Mtazamo wa raia wa nchi za Afrika wanaoishi Ulaya na Marekani juu ya Hayati Rais Magufuli

Mtazamo wa raia wa nchi za Afrika wanaoishi Ulaya na Marekani juu ya Hayati Rais Magufuli

Huo ndo ukweli kabisa hayati Magufuli atabaki kuwa best President
 
Huyo jamaa anafanya kazi ikulu ya moja ya nchi za Africa Magharibi. Nilikutana nae jijini Siem Riep nchini Cambodia.

Anaesema sifa anazopewa Magufuli ni za kutunga basi ajiangalie tena.

Mimi binafsi naamini Mama Samia atafanya pia makubwa kwa upande wake maana yeye ni mwananfunzi wa Marais wawili Bora kabisa (JK & JPM).
mmh jamaa kasema Samia watamu win na imekuwa hivyo. naona Samia hana uwezo
 
Ndugu wana JF nimeona nishare na ninyi kile walichonieleza hawa marafiki zangu niliokutana nao South Africa kipindi nahangaikia ndoto zangu kuhusu mtazamo wao kwa aliyekuwa rais wetu JPM.

Kuna rafiki yangu raia wa Kameruni ila kwa sasa anaishi Marekani. Jamaa ni PhD wa uchumi na amefundisha baadhi ya vyuo hapo Johannesburg kabla ya kwenda Marekani kutafuta maslahi zaidi. Mwezi uliopita alikuja Tanzania baada ya kuzuiwa kuingia Australia ambako pia alikuwa anafanya consultation na makampuni flani yaliyokuwa yanahitaji huduma yake. Alipozuiliwa kuingia Australia kwa sababu ya restrictions za Covid 19 aliamua kuja Tanzania kupumzika hivyo nilipata wasaa wa kuonana na kuongea naye, maana tulikuwa hatujaonana zaidi ya miaka 10.

Huyu bwana alinishangaza sana kuhusu jinsi alivyokuwa anamwongelea JPM. Jamaa alikuwa anasema Tanzania tumempoteza rais bora. Acha ninukuu maneno yake. "Magufuli was the best president in Africa". Anasema "the guy was doing a good job"

Kiufupi jamaa anasema Magufuli alikuwa kiboko, na nchi alikuwa anaipeleka mbele. Nilijaribu kumwuliza kipi kinachomfanya aseme Magufuli alikuwa rais bora. Alisema yeye kama mwanauchumi na mfuatiliaji mzuri wa Siasa za Africa mambo aliyokuwa anayafanya Magufuli ni makubwa sana na hakuna rais yeyote wa Afrika mwenye huo uthubutu. Alitaja issue ya kusimamia madini na kuyabana makampuni ya kigeni kuchota madini ni kitu ambacho marais wengi Afrika kimewashinda.

Jamaa alikuwa anasema Magufuli alikuwa ni rais wa ajabu sana ambaye haogopi wazungu. Nilijaribu kumwambia mbona sisi humu nchini tunaona kama alikuwa anatupelekesha tu, tulikuwa hatuna uhuru hata wa kuongea, hofu imetanda, anaminya demokrasia. Jamaa akajibu hayo mambo ya kuminya demokrasia na kunyima uhuru hayaoni kama ni issue ya msingi ukilinganisha na kazi kubwa ya kuijenga nchi aliyokuwa anaifanya. Anasema huko nje (west Africa) Magufuli ni popular sana. Jamaa anasema Magufuli was the best president in Africa.

Kuna jamaa zangu wengine raia wa Zambia na DRC. Huyu wa Zambia ameoa muaustralia na anaishi Sydney na huyu wa DRC yeye yuko Durban South Africa. Wote hawa nikiwa naongea nao huwa wanasema Magufuli was the best president ever.

