Mtazamo wa kiroho: Kwanini Rais Samia hawezi kuwa Rais kwa vipindi viwili

Mtazamo wa kiroho: Kwanini Rais Samia hawezi kuwa Rais kwa vipindi viwili

Kaka mshana bila shaka umewai msikia shekhe omary myashaani akisumulia hata ya bagamoyo na Lindi.nchi haitakiwi kusonga kimaendeleo..mwendazake ni kama alianza kuisogeza nchi labda ndo maana walimtanguliza.
Mwendazake ndio aliharibu kabisa sasa ...maendeleo aliyofanya yalikuwa ni majukumu ya wizara na waziri wa ujenzi..huko ndiko alikotokea na hakuweza kubadilika ...kwingine kote aliharibu vibaya sana kuanzia kiuchumi kijamiii mpaka mgawanyo wa madaraka na majukumu..Na huko kwenye makafara ndio alitibua kabisa.. Ule moshi wa Ruangwa mpaka leo haujawahi kutolewa maelezo ya hakika

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Unachosema ni kuwa atakaye peperusha bendera ya 2025-2030 kiroho ndo atakuwa ameanza mzunguko wake halali wa kwamza maana huyu wa sasa kadandia wa mwenzake aliyelala, sasa akichaguliwa samia na akashinda akawa raisi ina maana kiroho atadaiwa kipindi kimoja tena cha kuongoza yaani 2030-2035 maana hii si awamu yake kiroho yaani.

What a lucky one ikitokea akachaguliwa, yaani kiroho atakuwa raisi wa kwanza mwanamke na raisi wa kwanza kuwepo madarakani 15years.

Hata hivyo Tanzania si nchi ya kiroho ingawa watu wake wana imani.
Hakuna Nchi,Taifa,Mtu asiye wa kiroho shida roho ipi inafanya kazi?
 
Ulimwengu wa roho ni timilifu na mambo yake huenda na kufanyika juu ya uwezo na utashi wa kawaida wa binadamu.

Ukiachana na makafara yanayosemwa kuitaabisha sana nchi. Hapa nazungumzia yale makafara mawili makubwa la Bagamoyo na la Lindi ambayo sasa ni kama uhai wake unafikia tamati. Kuna lile la viongozi muhimu kufa wakiwa madarakani. Hapa tafsiri yake kiroho ni kwamba nyumba inabomolewa.

Kifo cha rais, kiongozi mkuu

Kifo cha katibu mtendaji mkuu

Kifo cha waziri wa sheria, Mtunza kanuni

Kifo cha waziri wa ulinzi, Mlinda kaya.

Kiroho hivi tunaita ni vifo vya kimkakati. Nyumba imeondolewa msingi, imeondolewa paa, imeondolewa mifumo na imeondolewa madirisha na milango.Kwasababu zozote zile mwendazake akawa tena rais kwa awamu ya pili. Chama chake kilishaumba utaratibu wa vipindi viwili viwili. Hili ni roho. Kwahiyo kiroho huyu bado ni rais na ukomo wake 2025.

Kwasababu zilezile za kiroho akataka kukengeuka viapo, maagano na makafara yaliyowekwa! Na akaadhibiwa! Huku kipindi chake cha pili kikimaliziwa na msaidizi wake! Ukiachana na mambo haya ya katiba iliyompa msaidizi nafasi ya juu. Kiroho hakuna mabadiliko.

Aliingia kama msaidizi ndio nafasi yake kiasili na kamwe kiroho hakujiandaa kuwa rais na hakufanya juhudi zozote kuwa rais
Hii tunayoita ni awamu ya sita kiroho ni awamu ileile ya tano kwakuwa mabadiliko ya awamu ni kila baada ya kipindi fulani na kwa utaratibu fulani. Na kikomo chake ni miaka mine ijayo.

