Mtazamo walionao watu wa Dini juu ya watu wasioamini uwepo wa Mungu

Mtazamo walionao watu wa Dini juu ya watu wasioamini uwepo wa Mungu

aise

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2018
Posts
5,175
Reaction score
16,488
Kuna mtazamo potofu wanao watu wa dini, wanaamini mtu ambaye haamini uwepo wa Mungu basi ni mtenda maovu, hana maadili n.k
Mtazamo huu ni potofu.
Maadili ya mtu hayaamuliwi na imani yake ya kidini, bali misingi yake ya utu, malezi na jamii inayomzunguka.

Kuna sehemu tulikuwa tunafanya kazi, kukawa na baadhi ya watu (wakristo na waislamu) wanabishana kwamba Yesu hawezi kuwa Mungu, wengine wakisema Yesu ni Mungu, Wengine wakidai Yesu ni mtoto wa Mungu.
Baada ya kuwasikia wote kwa muda mrefu, mimi nikawaambia Mungu Hayupo,
Basi baada ya kusikia nimesema hivyo, wale wenye imani ya Uislam wakaongea maneno ya kiarabu huku wengine wakisema huu ni msiba mzito.
Wengine wakasema kama nimekataa uwepo wa Mungu, basi mimi nastahili kufa / kuuwawa.

Wakidai kwamba kama nimesema Mungu hayupo, basi mimi nitakuwa mtu muovu, ambaye sitakiwi kwenye jamii.

Lakini hiyo siyo kweli, maadili hayategemei Dini pekee.

Historia na Jamii zinaonyesha kuwa kuna waumini wa dini waliofanya maovu, kama vile Ufisadi, Vita, au Ubaguzi.
Lakini pia kukiwa na Atheist Waadilifu, Waaminifu, na wenye kusaidia wengine.
Kwahiyo Uadilifu unatokana na uelewa wa mtu kuhusu mema na mabaya, si imani ya kidini pekee.

Watu wengi wanao amini Mungu hujitahidi kuishi maisha yenye maadili mazuri kwa sababu wanaogopa kupewa adhabu na Mungu, na wakiamini kwamba watapewa zawadi na Mungu huko mbinguni.
Wapo wanao amini kwamba watapewa Uzima wa milele, wapo wanao amini kwamba wataenda kuishi maisha ya anasa Mbinguni kwa kunywa Pombe, au kuogelea kwenye mito yenye maziwa na asali huku wakiwa na Mabinti mabikira.

Lakini kwa upande wa watu wasio amini uwepo wa Mungu, wanaishi kwa misingi ya Uaminifu, Uadilifu Huruma na Haki sawa kwa wote.
Si kwa sababu ya matarajio ya zawadi baada ya kifo, bali kwa sababu wanatambua umuhimu wa mshikamano wa Kijamii na haki kwa wote.

Yaani kwa ufupi Atheist tunaishi kwa maadili si kwa sababu ya hofu ya kupewa adhabu na Mungu, au kwamba kwa sababu tunahitaji mabikira huko Peponi, bali kwa sababu tunaelewa athari za matendo yetu kwa wengine.

Watu wa dini wanatakiwa watambue kwamba,
Mtu anapochagua kuwa Atheist, mara nyingi hiyo ni matokeo ya Safari ya kuuliza maswali, kuchunguza kwa kina Imani mbalimbali na kuamua kufuata njia ya Hoja na Ushahidi,
Badala ya kufuata mafundisho fulani kwa sababu tu yamerithishwa.

Kwahiyo ni vyema kuhukumu kwa tabia za mtu badala ya kuhukumu kwa kungalia imani ya mtu.


Eneo Hatari, ndiyo eneo Salama
 
Kuna mtazamo potofu wanao watu wa dini, wanaamini mtu ambaye haamini uwepo wa Mungu basi ni mtenda maovu, hana maadili n.k
Mtazamo huu ni potofu.
Maadili ya mtu hayaamuliwi na imani yake ya kidini, bali misingi yake ya utu, malezi na jamii inayomzunguka.

Kuna sehemu tulikuwa tunafanya kazi, kukawa na baadhi ya watu (wakristo na waislamu) wanabishana kwamba Yesu hawezi kuwa Mungu, wengine wakisema Yesu ni Mungu, Wengine wakidai Yesu ni mtoto wa Mungu.
Baada ya kuwasikia wote kwa muda mrefu, mimi nikawaambia Mungu Hayupo,
Basi baada ya kusikia nimesema hivyo, wale wenye imani ya Uislam wakaongea maneno ya kiarabu huku wengine wakisema huu ni msiba mzito.
Wengine wakasema kama nimekataa uwepo wa Mungu, basi mimi nastahili kufa / kuuwawa.