Pia kuna kidada flani kizungu kiraia cha Ireland (UK) kinaishi South Africa, ni kisanii yani kinaimba mziki tulikuwa tunasoma nacho chuo kimoja na pia tunasali pamoja huwa kinaniambia Magufuli alikuwa the best president. Kilikuwa very interested na siasa za Tanzania baada ya kumwona Magufuli akifanya usafi kule feri. Kuna picha kilinitumia ya Magufuli anafanya usafi kule feri amezungukwa na wauza samaki.

Binafsi sikuwa mshabiki sana wa Magufuli ila kusema ukweli nimeanza kushawishika na kuamini kuwa jamaa alikuwa rais mzuri. Nikiangalia ile miradi aliyoianzisha kwa muda mchache aliotawala, je kama angeendelea kuwepo kwa mhula mwingine ingekuwaje. Iangalie Morogoro road kutokea Kimara kuelekea Kibaha jinsi inavyopendeza utadhani nipo barabara za South Africa. Ukiweka pembeni mapungufu yake jamaa alikuwa anaipeleka nchi mbali sana.
Tumsamehe kwa mapungufu yake na tumwombee pumziko la amani huko aliko.
Kuna baadhi tu ya Mambo sikukubaliana na Magufuri, but moyoni nilim support!

Kuna rafiki yangu anaishi Free state South Africa, siku wameenda kumzika Raia wa Congo aliyefia huko huko, Sasa Kuna Mcongo mmoja akawa akawa anamsifia Sana Magufuri, akielezea Yale akifanya kwa muda mfupi kwamba hakuna Rais hapa Africa amefanya....

Jamaa akasema anatamani Marais Africa wangekua Wakuu wa Majimbo na Magufuri angekua Rais wa Africa yote ..

Yule Mtanzania akawa anamwambia jamaa kuhusu Mapungufu ya Magufuri, kuhusu Demokrasia, Uhuru wa kutoa Naomi n.k...

Mcongo akawa anasema huwezi kupata Rais Aina ya Magufuri akawa laini laini, wapo wachache wataumia kwa faida ya wengi....

Ukaibuka mzozo mkubwa wakiwa Makaburini yule Mcongo akashikwa na hasira akamchunja Shari yule rafiki yangu Mtanzania, akimwambia unawezaje kusema maneno mabaya kuhusu Magufuri, Rais ambaye wao Wacongo wanatamani angekua Rais wao!? Wakawa wanarushiana maneno huku yule Mcongo bado kamkunja Rafiki yangu........ That time ndo Kuna fununu Magufuri Mgojwa! Rafiki akamropokea yule Mcongo "Hivi wewe Mcongo unamjua vizuri Magufuri kuliko Mimi Mtanzania? Sasa kwa taarifa yako Magufuri mwenyewe hivi ninavyoongea Kafariki!" (Magufuri alikua bado mzima)

Yule Mcongo akamwachia rafiki yangu akaanza kulia, Watanzania wengine wanaanza kumbembeleza wakimwambia yule Mcongo kuwa rafiki yangu anadanganya Magufuri ni Mzima..,..

Baada ya week Kama taarifa rasmi inatoka kuwa Magufuri Kafariki, nikawa MTU wa kwanza kunwambia rafiki yangu, na yeye akatoka kwenda Town Center kutafuta Mcongo ampe taarifa za msiba wa Magufuri...,. Akakutana nae, akampa taarifa za msiba, anamwambia Mcongo alilia Kama mtoto mdogo, akimtuhumu Mungu kuwa amekosea..,.

So binafsi nakubariana na wewe kuwa nje ya Tanzania wanamwelezea vizuri Sana Magufuri..
 
Ndugu wana JF nimeona nishare na ninyi kile walichonieleza hawa marafiki zangu niliokutana nao South Africa kipindi nahangaikia ndoto zangu kuhusu mtazamo wao kwa aliyekuwa rais wetu JPM.

Kuna rafiki yangu raia wa Kameruni ila kwa sasa anaishi Marekani. Jamaa ni PhD wa uchumi na amefundisha baadhi ya vyuo hapo Johannesburg kabla ya kwenda Marekani kutafuta maslahi zaidi. Mwezi uliopita alikuja Tanzania baada ya kuzuiwa kuingia Australia ambako pia alikuwa anafanya consultation na makampuni flani yaliyokuwa yanahitaji huduma yake. Alipozuiliwa kuingia Australia kwa sababu ya restrictions za Covid 19 aliamua kuja Tanzania kupumzika hivyo nilipata wasaa wa kuonana na kuongea naye, maana tulikuwa hatujaonana zaidi ya miaka 10.

Huyu bwana alinishangaza sana kuhusu jinsi alivyokuwa anamwongelea JPM. Jamaa alikuwa anasema Tanzania tumempoteza rais bora. Acha ninukuu maneno yake. "Magufuli was the best president in Africa". Anasema "the guy was doing a good job"

Kiufupi jamaa anasema Magufuli alikuwa kiboko, na nchi alikuwa anaipeleka mbele. Nilijaribu kumwuliza kipi kinachomfanya aseme Magufuli alikuwa rais bora. Alisema yeye kama mwanauchumi na mfuatiliaji mzuri wa Siasa za Africa mambo aliyokuwa anayafanya Magufuli ni makubwa sana na hakuna rais yeyote wa Afrika mwenye huo uthubutu. Alitaja issue ya kusimamia madini na kuyabana makampuni ya kigeni kuchota madini ni kitu ambacho marais wengi Afrika kimewashinda.

Jamaa alikuwa anasema Magufuli alikuwa ni rais wa ajabu sana ambaye haogopi wazungu. Nilijaribu kumwambia mbona sisi humu nchini tunaona kama alikuwa anatupelekesha tu, tulikuwa hatuna uhuru hata wa kuongea, hofu imetanda, anaminya demokrasia. Jamaa akajibu hayo mambo ya kuminya demokrasia na kunyima uhuru hayaoni kama ni issue ya msingi ukilinganisha na kazi kubwa ya kuijenga nchi aliyokuwa anaifanya. Anasema huko nje (west Africa) Magufuli ni popular sana. Jamaa anasema Magufuli was the best president in Africa.

Kuna jamaa zangu wengine raia wa Zambia na DRC. Huyu wa Zambia ameoa muaustralia na anaishi Sydney na huyu wa DRC yeye yuko Durban South Africa. Wote hawa nikiwa naongea nao huwa wanasema Magufuli was the best president ever.

Pia kuna kidada flani kizungu kiraia cha Ireland (UK) kinaishi South Africa, ni kisanii yani kinaimba mziki tulikuwa tunasoma nacho chuo kimoja na pia tunasali pamoja huwa kinaniambia Magufuli alikuwa the best president. Kilikuwa very interested na siasa za Tanzania baada ya kumwona Magufuli akifanya usafi kule feri. Kuna picha kilinitumia ya Magufuli anafanya usafi kule feri amezungukwa na wauza samaki.

Binafsi sikuwa mshabiki sana wa Magufuli ila kusema ukweli nimeanza kushawishika na kuamini kuwa jamaa alikuwa rais mzuri. Nikiangalia ile miradi aliyoianzisha kwa muda mchache aliotawala, je kama angeendelea kuwepo kwa mhula mwingine ingekuwaje. Iangalie Morogoro road kutokea Kimara kuelekea Kibaha jinsi inavyopendeza utadhani nipo barabara za South Africa. Ukiweka pembeni mapungufu yake jamaa alikuwa anaipeleka nchi mbali sana.
Tumsamehe kwa mapungufu yake na tumwombee pumziko la amani huko aliko.
Naona wazee wa legacy mko busy Sana wiki hii na nyuzi uchwara..

Awamu yote hamkuwahi kukanyaga Ulaya na US sasa roho inawauma mkiona mama anachanja mbugha..Ulaya anaenda na Kazi zinasonga..

Huyo jamaa yako kwa nini hakuja japo kufanya Kazi Bongo aone moto wa Dhalimu Jiwe? Au mwambie aende Rwanda alafu aje kusimulia upumbavu wenu hapa.

Jitu liliharibu uchumi,lilikuza deni la Taifa hatari tupu na lilikuwa katili,liongo na jizi afu unasemaje?
 
Nchi huwa inabadilishwa na mtu mmoja na mkimmis itachukua muda Sana labda angekaa miaka kumi nchi hii ingeweza kuwa na mwendelezo wa Rais mwenye mwona Kama yy lakin sasa itachukua muda Sana maana tutaenda na kikwete system kwa miongo kadhaa labda itokee maajabu Sana hiki kizaz Cha kikwete kiishe
Itatuchukua muda kumpata mtu kama magufuli

USSR
 
One thing is for sure, Watanzania tutamkumbuka Magufuli kwa mema mengi aliyotufanyia.

He was the president of his own calibre.

He had the guts and could get things done.

He was a true son of Africa.
Bila wewe utamkumbuka,binafsi never..nilimpinga since ni Waziri hadi keshokutwa..

Kwangu namchukulia kama Rais ambae alikuwa hatumii akili ..Mingi ya miradi yake ni hasara kubwa kwa Nchi,tusubirie sgr ikamilike mtapata majibu
 
Nchi huwa inabadilishwa na mtu mmoja na mkimmis itachukua muda Sana labda angekaa miaka kumi nchi hii ingeweza kuwa na mwendelezo wa Rais mwenye mwona Kama yy lakin sasa itachukua muda Sana maana tutaenda na kikwete system kwa miongo kadhaa labda itokee maajabu Sana hiki kizaz Cha kikwete kiishe
Kwangu this is the best system,ule upumbavu wa kuabudu na kujiamulia miradi isiyo na maana kwako ndio kitu?

Kwanza kwa uongozi wake maskini waliongezeka , wawekezaji walikimbia ,madeni ya nchi yaliongezeka ,kilimo kilokufa ..
 
Tuwekee hapa izo propaganda nasisi tuzijue mkuu
Kudanganya kwamba uchumi unakua kwa 7% kumbe uongo,kudanganya kwamba tunajenga kwa pesa zetu kumbe mikopo ya Kibiashara, kudanganya kwamba Rushwa imeisha kumbe watu wake walikuwa wala rushwa wakubwa ,kufukuza watu waliotoa uozo serikali yake kama Assad nk..

Kudanganya watu kwamba tiba asili na miujiza inatibu uviko kumbe uongo,kutukana na kudhalilisha wenzie,,kuharibu zao la korosho,mbaazi,ufuta,mahindi ,sukari,..

Watoto kurundikana madarasani na marufuku kuibua kwenye habari,kutosha watu,ofisini watu walikuwa wanaogopana hapo waliokuwa wanaogopwa kutumia fursa hiyo kuiba na kufuja ..

Orodha ni ndefu sana
 
Utakuwa ni punguani Kama unahitaji jirani kukuelezea tabia za baba yako.
Wewe ndiye unayeishi nae unamjua nje ndani kwamba akirudi amelewa huwa anavua nguo mbele yenu, mnamfunika Kwa mito ya makochi, akiingia kulala huwa anajisaidia haja zote kitandani.
Jirani Hawezi kujua hayo.

Huyo pimbi unayesema ana PhD ulimuambia kwamba Jiwe alikuwa anapora hela za Watu hasa wafanyibiashara Kwenye akaunti zao?Ni theory gani ya uchumi hiyo?

Ama ni theory gani ya uwekezaji wa kiuchumi iliyomtuma kujenga chato airport Wakati hata kunguru tu hawatui hapo?
 
Kuna baadhi tu ya Mambo sikukubaliana na Magufuri, but moyoni nilim support!