Utimilifu wa namba saba na mkanganyiko wa awamu sita(awamu ya sita) Chama dola kingekuwa na nafasi bora ya kutamba kama awamu ya tano ingeisha salama. Lakini kwa unabii ule wa kikomo cha kuwa kikapunyuliwa kwa kuondolewa msingi, mwongozo wa kiutendaji na ulinzi.

Awamu ya sita imejichomeka kwenye tano ili tu kuharakisha(bila kujua na bila utashi) kikomo cha kuwa cha chama dola. Hivyo basi ukombozi wa taifa unakuja. Kwa kile kinachoweza kuonekana kama awamu ya saba! Lakini haitakuwa tena awamu kwakuwa kiroho tamati itakuwa imewadia kwasababu zote zilizotajwa za, kimwili na za kiroho pia

Yanayotokea sasa na yatakayoendelea kutokea mpaka kumaliza awamu ya 5/6 ni unabii ambao hakuna mwenye uwezo wa kuutangua kwa namna yoyote ile. Sio mama wala deep state wala mtu yoyote awaye yote! Mgongano(collision) wa awamu mbili ndani ya moja kiroho ni ajali ambayo madhara yake yataonekana mwisho wa awamu ambayo itakuwa na majeraha makubwa yasiyotibika

Hii ni sawa na kuzaa mtoto mwenye kasoro kimaumbile kwakuwa mjadala wa kuhusu awamu ya tano au sita ulikuwa mkubwa na haujawahi kupatiwa jibu moja la hakika.

Kuna makundi yanajijenga kuwania nafasi ya juu baada ya awamu hii kutamatika. Wanamkosoa mama kwa mengi. Lakini huu ni unabii wa kiroho. Nobody can control it.Wanaweza kufurahishwa sana na hii mada lakini wana safari ngumu na yenye kutatiza sana.

Na wasipokuwa makini watapanguswa ili vumbi litoke!
Huwa nashangaa sana ninaposikia wanasiasa wakijifurahisha nafsi zao kwa kutamka kuwa hii sasa ni awamu ya sita .... Nasema hiiiiiiiiiii!☺️
 
Uganda wanaume wanashangilia ujio wa wakimbizi kutoka Afghanistan.... Macho yao yanalegwa lengwa na machozi kwa wanawake wa kitaleban.... Kazi tunayo ukanda wa EAC... kule nako atapatikana Rais mwanamke siku si nyingi. 😊 😁
 
Uganda wanaume wanashangilia ujio wa wakimbizi kutoka Afghanistan.... Macho yao yanalegwa lengwa na machozi kwa wanawake wa kitaleban.... Kazi tunayo ukanda was EAC... kule nako atapatikana Rais mwanamke siku si nyingi. [emoji4] [emoji16]
Mmh ya lini hii

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Kaka mshana bila shaka umewai msikia shekhe omary myashaani akisumulia hata ya bagamoyo na Lindi.nchi haitakiwi kusonga kimaendeleo..mwendazake ni kama alianza kuisogeza nchi labda ndo maana walimtanguliza.
Umeandikaje? Mbona hueleweki?
 
Mwendazake ndio aliharibu kabisa sasa ...maendeleo aliyofanya yalikuwa ni majukumu ya wizara na waziri wa ujenzi..huko ndiko alikotokea na hakuweza kubadilika ...kwingine kote aliharibu vibaya sana kuanzia kiuchumi kijamiii mpaka mgawanyo wa madaraka na majukumu..Na huko kwenye makafara ndio alitibua kabisa.. Ule moshi wa Ruangwa mpaka leo haujawahi kutolewa maelezo ya hakika

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Moshi? Unatoka Ruangwa mlimani au? How?
 
Uganda wanaume wanashangilia ujio wa wakimbizi kutoka Afghanistan.... Macho yao yanalegwa lengwa na machozi kwa wanawake wa kitaleban.... Kazi tunayo ukanda was EAC... kule nako atapatikana Rais mwanamke siku si nyingi. [emoji4] [emoji16]
Very beautiful, I love them.
 
Back
Top Bottom