Wakidai kwamba kama nimesema Mungu hayupo, basi mimi nitakuwa mtu muovu, ambaye sitakiwi kwenye jamii.

Lakini hiyo siyo kweli, maadili hayategemei Dini pekee.

Historia na Jamii zinaonyesha kuwa kuna waumini wa dini waliofanya maovu, kama vile Ufisadi, Vita, au Ubaguzi.
Lakini pia kukiwa na Atheist Waadilifu, Waaminifu, na wenye kusaidia wengine.
Kwahiyo Uadilifu unatokana na uelewa wa mtu kuhusu mema na mabaya, si imani ya kidini pekee.

Watu wengi wanao amini Mungu hujitahidi kuishi maisha yenye maadili mazuri kwa sababu wanaogopa kupewa adhabu na Mungu, na wakiamini kwamba watapewa zawadi na Mungu huko mbinguni.
Wapo wanao amini kwamba watapewa Uzima wa milele, wapo wanao amini kwamba wataenda kuishi maisha ya anasa Mbinguni kwa kunywa Pombe, au kuogelea kwenye mito yenye maziwa na asali huku wakiwa na Mabinti mabikira.

Lakini kwa upande wa watu wasio amini uwepo wa Mungu, wanaishi kwa misingi ya Uaminifu, Uadilifu Huruma na Haki sawa kwa wote.
Si kwa sababu ya matarajio ya zawadi baada ya kifo, bali kwa sababu wanatambua umuhimu wa mshikamano wa Kijamii na haki kwa wote.

Yaani kwa ufupi Atheist tunaishi kwa maadili si kwa sababu ya hofu ya kupewa adhabu na Mungu, au kwamba kwa sababu tunahitaji mabikira huko Peponi, bali kwa sababu tunaelewa athari za matendo yetu kwa wengine.

Watu wa dini wanatakiwa watambue kwamba,
Mtu anapochagua kuwa Atheist, mara nyingi hiyo ni matokeo ya Safari ya kuuliza maswali, kuchunguza kwa kina Imani mbalimbali na kuamua kufuata njia ya Hoja na Ushahidi,
Badala ya kufuata mafundisho fulani kwa sababu tu yamerithishwa.

Kwahiyo ni vyema kuhukumu kwa tabia za mtu badala ya kuhukumu kwa kungalia imani ya mtu.


Eneo Hatari, ndiyo eneo Salama
Hapa umekusudia kuusema uislam. Any way wewe atheist unafanya wema kwa niaba gani? Kama unaamini ukisha kufa ndio basi kwanini ufanye wema? Mimi nafanya wema,siibi kwa kuogopa kuadhibiwa baad ya kufa. Wewe unafanya mema ili iwe nini? Au unaogopa nini kuuiba ili uwe tajiri?
 
Hapa umekusudia kuusema uislam. Any way wewe atheist unafanya wema kwa niaba gani? Kama unaamini ukisha kufa ndio basi kwanini ufanye wema? Mimi nafanya wema,siibi kwa kuogopa kuadhibiwa baad ya kufa. Wewe unafanya mema ili iwe nini? Au unaogopa nini kuuiba ili uwe tajiri?
Wala sina nia ya kuusema Uislamu.
Labda kama unaendeleza mtazamo wa kujiona wewe uko sahihi na inatakiwa usisemwe.

Kuhusu swali lako kwamba mimi kama Atheist nafanya mema ili iweje?
Kama siamini maisha baad ya kufa nafanya mema ili iweje? Kwanini nisiibe?
Hayo maswali yote nimeyajibu kwenye maelezo yangu hapo juu.

Mimi binafsi siibi kwa sababu nathamini ustawi wa wengine kiuchumi.
Kwenda kufanya wizi maana yake narudisha maendeleo ya kiuchumi kwa wahusika.

Siendi kuiba eti kisa naogopa kuchomwa moto na Mungu siku ya kiama, hapana.
 
