, ningemuomba afanye ibada sana kwa muumba. Sio uchawi wala uganga wa kienyeji. Ni Mwenyezi Mungu pekee ndio anaongoza msafara.
Mwenye masikio na asikie
 
hii miaka minne kuna drama nyingi za ccm tutazishuhudia! tena ni drama fever.
2025 huenda roho itaungana na mwili kuna mtoto atazaliwa.
 
Ulimwengu wa roho ni timilifu na mambo yake huenda na kufanyika juu ya uwezo na utashi wa kawaida wa binadamu.

Mshana Jr ,

Umetueleza mambo ya kiroho kwa lugha ya kueleweka kabisa na sisi wenye upungufu wa kuyaona sasa tunabaini.

Wengine tulijaribu kuelezea lakini tumeshindwa, guru ni guru tu khasa akiwa 'kilingeni' huyaona yote na kutuelezea ktk namna ambayo inaeleweka. Shukrani.

Mzimu wa Kesi ya Mbowe na Madai ya Katiba Mpya wazidi kuusonga roho ya CCM

Freeman Mbowe | Activist Attorney Peter Madeleka anatowa Somo la Sheria



Wakili Peter Madeleka | Activist Attorney kutoka Dar-es-salaam-Tanzania anatowa somo la sheria kwa Watanzania juu ya sheria za mwenendo wa makosa ya Jinai kama tuhuma za ugaidi na uhujumu uchumi na jinsi inavyopaswa kushughulikiwa kuanzia upelelezi, amri itangazwe ktk gazeti la serikali GN, si kila wakili ana mamlaka ya kuendesha kesi nzito kama hii ya Mbowe na wenzake 3. Watanzania msikilizeni Mwanasheria- Mwanaharakati-Tanzania

Source : America Swahili News
 
Ni vipi basi apange mabaya na afanikiwe na ikiwa Mungu hakupanga hilo jambo baya?
Ulimwengu una falme mbili
Ufalme wa mbingu ambao tunaita wa Kimungu
Ufalme wa mkuu wa anga.. Ambao uko chini ya Mbingu
Kwa kila tendo hapa duniani ni lazima litoke kati ya mojawapo ya hizo falme mbili

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom