Safi sana kaka. Ikiwa wanaofanya kazi kwenye tume ndo wanaoiba kura za upinzani basi waanzwe wao. ndo watatia adabu na kuacha kuiba kura kuwapa maCCM. Hamid mahmoud atafuata precedence ya akina senge pevu Jecha salum Jecha, Mwinyi mbegu, Aboud talib na Zubeir Toza. lakn kama akitenda haki atajiwekea record safi sana.