Zanzibar 2020 Mtazamo wa Uchaguzi Zanzibar

Zanzibar 2020 Mtazamo wa Uchaguzi Zanzibar

Gavana

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2008
Posts
33,637
Reaction score
8,947
MTAZAMO TU

Kwa jinsi mambo yanavyoenda hadi muda huu inaonekana wazi CCM wamefeli plan zote A.B.C na extra plan D+E

Ukiangalia mikakati ovu ilopangwa kimantik inaonekana yote haipiti njia ilokusudiwa hii wasahili husema *KIFO CHA NYANI*

Tuangalie jinsi mipango ilivyosukwa miaka mtano nyuma ikiwa barazani baraza la wawakilishi ndani ya chama cha mapinduzi hadi kwenye tume za uchaguzi ikiwemo msukumo mkubwa wa msajili wa vyama .

Nikiangalia kwa hali ilivyo sioni kuwepo kwa uchaguzi mana kwa jinsi mambo yalivyo kwa CCM siamini kama wataruhusu kupigwe kura zihesabiwe wapate aibu mpya haiwezkani .

Kinachoonekana hapa ni kuchafumo mwenendo wa uchaguzi ili usiwepo ama kukwepa uchaguzi ili pawepo uchafuzi,

Kimatik CCM njia ilobaki ni kulazimisha fujo kwa kuwaengua wagombea wote wa uwakilishi ili upinzani ugome na kama hawakugoma ifanyike fujo ili watafute njia ya maridhiano baadae bila uchaguzi.

Inaonekana wazi CCM bara wamewatupia zigo ccm huku wakilazimisha ushindi wa lazima huku wakiogopa damu za wananchi kwa hofu ya macho ya mataifa kwa sasa.

Tuangalie uzito wa mgombea wa ccm aliepelekwa donge na baba yake akakataliwa kwa kuwadai watoto wao kina Shekh Mselem pia kujinadi kuwa zalio la donge Dkt. Khalid ndio chaguo la wazanzibar.

Tukiangalia nyuma ngome kuu ya CCM Zanzibar ni kusini nako Dr. Husein (KEVU KAFULYO) baada kuachiwa msikiti peke yake na ccm walofuatana toka mjini

Unadhani nini CCM wafanye kama si kuharibu na kukwepa uchaguzi mwaka huu ?

Tujiandae kuona mengi.
 
Mbinu ya mwisho
IMG-20200911-WA0018.jpg
 
Wananchi tuna sababu ya kutafuta haki yetu mpaka tuipate sio kila wakati mazungumzo yanatatua matatizo.
 
Ccm ndiko walikofikia huko..!! Kwani wakiacha tu Seif ashinde tatizo lake nini? Very pitiable.
 
Mojawao ya Makosa alivyofanya Nyerere Ni kutotengeneza mfumo wa kuponya makovu yaliyosababishwa na Mapinduzi ya January 1964.
Ndugu zetu wanaishi kwenye kivuli Cha Historia!
Pamoja na uzuri wa Mapinduzi (!?) Lakini Kuna matukio yaliwcha makovu kwenye mioyo ya watu.
Kuna Waarabu walikuwa wameidhi hapo kwa karne kadhaa na walitimuliwa!
Nimewahi kukutana na raia moja wa Oman!
Alieleza kwa uchungu jinsi walivolazimika kukimbia kwenye ardhi ya Babu zao!
Baada ya Mapinduzi kulihitajika maridhiano...overtime Hali ingetengamaa!
Hivi kwa mfano,...upinzani ukishinda Zanzibar(ukitangazwa) kutatokea Nini!
Kenya nafikiri wameanza kuona kuwa Historia sio Msahafu! na Inshallah watafanikiwa!
 
Wananchi mwaka huu wale sahani moja na wasimamizi wa tume ya uchaguzi kwanza. Damu ya mwananchi ikimwagike wahakikishe na ya Tume ya ZEC inamwagika ili heshima iwekwe.
 
MTAZAMO TU

Kwa jinsi mambo yanavyoenda hadi muda huu inaonekana wazi CCM wamefeli plan zote A.B.C na extra plan D+E

Ukiangalia mikakati ovu ilopangwa kimantik inaonekana yote haipiti njia ilokusudiwa hii wasahili husema *KIFO CHA NYANI*

Tuangalie jinsi mipango ilivyosukwa miaka mtano nyuma ikiwa barazani baraza la wawakilishi ndani ya chama cha mapinduzi hadi kwenye tume za uchaguzi ikiwemo msukumo mkubwa wa msajili wa vyama .

Nikiangalia kwa hali ilivyo sioni kuwepo kwa uchaguzi mana kwa jinsi mambo yalivyo kwa CCM siamini kama wataruhusu kupigwe kura zihesabiwe wapate aibu mpya haiwezkani .

Kinachoonekana hapa ni kuchafumo mwenendo wa uchaguzi ili usiwepo ama kukwepa uchaguzi ili pawepo uchafuzi,

Kimatik CCM njia ilobaki ni kulazimisha fujo kwa kuwaengua wagombea wote wa uwakilishi ili upinzani ugome na kama hawakugoma ifanyike fujo ili watafute njia ya maridhiano baadae bila uchaguzi.

Inaonekana wazi CCM bara wamewatupia zigo ccm huku wakilazimisha ushindi wa lazima huku wakiogopa damu za wananchi kwa hofu ya macho ya mataifa kwa sasa.

Tuangalie uzito wa mgombea wa ccm aliepelekwa donge na baba yake akakataliwa kwa kuwadai watoto wao kina Shekh Mselem pia kujinadi kuwa zalio la donge Dkt. Khalid ndio chaguo la wazanzibar.

Tukiangalia nyuma ngome kuu ya CCM Zanzibar ni kusini nako Dr. Husein (KEVU KAFULYO) baada kuachiwa msikiti peke yake na ccm walofuatana toka mjini

Unadhani nini CCM wafanye kama si kuharibu na kukwepa uchaguzi mwaka huu ?

Tujiandae kuona mengi.
Mtazamo tu. Basi jikite zaidi kwenye utafiti
 
Mtazamo tu. Basi jikite zaidi kwenye utafiti

Hakuhitaji utafiti , CCM imechokwa kila kipembe inapumulia pumzi ya mwisho ya kusaidiwa na polisi waliochoka, wanajeshi waliochoka na usalama waliochanganyikiwa. Nini kitatokea Allah ndiye mjuzi lakini uchaguzi kama uchaguzi CCM hata kutu ya mbuzi haiambulii.
 
MTAZAMO TU

Kwa jinsi mambo yanavyoenda hadi muda huu inaonekana wazi CCM wamefeli plan zote A.B.C na extra plan D+E

Ukiangalia mikakati ovu ilopangwa kimantik inaonekana yote haipiti njia ilokusudiwa hii wasahili husema *KIFO CHA NYANI*

Tuangalie jinsi mipango ilivyosukwa miaka mtano nyuma ikiwa barazani baraza la wawakilishi ndani ya chama cha mapinduzi hadi kwenye tume za uchaguzi ikiwemo msukumo mkubwa wa msajili wa vyama .

Nikiangalia kwa hali ilivyo sioni kuwepo kwa uchaguzi mana kwa jinsi mambo yalivyo kwa CCM siamini kama wataruhusu kupigwe kura zihesabiwe wapate aibu mpya haiwezkani .

Kinachoonekana hapa ni kuchafumo mwenendo wa uchaguzi ili usiwepo ama kukwepa uchaguzi ili pawepo uchafuzi,

Kimatik CCM njia ilobaki ni kulazimisha fujo kwa kuwaengua wagombea wote wa uwakilishi ili upinzani ugome na kama hawakugoma ifanyike fujo ili watafute njia ya maridhiano baadae bila uchaguzi.

Inaonekana wazi CCM bara wamewatupia zigo ccm huku wakilazimisha ushindi wa lazima huku wakiogopa damu za wananchi kwa hofu ya macho ya mataifa kwa sasa.

Tuangalie uzito wa mgombea wa ccm aliepelekwa donge na baba yake akakataliwa kwa kuwadai watoto wao kina Shekh Mselem pia kujinadi kuwa zalio la donge Dkt. Khalid ndio chaguo la wazanzibar.

Tukiangalia nyuma ngome kuu ya CCM Zanzibar ni kusini nako Dr. Husein (KEVU KAFULYO) baada kuachiwa msikiti peke yake na ccm walofuatana toka mjini

Unadhani nini CCM wafanye kama si kuharibu na kukwepa uchaguzi mwaka huu ?

Tujiandae kuona mengi.

Hakika kaka. Hussein Mwinyi sio chaguo la wazenj. Ni chaguo la mkoloni wa tanganyika. labda ZEC watumie wizi wampe huyu Bwana ndo atakuwa rais, vyenginevyo anatwanga maji kwenye kinu. kuna two unresolved questions. UAMSHO factor bado wazanzbiari tunaumia kwa nini CCM inaendelea kuwashikila masheikh wetu baila ya sbabu yoyote. Pili NEC kuiba majimbo pemba. ukichanganya yote hayo mwinyi ana hali ngumu. Namshauri angegombea kwao mkuranga kwa mara nyegine.
 
Wananchi mwaka huu wale sahani moja na wasimamizi wa tume ya uchaguzi kwanza. Damu ya mwananchi ikimwagike wahakikishe na ya Tume ya ZEC inamwagika ili heshima iwekwe.

Safi sana kaka. Ikiwa wanaofanya kazi kwenye tume ndo wanaoiba kura za upinzani basi waanzwe wao. ndo watatia adabu na kuacha kuiba kura kuwapa maCCM. Hamid mahmoud atafuata precedence ya akina senge pevu Jecha salum Jecha, Mwinyi mbegu, Aboud talib na Zubeir Toza. lakn kama akitenda haki atajiwekea record safi sana.
 
Back
Top Bottom