Kuna rafiki yangu anaishi Free state South Africa, siku wameenda kumzika Raia wa Congo aliyefia huko huko, Sasa Kuna Mcongo mmoja akawa akawa anamsifia Sana Magufuri, akielezea Yale akifanya kwa muda mfupi kwamba hakuna Rais hapa Africa amefanya....

Jamaa akasema anatamani Marais Africa wangekua Wakuu wa Majimbo na Magufuri angekua Rais wa Africa yote ..

Yule Mtanzania akawa anamwambia jamaa kuhusu Mapungufu ya Magufuri, kuhusu Demokrasia, Uhuru wa kutoa Naomi n.k...

Mcongo akawa anasema huwezi kupata Rais Aina ya Magufuri akawa laini laini, wapo wachache wataumia kwa faida ya wengi....

Ukaibuka mzozo mkubwa wakiwa Makaburini yule Mcongo akashikwa na hasira akamchunja Shari yule rafiki yangu Mtanzania, akimwambia unawezaje kusema maneno mabaya kuhusu Magufuri, Rais ambaye wao Wacongo wanatamani angekua Rais wao!? Wakawa wanarushiana maneno huku yule Mcongo bado kamkunja Rafiki yangu........ That time ndo Kuna fununu Magufuri Mgojwa! Rafiki akamropokea yule Mcongo "Hivi wewe Mcongo unamjua vizuri Magufuri kuliko Mimi Mtanzania? Sasa kwa taarifa yako Magufuri mwenyewe hivi ninavyoongea Kafariki!" (Magufuri alikua bado mzima)

Yule Mcongo akamwachia rafiki yangu akaanza kulia, Watanzania wengine wanaanza kumbembeleza wakimwambia yule Mcongo kuwa rafiki yangu anadanganya Magufuri ni Mzima..,..

Baada ya week Kama taarifa rasmi inatoka kuwa Magufuri Kafariki, nikawa MTU wa kwanza kunwambia rafiki yangu, na yeye akatoka kwenda Town Center kutafuta Mcongo ampe taarifa za msiba wa Magufuri...,. Akakutana nae, akampa taarifa za msiba, anamwambia Mcongo alilia Kama mtoto mdogo, akimtuhumu Mungu kuwa amekosea..,.

So binafsi nakubariana na wewe kuwa nje ya Tanzania wanamwelezea vizuri Sana Magufuri..
😂😂😂😆😆😆 Alikuwa mjinga wa mwisho,watu wa hivyo jibu langu kwao ni kwamba wangekuja kufanya maisha Tzn waache kusimuliwa mambo ya mapapai kuwa na korona
 
Mwisho wa siku Mwenyezi Mungu, Mola Wetu Mlezi, anatujua sisi wanadamu vizuri kuliko tunavyojijua sisi. Akaamua kumchukua Mh Rais.
 
Utakuwa ni punguani Kama unahitaji jirani kukuelezea tabia za baba yako.
Wewe ndiye unayeishi nae unamjua nje ndani kwamba akirudi amelewa huwa anavua nguo mbele yenu, mnamfunika Kwa mito ya makochi, akiingia kulala huwa anajisaidia haja zote kitandani.
Jirani Hawezi kujua hayo.

Huyo pimbi mwenzio unayesema ana PhD ulimuambia kwamba Jiwe alikuwa anapora hela za Watu hasa wafanyibiashara Kwenye akaunti zao?Ni theory gani ya uchumi hiyo?

Ama ni theory gani ya uwekezaji wa kiuchumi iliyomtuma kujenga chato airport Wakati hata kunguru tu hawatui hapo?
Unfortunately mapunguani ndio wengi,watu wenye akili ndogo
 
Ndugu wana JF nimeona nishare na ninyi kile walichonieleza hawa marafiki zangu niliokutana nao South Africa kipindi nahangaikia ndoto zangu kuhusu mtazamo wao kwa aliyekuwa rais wetu JPM.