Hapa umekusudia kuusema uislam. Any way wewe atheist unafanya wema kwa niaba gani? Kama unaamini ukisha kufa ndio basi kwanini ufanye wema? Mimi nafanya wema,siibi kwa kuogopa kuadhibiwa baad ya kufa. Wewe unafanya mema ili iwe nini? Au unaogopa nini kuuiba ili uwe tajiri?
Kutenda mema ni asili ya binadamu jinsi alivyo umbwa. Usitende mema kwa kumuogopa Mungu.
 
Kuna mtazamo potofu wanao watu wa dini, wanaamini mtu ambaye haamini uwepo wa Mungu basi ni mtenda maovu, hana maadili n.k
Mtazamo huu ni potofu.
Maadili ya mtu hayaamuliwi na imani yake ya kidini, bali misingi yake ya utu, malezi na jamii inayomzunguka.

Kuna sehemu tulikuwa tunafanya kazi, kukawa na baadhi ya watu (wakristo na waislamu) wanabishana kwamba Yesu hawezi kuwa Mungu, wengine wakisema Yesu ni Mungu, Wengine wakidai Yesu ni mtoto wa Mungu.
Baada ya kuwasikia wote kwa muda mrefu, mimi nikawaambia Mungu Hayupo,
Basi baada ya kusikia nimesema hivyo, wale wenye imani ya Uislam wakaongea maneno ya kiarabu huku wengine wakisema huu ni msiba mzito.
Wengine wakasema kama nimekataa uwepo wa Mungu, basi mimi nastahili kufa / kuuwawa.

Wakidai kwamba kama nimesema Mungu hayupo, basi mimi nitakuwa mtu muovu, ambaye sitakiwi kwenye jamii.

Lakini hiyo siyo kweli, maadili hayategemei Dini pekee.

Historia na Jamii zinaonyesha kuwa kuna waumini wa dini waliofanya maovu, kama vile Ufisadi, Vita, au Ubaguzi.
Lakini pia kukiwa na Atheist Waadilifu, Waaminifu, na wenye kusaidia wengine.
Kwahiyo Uadilifu unatokana na uelewa wa mtu kuhusu mema na mabaya, si imani ya kidini pekee.

Watu wengi wanao amini Mungu hujitahidi kuishi maisha yenye maadili mazuri kwa sababu wanaogopa kupewa adhabu na Mungu, na wakiamini kwamba watapewa zawadi na Mungu huko mbinguni.
Wapo wanao amini kwamba watapewa Uzima wa milele, wapo wanao amini kwamba wataenda kuishi maisha ya anasa Mbinguni kwa kunywa Pombe, au kuogelea kwenye mito yenye maziwa na asali huku wakiwa na Mabinti mabikira.

Lakini kwa upande wa watu wasio amini uwepo wa Mungu, wanaishi kwa misingi ya Uaminifu, Uadilifu Huruma na Haki sawa kwa wote.
Si kwa sababu ya matarajio ya zawadi baada ya kifo, bali kwa sababu wanatambua umuhimu wa mshikamano wa Kijamii na haki kwa wote.

Yaani kwa ufupi Atheist tunaishi kwa maadili si kwa sababu ya hofu ya kupewa adhabu na Mungu, au kwamba kwa sababu tunahitaji mabikira huko Peponi, bali kwa sababu tunaelewa athari za matendo yetu kwa wengine.

Watu wa dini wanatakiwa watambue kwamba,
Mtu anapochagua kuwa Atheist, mara nyingi hiyo ni matokeo ya Safari ya kuuliza maswali, kuchunguza kwa kina Imani mbalimbali na kuamua kufuata njia ya Hoja na Ushahidi,
Badala ya kufuata mafundisho fulani kwa sababu tu yamerithishwa.

Kwahiyo ni vyema kuhukumu kwa tabia za mtu badala ya kuhukumu kwa kungalia imani ya mtu.


Eneo Hatari, ndiyo eneo Salama
Mkuu,

Hao watu wanaoamini Mungu bishana nao kwa umakini huko in real life.

Wengine ni wajinga sana, ukiwaambia hakuna Mungu, wanaweza kukuua kweli.

Hawaelewi kwamba hata wao kukuua just makes your point.
 
Kuna mtazamo potofu wanao watu wa dini, wanaamini mtu ambaye haamini uwepo wa Mungu basi ni mtenda maovu, hana maadili n.k
Mtazamo huu ni potofu.
Maadili ya mtu hayaamuliwi na imani yake ya kidini, bali misingi yake ya utu, malezi na jamii inayomzunguka.