Kuna rafiki yangu raia wa Kameruni ila kwa sasa anaishi Marekani. Jamaa ni PhD wa uchumi na amefundisha baadhi ya vyuo hapo Johannesburg kabla ya kwenda Marekani kutafuta maslahi zaidi. Mwezi uliopita alikuja Tanzania baada ya kuzuiwa kuingia Australia ambako pia alikuwa anafanya consultation na makampuni flani yaliyokuwa yanahitaji huduma yake. Alipozuiliwa kuingia Australia kwa sababu ya restrictions za Covid 19 aliamua kuja Tanzania kupumzika hivyo nilipata wasaa wa kuonana na kuongea naye, maana tulikuwa hatujaonana zaidi ya miaka 10.

Huyu bwana alinishangaza sana kuhusu jinsi alivyokuwa anamwongelea JPM. Jamaa alikuwa anasema Tanzania tumempoteza rais bora. Acha ninukuu maneno yake. "Magufuli was the best president in Africa". Anasema "the guy was doing a good job"

Kiufupi jamaa anasema Magufuli alikuwa kiboko, na nchi alikuwa anaipeleka mbele. Nilijaribu kumwuliza kipi kinachomfanya aseme Magufuli alikuwa rais bora. Alisema yeye kama mwanauchumi na mfuatiliaji mzuri wa Siasa za Africa mambo aliyokuwa anayafanya Magufuli ni makubwa sana na hakuna rais yeyote wa Afrika mwenye huo uthubutu. Alitaja issue ya kusimamia madini na kuyabana makampuni ya kigeni kuchota madini ni kitu ambacho marais wengi Afrika kimewashinda.

Jamaa alikuwa anasema Magufuli alikuwa ni rais wa ajabu sana ambaye haogopi wazungu. Nilijaribu kumwambia mbona sisi humu nchini tunaona kama alikuwa anatupelekesha tu, tulikuwa hatuna uhuru hata wa kuongea, hofu imetanda, anaminya demokrasia. Jamaa akajibu hayo mambo ya kuminya demokrasia na kunyima uhuru hayaoni kama ni issue ya msingi ukilinganisha na kazi kubwa ya kuijenga nchi aliyokuwa anaifanya. Anasema huko nje (west Africa) Magufuli ni popular sana. Jamaa anasema Magufuli was the best president in Africa.

Kuna jamaa zangu wengine raia wa Zambia na DRC. Huyu wa Zambia ameoa muaustralia na anaishi Sydney na huyu wa DRC yeye yuko Durban South Africa. Wote hawa nikiwa naongea nao huwa wanasema Magufuli was the best president ever.

Pia kuna kidada flani kizungu kiraia cha Ireland (UK) kinaishi South Africa, ni kisanii yani kinaimba mziki tulikuwa tunasoma nacho chuo kimoja na pia tunasali pamoja huwa kinaniambia Magufuli alikuwa the best president. Kilikuwa very interested na siasa za Tanzania baada ya kumwona Magufuli akifanya usafi kule feri. Kuna picha kilinitumia ya Magufuli anafanya usafi kule feri amezungukwa na wauza samaki.

Binafsi sikuwa mshabiki sana wa Magufuli ila kusema ukweli nimeanza kushawishika na kuamini kuwa jamaa alikuwa rais mzuri. Nikiangalia ile miradi aliyoianzisha kwa muda mchache aliotawala, je kama angeendelea kuwepo kwa mhula mwingine ingekuwaje. Iangalie Morogoro road kutokea Kimara kuelekea Kibaha jinsi inavyopendeza utadhani nipo barabara za South Africa. Ukiweka pembeni mapungufu yake jamaa alikuwa anaipeleka nchi mbali sana.
Tumsamehe kwa mapungufu yake na tumwombee pumziko la amani huko aliko.
Kwa mara ya kwanza nakuona umepevuka. Kongole
 
Back
Top Bottom