Kuna sehemu tulikuwa tunafanya kazi, kukawa na baadhi ya watu (wakristo na waislamu) wanabishana kwamba Yesu hawezi kuwa Mungu, wengine wakisema Yesu ni Mungu, Wengine wakidai Yesu ni mtoto wa Mungu.
Baada ya kuwasikia wote kwa muda mrefu, mimi nikawaambia Mungu Hayupo,
Basi baada ya kusikia nimesema hivyo, wale wenye imani ya Uislam wakaongea maneno ya kiarabu huku wengine wakisema huu ni msiba mzito.
Wengine wakasema kama nimekataa uwepo wa Mungu, basi mimi nastahili kufa / kuuwawa.

Wakidai kwamba kama nimesema Mungu hayupo, basi mimi nitakuwa mtu muovu, ambaye sitakiwi kwenye jamii.

Lakini hiyo siyo kweli, maadili hayategemei Dini pekee.

Historia na Jamii zinaonyesha kuwa kuna waumini wa dini waliofanya maovu, kama vile Ufisadi, Vita, au Ubaguzi.
Lakini pia kukiwa na Atheist Waadilifu, Waaminifu, na wenye kusaidia wengine.
Kwahiyo Uadilifu unatokana na uelewa wa mtu kuhusu mema na mabaya, si imani ya kidini pekee.

Watu wengi wanao amini Mungu hujitahidi kuishi maisha yenye maadili mazuri kwa sababu wanaogopa kupewa adhabu na Mungu, na wakiamini kwamba watapewa zawadi na Mungu huko mbinguni.
Wapo wanao amini kwamba watapewa Uzima wa milele, wapo wanao amini kwamba wataenda kuishi maisha ya anasa Mbinguni kwa kunywa Pombe, au kuogelea kwenye mito yenye maziwa na asali huku wakiwa na Mabinti mabikira.

Lakini kwa upande wa watu wasio amini uwepo wa Mungu, wanaishi kwa misingi ya Uaminifu, Uadilifu Huruma na Haki sawa kwa wote.
Si kwa sababu ya matarajio ya zawadi baada ya kifo, bali kwa sababu wanatambua umuhimu wa mshikamano wa Kijamii na haki kwa wote.

Yaani kwa ufupi Atheist tunaishi kwa maadili si kwa sababu ya hofu ya kupewa adhabu na Mungu, au kwamba kwa sababu tunahitaji mabikira huko Peponi, bali kwa sababu tunaelewa athari za matendo yetu kwa wengine.

Watu wa dini wanatakiwa watambue kwamba,
Mtu anapochagua kuwa Atheist, mara nyingi hiyo ni matokeo ya Safari ya kuuliza maswali, kuchunguza kwa kina Imani mbalimbali na kuamua kufuata njia ya Hoja na Ushahidi,
Badala ya kufuata mafundisho fulani kwa sababu tu yamerithishwa.

Kwahiyo ni vyema kuhukumu kwa tabia za mtu badala ya kuhukumu kwa kungalia imani ya mtu.


Eneo Hatari, ndiyo eneo Salama
Sawa hauamini uwepo wa mungu, vp imani yako kuhusu uchawi ? Uchawi upo au haupo?
 
Mkuu,

Hao watu wanaoamini Mungu bishana nao kwa umakini huko in real life.

Wengine ni wajinga sana, ukiwaambia hakuna Mungu, wanaweza kukuua kweli.

Hawaelewi kwamba hata wao kukuua just makes your point.

Asante sana mkuu kwa ushauri.

Nimesha acha habari za kubishana na watu wa dini juu ya uwepo wa Mungu, hasa wale wenye mlengo mkali.
Wana uelewa mdogo sana, fikiria mtu anataka kukuua kisa tu umesema Mungu hayupo.

Dini zimeharibu sana akili za watu.
 
Kutenda mema ni asili ya binadamu jinsi alivyo umbwa. Usitende mema kwa kumuogopa Mungu.

Inasikitisha sana mkuu, mtu anatenda mema kisa anaogopa adhabu kutoka kwa Mungu, au anaogopa atakosa zawadi kutoka kwa Mungu.
Mpaka unashindwa kuelewa, huyu mtu hawezi kumsaidia binadamu mwenzake tu bila kutarajia malipo kutoka kwa Mungu?
Inasikitisha sana
 
Kuna mtazamo potofu wanao watu wa dini, wanaamini mtu ambaye haamini uwepo wa Mungu basi ni mtenda maovu, hana maadili n.k
mitizamo inaweza kuwa aina ya curiosty, mbona hata atheist mna mitazamo yenu juu ya watu wa dini, kwamba ni wajinga, mazombie, hawajiogezi n.k
 
Mungu alirejesha uwezo wa mwanadamu kuchagua!

Bahati nzuri kila mtu kapewa akili na utashi wa mambo,hivyo hakuta Kuwa na lawama ya kulaumu mtu!

Kila mtu asimamie anachoamini !

Kama unaona hakuna Mungu endelea kuamini hivyo,kama una amini Yesu siyo Mungu wewe endelea kuamini hivyo!

Kama unaona Yesu ni Mungu endelea kuamini hivyo !

Na kama una amini Mungu yupo basi endelea na Imani hiyo!

Kila mtu amechagua alichoamini !
 
Mungu alirejesha uwezo wa mwanadamu kuchagua!

Bahati nzuri kila mtu kapewa akili na utashi wa mambo,hivyo hakuta Kuwa na lawama ya kulaumu mtu!

Kila mtu asimamie anachoamini !

Kama unaona hakuna Mungu endelea kuamini hivyo,kama una amini Yesu siyo Mungu wewe endelea kuamini hivyo!

Kama unaona Yesu ni Mungu endelea kuamini hivyo !

Na kama una amini Mungu yupo basi endelea na Imani hiyo!

Kila mtu amechagua alichoamini !
Hili ndiyo la msingi.
Ila swala la watu fulani kuua wenzao kwa misingi ya kidini hili ni tatizo.
Kisa mtu haamini uwepo wa Mungu unamuona hafai, inasikitisha.
 
Hili ndiyo la msingi.
Ila swala la watu fulani kuua wenzao kwa misingi ya kidini hili ni tatizo.
Kisa mtu haamini uwepo wa Mungu unamuona hafai, inasikitisha.


Kabisa mkuu kila mmoja aendelee kuamini anachoona kwake kinafaa!,kila mtu anao uhuru wa kuchagua pasipo shuruti
 
Mimi sio Atheist lakini naamini kwamba kila mtu ana haki ya kuamini au kuto kuamini katika Imani
 
Wala sina nia ya kuusema Uislamu.
Labda kama unaendeleza mtazamo wa kujiona wewe uko sahihi na inatakiwa usisemwe.

Kuhusu swali lako kwamba mimi kama Atheist nafanya mema ili iweje?
Kama siamini maisha baad ya kufa nafanya mema ili iweje? Kwanini nisiibe?
Hayo maswali yote nimeyajibu kwenye maelezo yangu hapo juu.

Mimi binafsi siibi kwa sababu nathamini ustawi wa wengine kiuchumi.
Kwenda kufanya wizi maana yake narudisha maendeleo ya kiuchumi kwa wahusika.

Siendi kuiba eti kisa naogopa kuchomwa moto na Mungu siku ya kiama, hapana.
Kwa hivyo unaweza kuiba na huogopi kitu? Ukiamua tu
 
Kwa hivyo unaweza kuiba na huogopi kitu? Ukiamua tu

Siwezi kuamua tu kuiba!
Na ikiwa nitaiba nitaogopa Jela za hapa duniani na siyo Jehanamu ya Mungu.
 
Jiulize ni kwa nini watu wengi wanaoamini uwepo wa Mungu wapo dunia ya tatu. Wakati wote wanafikiria maisha mazuri ya mbinguni ambayo hayapo. Mungu unamuumba mwenyewe kwenye akili yako. Maendeleo ya dunia hii yameletwa na wasioamini uwepo wa Mungu, hawana mda wa kupoteza katika kusali. Angalia China wapo bussy katika mambo ya teknologia na wamepiga hatua kubwa kimaendeleo. Wanaokesha kusali na kufunga wana maendeleo gani? Bara la Afrika ni wacha Mungu, ni kwa nini huyo Mungu asiwasaidie kimaendeleo?
 
Hawa majamaa wanaoamini hakuna Mungu usibishane nao maana huwez kuwaelewesha kabisaa tazama hapa chini👇👇👇👇.................kwaiyo atheist angekuwa mjinga angeelewa lakn tatizo n liko hapo chini.
 

Attachments

  • Screenshot_20250309-191037_Biblia.jpg
    Screenshot_20250309-191037_Biblia.jpg
    36.9 KB · Views: 1
Back
Top Bottom